cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,143
- 1,837
asalaam
moja kwa moja niendw kwenye mada, nina remote ya kuingizia umeme
sasa inasumbua kuingiza umeme yaani tangu asubuh nahangaika na kila nikiingiza naona ina search tu bila mafanikio
na hata nikiulizia salio inagoma, mbaya zaid umeme umeisha na mimi ni mfanya biashara ya samaki na nyama hivyo endapo vitakaa pasipo umeme kuwepo maana yake nitaingia hasara kubwa sana kwan vyote vitaoza
nimereport tanesco kitengo cha dharura wamedai wapo mbali
sasa yeyote mwenye uelewa juu ya tatizo hili anipe msaada tafadhali kitu gani nifanye ili kuinusuru biashara yangu
aksanten ...nawasilisha
moja kwa moja niendw kwenye mada, nina remote ya kuingizia umeme
sasa inasumbua kuingiza umeme yaani tangu asubuh nahangaika na kila nikiingiza naona ina search tu bila mafanikio
na hata nikiulizia salio inagoma, mbaya zaid umeme umeisha na mimi ni mfanya biashara ya samaki na nyama hivyo endapo vitakaa pasipo umeme kuwepo maana yake nitaingia hasara kubwa sana kwan vyote vitaoza
nimereport tanesco kitengo cha dharura wamedai wapo mbali
sasa yeyote mwenye uelewa juu ya tatizo hili anipe msaada tafadhali kitu gani nifanye ili kuinusuru biashara yangu
aksanten ...nawasilisha