Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
ANGALIZO WATUMIAJI WA CDMA ( MOBILE INTERNET )
Kwa siku za karibuni watu kadhaa wamekuwa wakilalamika kwamba wanapojaribu kujiunga na mtandao inakaa kwa sekunde au dakika chache halafu ina jikata ( disconnect ) wengi wao wanatumia CDMA MODEM ambazo zinapatikana kwa wingi kutoka kampuni za Zantel na Zain za Jijini Dar es salaam .
Kuna vitu 2 vya kuangalia hapa , kuna ile ambayo unaweza kujiunga ( connect ) lakini huduma ya internet hupati au unajidisconnect yenyewe kama vile wewe ndio umeamua na kuna ile unajiunga lakini MODEM yenyewe ndio inajidisconnect na kuanza install upya kama vile ndio umenunua kifaa hicho kwa mara ya kwanza
Hicho cha kwanza cha modem kujiondoa katika system yako na kujiunganisha yenyewe moja kwa moja , hilo ni tatizo la modem yako , unachotakiwa ni kufika katika duka ulilonunua na kuomba ubadilishiwe kuna baadhi ya modem ziko hivyo ingawa maduka mengi huwa wanahusisha hii na virus au ubovu wa computer yenyewe hili si kweli wanatakiwa kubadilisha .
Ukipata tatizo hilo hata unapounganisha kifaa hicho na computer zingine itakuwa ina connect na disconnect itaanza kudetect hardware ( hiyo modem ) upya kwa swala hili ni la dukani uliponunua kifaa chako
Ninachoongelea mimi ni pale unapounganisha modem yako na computer , halafu unajaribu kujiunga na internet baada ya sekunde inajikata ( disconnect ) , lakini ukipeleka katika computer nyingine inaweza kufanya kazi kama haijawa infected .
CHA KUFANYA
Unatakiwa uwe na antivirus ambayo inaweza kuscan katika Dos Mode pale tu computer inapowaka inascan kabla ya login ( kabla winlogin ) haijaanza kufanya kazi katika hizo antivirus nimetumia Avast antivirus 4.8 Profesional .
1 ) Ikiingiza Antivirus hii katika computer yako itakuuliza kama unataka kuscan computer yako wakati inaanza ( start ) unatakiwa ukubali , ila usirestart hapo .
2 ) Maliza kuinstall weka licence key zake ( licence key huwa inaingiza unapoclick kufungua hiyo antivirus kutumia icon yake iliyoko kwenye desktop )
3 ) Update nakushauri udownload update yake kutokea tovuti yake avast! - Download antivirus software for spyware and virus protection in ukubwa wa kama 24 mb , kwa modem za kawaida cdma utaweza kutumia pesa nyingi kidogo na kama connection yako iko chini utapata tabu kwahiyo ni bora uende katika internet café .
4 ) ukishapata update install katika computer yako kisha Restart au zima na kuwasha computer yako
UKISHAWASHA ITAANZA KUSCAN COMPUTER YAKO YOTE MAELEZO MENGINE CHA KUFANYA INAPOKAMATA VIRUS NI KUBONYESHA 1 KWA KUCLEAN AU 2 KWA DELETE ALL , 3 KWA DELETE , 4 KWA MOVE , UTASOMA MAELEZO ZAIDI .
..
Wakati inascan computer yako utaona inascan sehemu kama C:/SYSTEM RESTORE hiyo ni HIDEN FOLDER ambapo virus huyo hujificha , kwahiyo huwezi kufanya system restore kwa sababu ana disable pamoja na kuweka profile nyingine wakati unapologin ndio maana unatakiwa kuiscan kabla ya kuingia katika operating system yako au kabla winlogin haijaanza kufanya kazi .
Kama wewe ni mtazamaji mzuri computer yako ikiwa na tatizo hilo angalia wakati unawasha tu inapo login katika windows juu kulia utaona kibox kinajiandika INSTALLING NEW PROFILE bila idhini yako , hiyo ndio haitakiwi .
