Did anyone understand this guy?...au ndo kuongeza posts?
asante
mwaka mwema 2011
jamani mbona cjaelewa au kujaza kurasa tu pls mods angalieni post zingine
unajua humu majungu sana nimeona akuna maana ya kukaa humu
Mkuu chizi kompyuta amekasirika ktk post inayosema: hii ikoje analogi to digitali.
Niliuliza jambo akatoa ufafanuzi wadau wakamchallenge kidogo akakasirika na kudai watu tunaeleweshwa hatubebeki tunazengua tu.
Na baada ya kupost hivyo akapost hii thread ya kuaga
sasa na hii nihabari ya teknolojia.?????
we dogo badili fani kuwa mtaalmu na mchambuzi wa siasa.
unajua humu majungu sana nimeona akuna maana ya kukaa humu
anajua ukiwa na post nyingi ndio unakuwa prem.member
ila usihame jf kabisa kunamajukwaa mengi humu ndani chagua moja mkuu
kuna jukwaa la mapenzi pia kama siasa azijui
Gonga soup kwanza utulize mzuka MS