Firefox
Senior Member
- May 10, 2011
- 127
- 71
Hawa jamaa kila nikiona yale mabango yao na jinsi wanavyosema ukiwa na zantel kifurushi chako kinatumika taratibu kama mshumaa, nawashangaa sana.
Sasa hapa ina maana speed yao ni ndogo ndio maana kifurushi kinachelewa kuisha,
watumiaji hatuangalii muda wa bundle kuisha, tunaangalia speed na price ya bundle.
Sasa hapa ina maana speed yao ni ndogo ndio maana kifurushi kinachelewa kuisha,
watumiaji hatuangalii muda wa bundle kuisha, tunaangalia speed na price ya bundle.