Naweza kuingiza Billioni kwa mwaka kwa kampuni ya software nchini?

C.T.U

JF-Expert Member
Jun 1, 2011
5,070
3,718
Wakongwe habari zenu natumaini mko salama kabisa, na jumapili yenu inakwenda vizuri

Mimi swali langu ni hili ninataka kufungua kampuni ya ICT ijikite kwenye Software Development, ila sasa kama binadamu nina matamanio yangu na targets zangu, lengo la kampuni hii ni kuhudumia wateja wakubwa, wadogo na wa kati

Lengo ni kuwa na mauzo ya zaidi ya billioni moja kwa mwaka, target yangu kubwa ni kutafuta tender mbalimbali serikalini, na mashirika binafsi(b2b) na wateja mmoja mmoja (b2c)

Sasa basi swali langu ni kwamba nikisema nijikite kwenye software development naweza tengeneza zaidi ya 1B kwa mwaka? Nchini hapa? Soko ni kubwa kwa style hii? Najua yapo makampuni kama ipf software, smart codes, magila tech je safari ni rahisi au ni ngumu sana?

Lakini pia niwe jack of all trade?
Kivipi?

Yaani nianzishe kampuni ya engineering ambayo itakuwa inafanya Electrical, ICT, na Mechanical

Nimeambatisha chini kitu ambacho kampuni ya Klitech inafanya wao wanafanya Electrical, ICT, na Mechanical je nikienda kwenye hii njia ni sahihi kuna hela upande mwingi na nakuwa na wigo mpana wa kufikisha 1B kwa mwaka kuliko nikisema nina stick na software development pekee

Nawasilisha kwa maoni
Screenshot_20221210-193017_Instagram.jpg
 
Jikite kwenye section moja ,kuforce kufanya sections zote hizo za engineering inahitaji mtaji mkubwa ,vitendea kazi na wataalamu wa kutosha .
Kama mtaji upo hamna kinachoshindikana lakini . Ila kwa maoni yangu unaweza kukuta kwanza kwenye section ya Electrical installation and maintenance au retail huku ukiusoma mchezo wa upande wa ICT , Kwa Tz market na demand ya ICT sidhani kama ni kubwa kihivyo , kama unataka kudeal na ICT tu then usome mchezo vizuri kwanza kabla ya kutumbukiza pesa ,ila kwa upande wa Electrical demand Kwa Tz bado ipo ya kutosha , unaweza fanya kazi kama contractor kwenye makampuni ya telecommunications ,viwandani , kwenye miradi ya ujenzi wa miundombinu ya umeme ,majengo nk
 
Wakongwe habari zenu natumaini mko salama kabisa, na jumapili yenu inakwenda vizuri

Mimi swali langu ni hili ninataka kufungua kampuni ya ICT ijikite kwenye Software Development, ila sasa kama binadamu nina matamanio yangu na targets zangu, lengo la kampuni hii ni kuhudumia wateja wakubwa, wadogo na wa kati

Lengo ni kuwa na mauzo ya zaidi ya billioni moja kwa mwaka, target yangu kubwa ni kutafuta tender mbalimbali serikalini, na mashirika binafsi(b2b) na wateja mmoja mmoja (b2c)

Sasa basi swali langu ni kwamba nikisema nijikite kwenye software development naweza tengeneza zaidi ya 1B kwa mwaka? Nchini hapa? Soko ni kubwa kwa style hii? Najua yapo makampuni kama ipf software, smart codes, magila tech je safari ni rahisi au ni ngumu sana?

Lakini pia niwe jack of all trade?
Kivipi?

Yaani nianzishe kampuni ya engineering ambayo itakuwa inafanya Electrical, ICT, na Mechanical

Nimeambatisha chini kitu ambacho kampuni ya Klitech inafanya wao wanafanya Electrical, ICT, na Mechanical je nikienda kwenye hii njia ni sahihi kuna hela upande mwingi na nakuwa na wigo mpana wa kufikisha 1B kwa mwaka kuliko nikisema nina stick na software development pekee

Nawasilisha kwa maoniView attachment 2443003
Inawezekana up to 2 B kwa Mwaka. Nicheck tuongee tuweze elekezana pa kuanzia. YES IT Can Be Done! Just play your part JK Nyerere
 
