Kijana wangu mmoja anasoma katika chuo fulani cha computer Arusha, Baada ya wiki moja ya masomo yake nikampa kazi fulani anisaidie lakini baada ya kugusa computer yangu akabaki akishangaa...
Nina website ambayo awali nilitumia static html and simple javascripts pages,ikawa inawork vizuri katika Dreamweaver.
Nimejaribu kuongeza baadhi za features na kufanya implementation kwa kutumia...
Hawa jamaa kila nikiona yale mabango yao na jinsi wanavyosema ukiwa na zantel kifurushi chako kinatumika taratibu kama mshumaa, nawashangaa sana.
Sasa hapa ina maana speed yao ni ndogo ndio...
Nimejiunga na kifurushi cha unlimited for 30 days cha vodacom
aisee ina speed nzuri cjapata ona naeza download like 4 GB Kwa masaa 12. usipimee
nawashauri mtumie hiii...
Jaman nko katka wakat mgum, hyo namba inanisumbua lakn mmiliki wake smjuw! Tafadhali,mwenye skills za intelijensia, anipe data za hyo namba ni nan na yuko wapi?
Poleni wana JF wote kwa majukumu.
Ivi karibuni nimejiunga na hiyo bank ili niweze kupata baadhi ya huduma zake za kibenki while I am at home or anywhere provided internet ipo. Nishapewa ID na...
Jaman wana JF.Nimeuziwa monitor aina ya IBM flat scree,Haina cable hata moja.Je inatumia cable sawa na flat screen nyingin au IBM Cable zake ni tofauti? Vp indumu au ni bomu?sijui vitu vya...
Nimenunua modem ya voda juzi tu. Tatizo inakula sana. Nimeongea na customer care usiku sana maana muda wa mchana hawapatikani. Jamaa akaniambia kununua bundle niweke elf 10 kisha nitume neno...
WanaJF mambo vp?. Kuna chaneli mpya ya Star tv ya Mwanza imeanzishwa inapatikana kwenye satelite ya NSS12 ku_band _57degree East inapopatikana KBC1 ila bado wako kwenye majaribio kwa parameter ya...
Hi
Just sharing, links are working
Windows Server 2008 Bible
http://www.megaupload.com/?d=2U0TK5BA
Windows 7 Bible
http://www.megaupload.com/?d=HLLHAPJC
Microsoft Office Visio 2007 Bible...
NEW YORKGoogle Inc. hopes to nudge consumers and merchants into a world where the smartphone has replaced the wallet as the container for credit cards, coupons and receipts.
While it tackles...
habari za mida hiii
natumaini kuwa wote wasoma hii kitu ni wazima....
sasa wanajamii nataka kujua kama naweza kupata zile sms center number ambazo naweza kuna katuma sms for free jombaa..maujanja...
Wadau samahani hiv kuna altenative ya kudownload nyimbo kwenye website yenye vikwazo vya kudownload kikiwapo cha kuilipia nyimbo kwanza kabla ya kudownload?