Msaada wa Haraka: Nimeharibikiwa na External Hard Disk

Mabagala

JF-Expert Member
Nov 27, 2009
1,480
325
External Hard Disk yangu ilidondoka kutoka usawa wa kitanda mpaka sakafuni, na sasa haifunguki na wala haisomi kwenye computer yoyote ile. Rafiki yangu kanipa mwanga tu kuwa huenda motor yake imezimia ama imekufa. Natafuta fundi kwa ajili ya kuifanya ifanye kazi kwa muda tu, angalau nipate kuhamisha files zilizomo kwenda kwenye computer ama hard disk nyengine. Mwenye kuwafahamu hawa mafundi tafadhali naomba tuwasiliane. External hard disk yenyewe ni aina ya SeaGate na iko na 500GB. Napatikana kwa 0713589106.
Natanguliza shukrani nyingi
 
mkuu, ki ukweli kutengeneza hardisk iliyoharibika ni udanganyifu tu...harddisk kwa kawaida ni ngumu sana ku repair hardware yake kwa jinsi ilivyotengenezwa, watu wanadai wanatengeneza lakini hamna kitu..ni ubabaishaji tu na mara nyingi wanatumia trial and error ambayo hata mtu wa kawaida anaweza kufanya na kufanukiwa kwake huwa ni bahati tu ila mara nyingi huwa ikifa ndo basi na chanzo kikubwa ndo kama hivyo kuangusha...Njia kubwa ya trial and error wanayotumia ni kujaribu kui plug in na kutoa kwenye pc mara nyingi mpaka itakapokubali au kujaribu kuigongagonga kama kuishtua mpaka inakubali (ingawa huwa ni kwa muda tu na suluhisho ni kununua mpya)..so kuipeleka kwa fundi ni kupoteza tu hela utaishiwa kuliwa na pengine hata hizo data usizipate...sikukatishi tamaa ila ukweli ndo huo!!
 
mkuu, ki ukweli kutengeneza hardisk iliyoharibika ni udanganyifu tu...harddisk kwa kawaida ni ngumu sana ku repair hardware yake kwa jinsi ilivyotengenezwa, watu wanadai wanatengeneza lakini hamna kitu..ni ubabaishaji tu na mara nyingi wanatumia trial and error ambayo hata mtu wa kawaida anaweza kufanya na kufanukiwa kwake huwa ni bahati tu ila mara nyingi huwa ikifa ndo basi na chanzo kikubwa ndo kama hivyo kuangusha...Njia kubwa ya trial and error wanayotumia ni kujaribu kui plug in na kutoa kwenye pc mara nyingi mpaka itakapokubali au kujaribu kuigongagonga kama kuishtua mpaka inakubali (ingawa huwa ni kwa muda tu na suluhisho ni kununua mpya)..so kuipeleka kwa fundi ni kupoteza tu hela utaishiwa kuliwa na pengine hata hizo data usizipate...sikukatishi tamaa ila ukweli ndo huo!!
Sijui nini hata mimi naelewa kuwa ni hivi vidude huwa havitengenezeki, ila nimejaribu kuja hapa ili kuona kama naweza kupata ufumbuzi, pengine ntapata mtaalamu wa kuniwekea sawa. Asante sana
 
Sijui nini hata mimi naelewa kuwa ni hivi vidude huwa havitengenezeki, ila nimejaribu kuja hapa ili kuona kama naweza kupata ufumbuzi, pengine ntapata mtaalamu wa kuniwekea sawa. Asante sana
hahaa..mkuu hapa hakuna utakachokosa...kila aina ya ushauri utapata na ninahakika wapo watu watakutafuta wakidai wanaweza kutengeneza...just be careful!! Otherwise...wish u luck man!
 
hahaa..mkuu hapa hakuna utakachokosa...kila aina ya ushauri utapata na ninahakika wapo watu watakutafuta wakidai wanaweza kutengeneza...just be careful!! Otherwise...wish u luck man!
Si unajua kumlipa huyo technician atake patikatikana ni mpaka pale itakapofanya kazi. Mi nahitaji ikubali hata kwa masaa mawili tu angalau niweze kuhamisha data zilizomo, after that naweza hata nikamuachia hata hiyo hard disk yenyewe
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom