C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
Wakongwe habari zenu natumaini mko salama kabisa, na jumapili yenu inakwenda vizuri
Mimi swali langu ni hili ninataka kufungua kampuni ya ICT ijikite kwenye Software Development, ila sasa kama binadamu nina matamanio yangu na targets zangu, lengo la kampuni hii ni kuhudumia wateja wakubwa, wadogo na wa kati
Lengo ni kuwa na mauzo ya zaidi ya billioni moja kwa mwaka, target yangu kubwa ni kutafuta tender mbalimbali serikalini, na mashirika binafsi(b2b) na wateja mmoja mmoja (b2c)
Sasa basi swali langu ni kwamba nikisema nijikite kwenye software development naweza tengeneza zaidi ya 1B kwa mwaka? Nchini hapa? Soko ni kubwa kwa style hii? Najua yapo makampuni kama ipf software, smart codes, magila tech je safari ni rahisi au ni ngumu sana?
Lakini pia niwe jack of all trade?
Kivipi?
Yaani nianzishe kampuni ya engineering ambayo itakuwa inafanya Electrical, ICT, na Mechanical
Nimeambatisha chini kitu ambacho kampuni ya Klitech inafanya wao wanafanya Electrical, ICT, na Mechanical je nikienda kwenye hii njia ni sahihi kuna hela upande mwingi na nakuwa na wigo mpana wa kufikisha 1B kwa mwaka kuliko nikisema nina stick na software development pekee
Nawasilisha kwa maoni
Mimi swali langu ni hili ninataka kufungua kampuni ya ICT ijikite kwenye Software Development, ila sasa kama binadamu nina matamanio yangu na targets zangu, lengo la kampuni hii ni kuhudumia wateja wakubwa, wadogo na wa kati
Lengo ni kuwa na mauzo ya zaidi ya billioni moja kwa mwaka, target yangu kubwa ni kutafuta tender mbalimbali serikalini, na mashirika binafsi(b2b) na wateja mmoja mmoja (b2c)
Sasa basi swali langu ni kwamba nikisema nijikite kwenye software development naweza tengeneza zaidi ya 1B kwa mwaka? Nchini hapa? Soko ni kubwa kwa style hii? Najua yapo makampuni kama ipf software, smart codes, magila tech je safari ni rahisi au ni ngumu sana?
Lakini pia niwe jack of all trade?
Kivipi?
Yaani nianzishe kampuni ya engineering ambayo itakuwa inafanya Electrical, ICT, na Mechanical
Nimeambatisha chini kitu ambacho kampuni ya Klitech inafanya wao wanafanya Electrical, ICT, na Mechanical je nikienda kwenye hii njia ni sahihi kuna hela upande mwingi na nakuwa na wigo mpana wa kufikisha 1B kwa mwaka kuliko nikisema nina stick na software development pekee
Nawasilisha kwa maoni