Jikite kwenye section moja ,kuforce kufanya sections zote hizo za engineering inahitaji mtaji mkubwa ,vitendea kazi na wataalamu wa kutosha .
Kama mtaji upo hamna kinachoshindikana lakini . Ila kwa maoni yangu unaweza kukuta kwanza kwenye section ya Electrical installation and maintenance au retail huku ukiusoma mchezo wa upande wa ICT , Kwa Tz market na demand ya ICT sidhani kama ni kubwa kihivyo , kama unataka kudeal na ICT tu then usome mchezo vizuri kwanza kabla ya kutumbukiza pesa ,ila kwa upande wa Electrical demand Kwa Tz bado ipo ya kutosha , unaweza fanya kazi kama contractor kwenye makampuni ya telecommunications ,viwandani , kwenye miradi ya ujenzi wa miundombinu ya umeme ,majengo nk
Demand ipo tena kubwa sana!Ni upeo wa kufikiri ndo Tatizo.
1. Kwenye Mabenki na taasisi za fedha kila siku system zipo down- Nnaongopa Ndugu zangu???
2. E Commerce ya Tanzania ipo Face book na Instagram na imejaa janjajanja- solution is needed
3. Tra mbali na system kuwa down mara kwa mara- bado wahaitaji kuwa na mifumo bora na sio bora mifumo yenye kuongeza ukusanyaji wa kodi na ufanisi
4. Tamisemi wanapoteza mabilioni kila kukicha kwa kutokuwa na mifumo bora ya IT(software)
5. Wizara ya Afya aina mfumo wa maana na mpaka leo Mfuko wa bima ya afya wanatumia makaratasi kwenye daily activities zao.
6. Uber na Bolt wapo Dar es salaam tu.
7.Why kusiwe na app ya real estate😀tukapiga madalali chini???
Ngoja niishie hapa kwa sasa.
Ni imani ya kimaskini kusema kuwa mjasiliamali ajikite na kitu kimoja😀 Mzee Mengi (RIP) alikuwa na makampuni mangapi?? Azam ana products ngapi??? Elon Musk ana kampuni ngapi?? Akuna tajiri duniani anafanyaga biashara moja! Ata Tanzania Breweries wana Safari na bia za aina nyingine zaidi ya 10😀😀
 
Demand ipo tena kubwa sana!Ni upeo wa kufikiri ndo Tatizo.
1. Kwenye Mabenki na taasisi za fedha kila siku system zipo down- Nnaongopa Ndugu zangu???
2. E Commerce ya Tanzania ipo Face book na Instagram na imejaa janjajanja- solution is needed
3. Tra mbali na system kuwa down mara kwa mara- bado wahaitaji kuwa na mifumo bora na sio bora mifumo yenye kuongeza ukusanyaji wa kodi na ufanisi
4. Tamisemi wanapoteza mabilioni kila kukicha kwa kutokuwa na mifumo bora ya IT(software)
5. Wizara ya Afya aina mfumo wa maana na mpaka leo Mfuko wa bima ya afya wanatumia makaratasi kwenye daily activities zao.
6. Uber na Bolt wapo Dar es salaam tu.
7.Why kusiwe na app ya real estate😀tukapiga madalali chini???
Ngoja niishie hapa kwa sasa.
Ni imani ya kimaskini kusema kuwa mjasiliamali ajikite na kitu kimoja😀 Mzee Mengi (RIP) alikuwa na makampuni mangapi?? Azam ana products ngapi??? Elon Musk ana kampuni ngapi?? Akuna tajiri duniani anafanyaga biashara moja! Ata Tanzania Breweries wana Safari na bia za aina nyingine zaidi ya 10😀😀
Umeongea kiupana sanaa na kwa uelewa mkubwa, Tz we need e-commerce solns, Tz tunahitaji app nzuri ya real-estates madalali wanasumbua sana... nilishawahi waza hii kitu kipindi nipo chuon
 
Demand ipo tena kubwa sana!Ni upeo wa kufikiri ndo Tatizo.
1. Kwenye Mabenki na taasisi za fedha kila siku system zipo down- Nnaongopa Ndugu zangu???
2. E Commerce ya Tanzania ipo Face book na Instagram na imejaa janjajanja- solution is needed
3. Tra mbali na system kuwa down mara kwa mara- bado wahaitaji kuwa na mifumo bora na sio bora mifumo yenye kuongeza ukusanyaji wa kodi na ufanisi
4. Tamisemi wanapoteza mabilioni kila kukicha kwa kutokuwa na mifumo bora ya IT(software)
5. Wizara ya Afya aina mfumo wa maana na mpaka leo Mfuko wa bima ya afya wanatumia makaratasi kwenye daily activities zao.
6. Uber na Bolt wapo Dar es salaam tu.
7.Why kusiwe na app ya real estate😀tukapiga madalali chini???
Ngoja niishie hapa kwa sasa.
Ni imani ya kimaskini kusema kuwa mjasiliamali ajikite na kitu kimoja😀 Mzee Mengi (RIP) alikuwa na makampuni mangapi?? Azam ana products ngapi??? Elon Musk ana kampuni ngapi?? Akuna tajiri duniani anafanyaga biashara moja! Ata Tanzania Breweries wana Safari na bia za aina nyingine zaidi ya 10😀😀
Mkuu umenena vyema mimi nipo na create solution namba 2 nishafanikisha prototype bado tu sehemu integration za malipo mwenye kuhitaji tushirikiane napo ni sawa tunaandikishana kisheria kuanzia ku register kampuni mpka shares
 
Best approach is "create something FIRST , get it into the market"

Maneno yawe machacheeee performance iwe kubwaa.
In africa tuna ombwe kubwa sana la tech solution..chagua chaka lako moja nikite hapo....