KUMBUKA HAYA NI MAWAZO YANGU ---- NAFUNGUA MJADALA KUHUSU SUALA HILI TUNAWEZA KULIJADILI ZAIDI KAMA KUNA MASWALI NA MICHANGO ZAIDI
YONA F MARO
oldmoshi@gmail.com
BidiiForums - Karibu Tujenge Nchi - Index KARIBU TUJENGE NCHI
USIKU MWEMA
Kwa siku za karibuni watu kadhaa wamekuwa wakilalamika kwamba wanapojaribu kujiunga na mtandao inakaa kwa sekunde au dakika chache halafu ina jikata ( disconnect ) wengi wao wanatumia CDMA MODEM ambazo zinapatikana kwa wingi kutoka kampuni za Zantel na Zain za Jijini Dar es salaam .
Kuna vitu 2 vya kuangalia hapa , kuna ile ambayo unaweza kujiunga ( connect ) lakini huduma ya internet hupati au unajidisconnect yenyewe kama vile wewe ndio umeamua na kuna ile unajiunga lakini MODEM yenyewe ndio inajidisconnect na kuanza install upya kama vile ndio umenunua kifaa hicho kwa mara ya kwanza
Hicho cha kwanza cha modem kujiondoa katika system yako na kujiunganisha yenyewe moja kwa moja , hilo ni tatizo la modem yako , unachotakiwa ni kufika katika duka ulilonunua na kuomba ubadilishiwe kuna baadhi ya modem ziko hivyo ingawa maduka mengi huwa wanahusisha hii na virus au ubovu wa computer yenyewe hili si kweli wanatakiwa kubadilisha .
Ukipata tatizo hilo hata unapounganisha kifaa hicho na computer zingine itakuwa ina connect na disconnect itaanza kudetect hardware ( hiyo modem ) upya kwa swala hili ni la dukani uliponunua kifaa chako
Ninachoongelea mimi ni pale unapounganisha modem yako na computer , halafu unajaribu kujiunga na internet baada ya sekunde inajikata ( disconnect ) , lakini ukipeleka katika computer nyingine inaweza kufanya kazi kama haijawa infected .
CHA KUFANYA
Unatakiwa uwe na antivirus ambayo inaweza kuscan katika Dos Mode pale tu computer inapowaka inascan kabla ya login ( kabla winlogin ) haijaanza kufanya kazi katika hizo antivirus nimetumia Avast antivirus 4.8 Profesional .
1 ) Ikiingiza Antivirus hii katika computer yako itakuuliza kama unataka kuscan computer yako wakati inaanza ( start ) unatakiwa ukubali , ila usirestart hapo .
2 ) Maliza kuinstall weka licence key zake ( licence key huwa inaingiza unapoclick kufungua hiyo antivirus kutumia icon yake iliyoko kwenye desktop )
3 ) Update nakushauri udownload update yake kutokea tovuti yake avast! - Download antivirus software for spyware and virus protection in ukubwa wa kama 24 mb , kwa modem za kawaida cdma utaweza kutumia pesa nyingi kidogo na kama connection yako iko chini utapata tabu kwahiyo ni bora uende katika internet café .
4 ) ukishapata update install katika computer yako kisha Restart au zima na kuwasha computer yako
UKISHAWASHA ITAANZA KUSCAN COMPUTER YAKO YOTE MAELEZO MENGINE CHA KUFANYA INAPOKAMATA VIRUS NI KUBONYESHA 1 KWA KUCLEAN AU 2 KWA DELETE ALL , 3 KWA DELETE , 4 KWA MOVE , UTASOMA MAELEZO ZAIDI .
..
Wakati inascan computer yako utaona inascan sehemu kama C:/SYSTEM RESTORE hiyo ni HIDEN FOLDER ambapo virus huyo hujificha , kwahiyo huwezi kufanya system restore kwa sababu ana disable pamoja na kuweka profile nyingine wakati unapologin ndio maana unatakiwa kuiscan kabla ya kuingia katika operating system yako au kabla winlogin haijaanza kufanya kazi .
Kama wewe ni mtazamaji mzuri computer yako ikiwa na tatizo hilo angalia wakati unawasha tu inapo login katika windows juu kulia utaona kibox kinajiandika INSTALLING NEW PROFILE bila idhini yako , hiyo ndio haitakiwi .
KUMBUKA HAYA NI MAWAZO YANGU ---- NAFUNGUA MJADALA KUHUSU SUALA HILI TUNAWEZA KULIJADILI ZAIDI KAMA KUNA MASWALI NA MICHANGO ZAIDI
YONA F MARO
oldmoshi@gmail.com
BidiiForums - Karibu Tujenge Nchi - Index KARIBU TUJENGE NCHI
USIKU MWEMA