MSAADA: kumiliki website ya .co.tz

Baiskeli

JF-Expert Member
Dec 8, 2010
336
61
wadau naomba msaada wenu, nahitaji kuwa na web yenye domain name ya .co.tz, niwaone nani ambao wanabei nzuri kwa usajili? na ni nani na nani wenye mamlaka ya kusajili? vilevile na webhosting niwaone akina nani kwa bei nzuri hapa tz au hata ng;ambo.. msaada wadau nahitaji kwa ajili ya biashara yangu.
 
Kuna solution kibao za webserver za nje ya tanzania lakini kama huna utaalam sana M pm invisible. atakusaidia .Wana ofisi yao ina dili na hizo issue

Maana webserver wengi hasa wa nje terms zao huwa Hazieleweki wazi unaweza kudhani umepata dili kumbe umeliwa.
 
Kuna solution kibao za webserver za nje ya tanzania lakini kama huna utaalam sana M pm invisible. atakusaidia .Wana ofisi yao ina dili na hizo issue

Maana webserver wengi hasa wa nje terms zao huwa Hazieleweki wazi unaweza kudhani umepata dili kumbe umeliwa.
umeliwa kivipi mkuu mbona unatutisha tunaomba utufungue macho kabla hatujaibiwa mkuu
 
wadau naomba msaada wenu, nahitaji kuwa na web yenye domain name ya .co.tz, niwaone nani ambao wanabei nzuri kwa usajili? na ni nani na nani wenye mamlaka ya kusajili? vilevile na webhosting niwaone akina nani kwa bei nzuri hapa tz au hata ng;ambo.. msaada wadau nahitaji kwa ajili ya biashara yangu.

Baiskeli, kama alivyokushauri memba mmoja hapa mtumie PM invisible au Maxence Mello utasaidiwa vizuri sana. Utapewa msaada wote unaouliza hapa kwa cheap rate. Kazi ya kuregister domain kwa .co.tz watakufanyia wao wenyewe na hosting watakufanyia wao mwenyewe kwa bei nzuri sana. Mie wana host website yangu kwa kipindi kirefu. Servers zao ziko stable na kazi yao inaaminika. Wajaribu.
 
umeliwa kivipi mkuu mbona unatutisha tunaomba utufungue macho kabla hatujaibiwa mkuu

No sikutishi nimesema zipo nyingi but unataiwa kuwa makini kuchagua wabhost wazuri kwa kusoma review za watu waliotumia au wanaotumia hudma zao mtandaoni wanairate vipi hiyo XYZ host

Pia Usikimbilie bei tu soma terms na conditions zao vizuri hakikisha umezielewa. Maana sometime unaweza kuarfijika na bei ukasahu kusoma masharti. Kam ni watu wao bongo unaweza kuwakaba shati teh teh teh but kama wako nje ehehheeeee. utaongea a screen tu

Unaweza ku google pia "Best web hosting service" Au unaweza kutumia free we hosting kwa muda tatizo lake inakuwa slow ukirrizika a hudma yao unaahamia kwenye paid hosting. Mfano kuna Free Web Hosting with cPanel, PHP, and no Ads, Free Web Hosting, Free Templates, Free Tutorials and More - Zymic . But hizi sina uhakika nazo mi nazitumia kwa free sina uhakika sana na security yake


Ndio nilichomaanisha . Just shop arround na m pm invisble mwisho wa siku wewe ndo utaamua uchukue ipi.
 
kaa la moto, asante kwa ushauri lkn haiwezekani kunipa tu gharama domain umepata kwa bei gan? na wamekuhost kwa bei gani? vilevile napenda kujua kama nimepata domain name sina weza kuwa nabadilisha hosting? by ze way ntampm invisible.
 
Mkuu kwa kwa uelewa wako hiyo domain ntaipata wap kwa urahisi na bei nzuri?
 
Angalia katika hii link http://www.desiamore.com/webDesign.php huyu ni mtanzania atakufanyia bei nzur mchek katika hyo web yake ameweka gharama zake zote kwa kila kaz inshort kuhost web anafanya 150,000 kwa mwaka. Na pia ana huduma nyingi zaidi ya kuhost web tembelea site yake utaona kilakitu.
 
Tatizo kubwa la .co.tz DOMAINS ni urasimu tu wa kuzipata. Bei iko juu kuipata. Ikiwa .com inakuwa rahisi sana...

Hosting inategemeana na site ya mtu, kusema UNLIMITED kila kitu ni uwongo wa mchana. Halafu FREE HOSTING inayoongelewa na mdau hapo juu sijaelewa ikoje, unaweka tracker kwenye sites za watu wako? Unaweka adsense kwenye sites zao? Unalipia server na kutoa service BURE? Unafanya daily backups? Unafanya additional installations za apps?

SISI:

Tunafanya hosting kuanzia $5 na kuendelea, tuna servers 3 tofauti kulingana na client anayekuja. Tunatoa support in 5min (response via email) na kufanya installation ya apps zozote ambazo client anataka BURE (kama ni open source). Tunapokufanyia hosting hatuku-limit juu ya email accounts za kuwa nazo. Tunafanya daily backups, tunatoa ushauri kwa client kama kuna kitu anataka kufanya na hana uhakika nacho.

Web design hatufanyi kwa kuhesabu pages au kukisia, tunamsikiliza client kujua anahitaji nini hasa. Hatufanyi design kwa kunyofoa templates sehemu, client analeta requirements na tunaanza design kwa stages mpaka client aridhike kisha tunabadili image kwenda kwenye tovuti halisi.

Zaidi wasiliana nasi kwa email iliyo kwenye signature yangu (kama unahitaji services zetu)
 
Mkuu na wewe una provide web hosting services au unatoa space kwenye hosting ambayo na wewe umeshalipia tayari.?

Hapana, sina web hosting service ila nina reseller accounts kadhaa ambazo naweza kuhost unlimited domains with cpanel each with different c class ip.
 
Halafu FREE HOSTING inayoongelewa na mdau hapo juu sijaelewa ikoje, unaweka tracker kwenye sites za watu wako? Unaweka adsense kwenye sites zao? Unalipia server na kutoa service BURE? Unafanya daily backups? Unafanya additional installations za apps?
Mkuu mimi nilikuwa nataka kumsaidia tuu, siweki tracker wala adsense code, ni kwamba akiwa na domain ninaweza mtenegezea account yake na kumpa DNS na yeye anapeleka kwenye registrar wake ili apropagate na anakuwa na full control access ya (ftp/cpanel username na password).

Hivi kweli huamini mtu haweza kusaidia bila ya kutegemea chochote in return? Mimi huamini kuwa Mungu ndiye atoae na kama mtu anashida siyo vibaya kutoa masaada hata kama mimi nagharimia.
 
wadau naomba msaada wenu, nahitaji kuwa na web yenye domain name ya .co.tz, niwaone nani ambao wanabei nzuri kwa usajili? na ni nani na nani wenye mamlaka ya kusajili? vilevile na webhosting niwaone akina nani kwa bei nzuri hapa tz au hata ng;ambo.. msaada wadau nahitaji kwa ajili ya biashara yangu.
Kaka .co.tz ni domain name ambayo inalipiwa pale tznic wako millenium tower then ukishalipia hiyo domain utatakiwa kulipia nafasi katika server katika kampuni mojawapo kati ya hizo zilizo jinadi katika hii thread...na cost ya domain ni elfu 45 if am not mistaken.
 
Back
Top Bottom