Software projects sio rahis kihivyo ukafikiri leo utakua na project hii halaf kesho utafanya project ileee...Software projects are mostly lifetime projects..endless work...sio kirahis kama unavyo wish iwe... niishie hapo kwa leo..
 
Mnayosema ni ukweli mpana, kwa Africa bado tunahitaji mifumo mbalimbali kama vile mifumo ya uhasibu, mifumo ya marketing etc

B2B SaaS ina ujitaji mkubwa sokoni, lakini soko lake bado ni gumu
Bado tunahitaji solution nzuri ya kuweza kufanikisha hili

Nawaza ni makampuni mangapi yapo tayari kulipia huduma zako kwa mwezi ? Mziki ndio unaanzia hapo

Mathalan kwa mfano ukiwa na mfumo ambao makampuni yanalipia 100,000 kwa mwaka maana yake ili ufikishe 1B ni uwe na makambuni 10,000 yatakayoridhia kulipia mfumo huu

Je makampuni hayo yapo kwa nchini hapa tuanzie hapo
 
Best approach is "create something FIRST , get it into the market"

Maneno yawe machacheeee performance iwe kubwaa.
In africa tuna ombwe kubwa sana la tech solution..chagua chaka lako moja nikite hapo....

Software projects sio rahis kihivyo ukafikiri leo utakua na project hii halaf kesho utafanya project ileee...Software projects are mostly lifetime projects..endless work...sio kirahis kama unavyo wish iwe... niishie hapo kwa leo..
Naomba unieleweshe unamaanisha nianzishe software company then nifanye kazi za makampuni
Au nianzishe my own product from tech like Spotify, Ube, au Amazon
Tuanzie hapo kwanza..
 
Sasa basi swali langu ni kwamba nikisema nijikite kwenye software development naweza tengeneza zaidi ya 1B kwa mwaka?
Kabal ya kuwekeza kwa asilimia 100, kwanza hakikisha unakuwa na project ndogo, pilot project, ambayo utai_monitor kwa miezi kadhaa, kama sehemu ya research. Ila from the start kujipa lengo la 1B, inakuwa haina uhalisia. Kila lakheri ndugu.
 
Mnayosema ni ukweli mpana, kwa Africa bado tunahitaji mifumo mbalimbali kama vile mifumo ya uhasibu, mifumo ya marketing etc

B2B SaaS ina ujitaji mkubwa sokoni, lakini soko lake bado ni gumu
Bado tunahitaji solution nzuri ya kuweza kufanikisha hili

Nawaza ni makampuni mangapi yapo tayari kulipia huduma zako kwa mwezi ? Mziki ndio unaanzia hapo

Mathalan kwa mfano ukiwa na mfumo ambao makampuni yanalipia 100,000 kwa mwaka maana yake ili ufikishe 1B ni uwe na makambuni 10,000 yatakayoridhia kulipia mfumo huu

Je makampuni hayo yapo kwa nchini hapa tuanzie hapo
Kampuni / clients can pay u whatever the amount as long as ur solution is really solving their problems or add value to their business.

Na mawazo yako haya kwako inaweza ikawa ngumu sana kufanya kitu.Maana hata utakapoanza kufa ya utajiuliza je hakuna wanao provide service hiyo tayar kwenye market?

Pia tambua hiki, hakuna idea unayofikiri unayo na haipo sokoni..Nyingi zipo kama sio zote..kinacholeta tofauti ni how performing the solutions are.
 
Naomba unieleweshe unamaanisha nianzishe software company then nifanye kazi za makampuni
Au nianzishe my own product from tech like Spotify, Ube, au Amazon
Tuanzie hapo kwanza..
My understanding is. "Product au service yako comes first" this is what defines you and make your business..
Microsoft was a product before becoming a brand then a business..ni mfano tu...
 
Naomba unieleweshe unamaanisha nianzishe software company then nifanye kazi za makampuni
Au nianzishe my own product from tech like Spotify, Ube, au Amazon
Tuanzie hapo kwanza..
Kuanzisha kampuni then uwe unafanya kandaras za makampun u need to have a huge and great team experienced in different angles of technology like AI ,mobile,ecomerce, softwares etc kwakua utakua unatafuta kazi nying.Hii maana yake u must be able to employ people cz urself or small team wont manage that considering the fact that software project are time consumming otherwise utagombana na watej
 
DUNDA APP imefikia wapi??
Kweli unanifuatilia sana..shukrani kwa hilo
Dunda App changamoto ni kama Ifuatazo

Competitors wa Dunda App ni Spotify, Apple, Boomplay ambao tayari wamefika mbali zaidi kwani wao kila simu ikitoka ina app zao kwa maana Iphones, Samsung, na Techno, Infinix soko ni gumu

Wanasema mfanyabiashara unatakiwa kwanza ufanye research kujua tightness ya soko..

Soko ni gumu mnoo
 
Back
Top Bottom