Utapeli katika vyuo vya computer arusha.

TECHMAN

JF-Expert Member
May 20, 2011
2,651
1,125
Kijana wangu mmoja anasoma katika chuo fulani cha computer Arusha, Baada ya wiki moja ya masomo yake nikampa kazi fulani anisaidie lakini baada ya kugusa computer yangu akabaki akishangaa, nikamuuliza kwanini akasema hayo hajafundishwa. Nilipotazama course work zake nikakuta anafundishwa Introduction WINDOWS 95,98,200O AND ME upande wa msoffice nikakuta office 97,2003. Ikabidi niende katika chuo anachosoma, nikakuta kuna wanafunzi wengi sana wanachukua mafunzo ya computer. Sikuwenza kumpata muhusika wangazi za juu wa chuo ila niliemkuta nikamwambia wanafanya wizi mmbaya sana.
 
Kijana wangu mmoja anasoma katika chuo fulani cha computer Arusha, Baada ya wiki moja ya masomo yake nikampa kazi fulani anisaidie lakini baada ya kugusa computer yangu akabaki akishangaa, nikamuuliza kwanini akasema hayo hajafundishwa. Nilipotazama course work zake nikakuta anafundishwa Introduction WINDOWS 95,98,200O AND ME upande wa msoffice nikakuta office 97,2003. Ikabidi niende katika chuo anachosoma, nikakuta kuna wanafunzi wengi sana wanachukua mafunzo ya computer. Sikuwenza kumpata muhusika wangazi za juu wa chuo ila niliemkuta nikamwambia wanafanya wizi mmbaya sana.

Wizi wanaofanya ni upi sasa ? Kujua basic kama DOS ni muhimu vile vile na ukijua Windows 2000 basi hata nyingine hazitakushinda. Ukijua office 2003 office 2007 na 2010 hazitakushinda . wanachofundisha ni skills sio solutions.

So kijana wako mwambie anatakiwa kutumi skills alizofundshwa kwenye windows 2000 na ffice 2003 kwenye windows 7 na office 2007 . La sivyo atakufilisi sababu teknolijia inabdilika kila siku.
 
kwanza haujasema ulimpa kazi gani aliyoshindwa kuifanya? isijekuwa ulimpa kazi ya kutengeneza website halafu unatupotezea muda wetu bure hapa.
 
Dah kweli huo ni wizi mtupu sasa hiyo windows 95 ataenda kuikuta wapi maana hizo windows ni za pentium 1 na 2 so utazipata wapi?
 
Mbona Arusha kuna vyuo vingi vizuri tu, umejaribu Acharya, au pia unaangalia gharama?hayo ndio madhara yake
 
Hakuna wizi hapo, nadhani ungekuwa na uelewa wa computer ungepiga hadi uue huyo mtoto
 
hyo ndo a town bana!

Mjomba wewe mwenyewe umebugi hapo....hakuna utapeli wowote.

Kwa Arusha, kuna Acharya cha joint venture ya wa-Iran na Tz..na hapo pana walimu wanaJF kibao ninaowajua, wako njema sana kwenye computer watamfundisha hadi ashindwe yeye!
Pia kuna University Computing Centre, japo hawana final exam za kozi za computer basics, lakini wana walimu bomba!
Pia kuna COMPUTRONIX, nao wako competent sana...ulizia watu mkuu!
 
Mjomba wewe mwenyewe umebugi hapo....hakuna utapeli wowote.

Kwa Arusha, kuna Acharya cha joint venture ya wa-Iran na Tz..na hapo pana walimu wanaJF kibao ninaowajua, wako njema sana kwenye computer watamfundisha hadi ashindwe yeye!
Pia kuna University Computing Centre, japo hawana final exam za kozi za computer basics, lakini wana walimu bomba!
Pia kuna COMPUTRONIX, nao wako competent sana...ulizia watu mkuu!

Mkuu hapo kwenye red wewe mwenyewe umebugi...Acharya ni ya India kaka!! hivi huyu jamaa alidhani mtoto atapata basic ya computer for 1 week aweze kufanya kazi na computer? hiyo msOffice 97, na win 95 ni foundation, ukitaka kujenga gorofa itakayokwennda juu sana lazima uanze msingi chini sana.... hiyo chuo bomba sana niambie ipo wapi nami niende...
 
Wiki moja ushaanza kumbebesha mzigo mtoto wa watu! Wiki moja si bado anajifunza ku right-click.
 
Kijana wangu mmoja anasoma katika chuo fulani cha computer Arusha, Baada ya wiki moja ya masomo yake nikampa kazi fulani anisaidie lakini baada ya kugusa computer yangu akabaki akishangaa, nikamuuliza kwanini akasema hayo hajafundishwa. Nilipotazama course work zake nikakuta anafundishwa Introduction WINDOWS 95,98,200O AND ME upande wa msoffice nikakuta office 97,2003. Ikabidi niende katika chuo anachosoma, nikakuta kuna wanafunzi wengi sana wanachukua mafunzo ya computer. Sikuwenza kumpata muhusika wangazi za juu wa chuo ila niliemkuta nikamwambia wanafanya wizi mmbaya sana.
Ulitarajia aweze nini ndani ya wiki moja, je mtoto wako anauwezo au niwale wa kusukuma....kama ungekuwa makini kabla hajaanza ungefatilia kwanza kwamba atasoma nini na wiki ya kwanza atakuwa ameweza nini...kifupi umeonyesha ujinga wako, nyie ni kati wazazi wajinga, ambao mnalipa ada bila kujua utasoma nini mtoto wako...uizi wa vyuo vya Arusha hapo ni nini, walikwambia mwanao atasoma office 2010 halafu wakamfundisha 97?...
 
