Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

nilikuwa natumia nokia 5130c-2, nilipotaka baadhi ya huduma kwenye internet wanasema ni kwa ajili ya cm zenye3G. Naomba anayefaham aina ya cm hzo anisaidie, zile za nokia.
0 Reactions
27 Replies
5K Views
nina laptop yangu aina ya accer Aspire one D255E nilibadilisha window juzi kutoka window 7 starter kwenda window 7 ultimate ilipomaliza kuinstall window files nikaingiza crack zake zen ikaanza...
0 Reactions
0 Replies
844 Views
sijui hili tatizo niweke vipi nieleweke. yaani sijui nilibofya wapi then icon %90 zinakuwa kitu kimoja-default katika kufungua program yoyote. mfano muda huu hizi icons ziko katika muundo wa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
My McAfee has not been working – it does not start automatically when I boot my computer that I needed to uninstall and reinstall the application. How can I prevent this problem from happening...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nisaidieni wataalam, kuna hii msg huwaga naipata ninapofungua baadih ya site. This domain is blocked...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
This appears to be the case with a 17-year-old Chinese boy who reportedly decided that he would not give his right arm for an ipad 2, but he would give his right kidney. he said this I know, I...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana JF Naombaa kuwasilisha kitu ambacho nimekigundua leo. Nilikuwa na search uwezekano wa kuichakachua modem ya Zantel EC226. Nilichogundua kuwa modem za kwanza walizoziuza Zantel zote...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
wako ndugu jamaa na marafiki wengi sana wanaopenda ku tazama kipindi channel ya emmanuel Tv kutoka nigeria(The synagouge church of all nations) lakini kutonana na antena zetu hatuwezi kuishika hii...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tunaomba frequnce za itv
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu wana JF,nime-download movie niki-play inanipa message "This video is encripted.please download the codec from www.infoavi.com" . Lakini nikienda kwenye hiyo address siipati. Naomba mwenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu wataalam naomba msaada wenu. Nina laptop ambayo caps zimelock, nikiandika ninakuwa kama nimeweka capitals, kwa hiyo siwezi ku log in na password yangu maana inaandika password na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
hi
hi guys how r u doing!hopefully mko poa .niaje ma wkend wazeiyaaa....hav a nice time
0 Reactions
0 Replies
985 Views
Nilinunua Modem ya Vodacom aina ya ZTE, Vodafone K3570-Z. Nilihangaika sana kuifanya iweze kutumika kwa kila mtandao. Bahati nzuri nikatembelea mtandao fulani ambapo mtu kwa jina la Shahnawaz...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu wa IT nisaidieni nimekwama hapa. Natumia Eclipse kama IDE. Apache kama webserver Tomcat kama container Lakini flash file iliyopo kwenye heder.jspf inagoma kuwa displayed. Hii ndio...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kwanini lakini huu mtandao wa tigo,hususani 3G,inashika vizuri ktk ya jiji tu,yaani hata tv stations,kama aljazeera,press tv,na france 24,unatazama kupitia kwenye simu,clear kama mkanda.mbona...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Naomba msaada wana JF. Natafuta software ya kuweka password kwenye files na folders zangu. Tafadhali kwa anayejua anijuze. Natanguliza shukrani zangu
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu naomba link nzuri ya kudownload music. Nawasilisha.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ICT ni sehemu ndogo ya Teknolojia. Siku si nyingi tutasikia bajeti ya matumizi ya serikali kwa mwaka 2011/2012. Niko interested na nawashauri wadau wote wa ICT ni vizuru tujaribu kutafuta...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
wadau naomba msaada wenu, nahitaji kuwa na web yenye domain name ya .co.tz, niwaone nani ambao wanabei nzuri kwa usajili? na ni nani na nani wenye mamlaka ya kusajili? vilevile na webhosting...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Natumia notron antivirus ktk computer but two weeks ago imejiturn off, and it always alerting "your norton antivirus turned off." Wadau naomba mnisaidie jinsi ya kuturn on
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…