Asante sana kwa majibu mazuri, Kwa mtazamo wangu! Hakuna haja ya kufundisha windows 95 na 98 kabla ya kufundisha Windows Vista, unaweza kufundisha katika introduction kama historia tu. vile vile katika msoffice.
 
Swali zuri, mtu aliejifunza ms office 97,2003 na windows 98 and 2000 ukimpa kutaipa barua na kuiedit katika Windows 7 na office 2007 0r 2010 unategemea nini?
Tatizo sijawahi kukutana na mtu yeyote anayesoma kozi ya computer hivi karibuni mara ya mwisho ni miaka mitano iliopita nilizani everything goes with time. lakini kumbe sivyo.
 
Ulitarajia aweze nini ndani ya wiki moja, je mtoto wako anauwezo au niwale wa kusukuma....kama ungekuwa makini kabla hajaanza ungefatilia kwanza kwamba atasoma nini na wiki ya kwanza atakuwa ameweza nini...kifupi umeonyesha ujinga wako, nyie ni kati wazazi wajinga, ambao mnalipa ada bila kujua utasoma nini mtoto wako...uizi wa vyuo vya Arusha hapo ni nini, walikwambia mwanao atasoma office 2010 halafu wakamfundisha 97?...

POLE MDAU sikujua kama chuo ni chako, pia sikujua kua mpaka uombe ufundishwe nini, kama usipoomba ndo unafundishwa windows 95 na office 97, Asante pia kwa kunikumbusha kuwa mimi ni mzazi mjinga, Good Job. YOU ARE Brilliance
 
Swali zuri, mtu aliejifunza ms office 97,2003 na windows 98 and 2000 ukimpa kutaipa barua na kuiedit katika Windows 7 na office 2007 0r 2010 unategemea nini?
Tatizo sijawahi kukutana na mtu yeyote anayesoma kozi ya computer hivi karibuni mara ya mwisho ni miaka mitano iliopita nilizani everything goes with time. lakini kumbe sivyo.
sasa hapa ulimpa kazi ya kuedit kitu gani katika komputer inayorun window ipi na MS Office version ipi
Pia unatakiwa ufatilie je huyo mwanao alikua anaenda kuhudhuri tu au alikua anaenda jifunza na je chuo kina zana zote za kujifunzia ukisha jua yote hayo ndio uanze toa lawama mkuu.
Ni mtazamo tu!!!!
 
pole mdau sikujua kama chuo ni chako, pia sikujua kua mpaka uombe ufundishwe nini, kama usipoomba ndo unafundishwa windows 95 na office 97, asante pia kwa kunikumbusha kuwa mimi ni mzazi mjinga, good job. you are brilliance

sasa hapa ulimpa kazi ya kuedit kitu gani katika komputer inayorun window ipi na ms office version ipi
pia unatakiwa ufatilie je huyo mwanao alikua anaenda kuhudhuri tu au alikua anaenda jifunza na je chuo kina zana zote za kujifunzia ukisha jua yote hayo ndio uanze toa lawama mkuu.
Ni mtazamo tu!!!!



win 7 office 2010
 
Swali zuri, mtu aliejifunza ms office 97,2003 na windows 98 and 2000 ukimpa kutaipa barua na kuiedit katika Windows 7 na office 2007 0r 2010 unategemea nini?
Tatizo sijawahi kukutana na mtu yeyote anayesoma kozi ya computer hivi karibuni mara ya mwisho ni miaka mitano iliopita nilizani everything goes with time. lakini kumbe sivyo.


Mkuu mtu uayemuongelea hatakiki kushindwa. La sivyo atakufilisi kila ikitoka OS mpya umtafutie chuo na Kila ikitoka MS office mpya umtafutie chuo.

Mfano Ms office zote Menu system yake haina tofauti sana . Kuna File ,edit redo undo, Tools Insert, Allign rght etc. Kwenye Ms zote office kuna help. Anaijua kazi yake?????? Kwa kutumia help tu angeweza hata kujifundisha mwenyewe. Haya ndo mambo basic anatakiwa kujua no matter version ya software. Mambo yaliyo kwenye edit au file menu ya office 2003 ni yale yale yako kwenye edit ya 2007. tofauti ni ndogo saaaaaana.

Kuna Watu vyuoni walijifunza programming kwa kutumia Qbasic au Pascal lakini maofisi wanatumia prgram nyingine na hawakupelekwa shule. Kuna watu database wanajifunza Ms ascess lakini principle zake unaweza kuzipeleke hadi kwenye MySql na Sqlserver.

Mtu aliyejifunza na kuelewa windows 2000 hatakiwi kushindwa kutumia windows 7. Je angefundishwa windows 7 akapata kazi kwenye ofisi akakuta kuna XP angesemaje??

Ni sawa umuulize mwanafuzni wa darasa la tatu kafundishwa nini aseme kafundiswa hesabu za kujumisha alafu umuulize 5+5 = ? akumbie hajafundishwa.

NB
kama kijana wako ( sijui ana umri gani)anatakiwa kuwa na ujuzi wa kompyuta basi mwambie ajaribu kuwa mtundu mtundu.Otheriwse itabidi maisha yake yote yawe ni vyuoni tu. Mwaka kesho windows wanatoa windows 8......
 
Back
Top Bottom