Wadau kwa wale wanaotumia hii App j football tv naomba kujua kama channels zinazonekana kwenye hii app zinafunguka zote maana app yenyewe ni ya malipo kidogo tsh2000 kwa mwaka isiye ikawa ndio...
Naandika hii thread nikiwa na masikitiko na machungu juu ya nchi yetu kutoruhusu kupokea pesa kwa platform maarufu duniani ya PAYPAL.
Nimekosa mchongo kibao kwenye mitandao inayolipa kwa mfumo wa...
Nimejaribu kueka baadhi ya website zilizodukuliwa ndani ya mwaka 2015 ili tuweze japo kidogo kuona security ya site zetu nchini ikoje.
JamiiForums | The Home of Great Thinkers hii ilipigwa Ddos...
Mwaka 2023, umetajwa kuwa mwaka mgumu sana kwa Wafanyakazi wa Tasnia ya Teknolojia duniani kote baada ya kugharimu tena ajira za makumi kwa maelfu ya wafanyakazi. Wakati huu, upunguzaji wa...
Wakili wa Elon Alex Spiro ametuma barua kwa Mark Zuckerberg akitishia hatua za kisheria, akidai kuwa Meta iliajiri wafanyakazi wa zamani wa Twitter kuunda App mpya ya Thead.
Hili haishangazi...
Hi Fellas! I am a freelance 3D artist mostly working with Architecture visualization.
Ningependa kuwajua watu wengine wanaofanya kazi zinazofanana na zangu... nimewatafuta sana facebook bila...
Kwa mara ya kwanza Katika ulimwengu wa kampuni KUBWA na MAARUFU za Simu(Tuelewane hapo, usikimbilie ligi uje unitajie Doogee, Energizer au ulefone).
Hatimaye leo mchana samsung ametoa ingizo...
Habari za muda huu ndugu zangu.
Nilikuwa nahitaji motherbord ya HP Pavilion ร360-11-u005la.
Au kwa anaejua utaratibu wa uagizaji wa nje naomba msaada natanguliza shukrani.
Habari ndugu!
Natambulisha kwenu AI bot ya Telegram ambayo inaweza kushiriki kwenye mijadala mbalimbali ya groups za Telegram:
Faida za bot hii:
Kwa wanafunzi/wanachuo ambao wana_group za...
Umeshawahi kujiuliza vipi polisi wanaweza kupata taarifa ya kichaa kilichoibiwa [emoji44].
Siku izi kesi zimekua nyingi za wizi wa simu Yani zimekua kha kesi za utapeli nyingi mnoo..!!
Uzi ni...
๐ง๐๐บ๐ถ๐ฎ ๐บ๐๐ฎ๐ป๐ฑ๐ฎ๐ผ ๐๐ฎ ๐ง๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ ๐ฏ๐ถ๐น๐ฎ ๐น๐ถ๐บ๐ถ๐
๐๐น๐ผ๐ป ๐บ๐๐๐ธ alitangaza kuwa sheria mpya ya Twitter ameweka viwango vya watu kuangalia tweets za watu kwenye huo mtandao. Ambapo alisema waliokuwa verified...
Salamu wakuu.
Ninahitaji hii program niiweke kwenye PC yangu. Kwa yeyote aliyenayo kuanzia version ya 2016 mpaka 2021 naomba aje pm.
Nipo hapa dar es salaam na nitatoa angalau shukrani.
Mkurugenzi Mkuu wa META, Mark Zuckerberg amesema japo itachukua muda kidogo kuifikia Twitter lakini Mtandao huo uliopewa jina la 'Threads' unalenga kuhudumia zaidi ya Watu Bilioni 1.
META...
Habari ndugu
Nakuja hapa naomba mnisaidie
Nilikua na Yahoo adress ambayo imeshikilia vitu vingi lakini kikubwa kikiwa ni attached credentials zangu ambazo ni vyeti vyangu na docs nyingine za...
Salamu kwa wana JF wote, husika na kichwa cha Habari.
Nina uhitaji wa SOFTWARE ambayo inabadili sauti kuwa maneno. Hii software inatakiwa iwe ni ya ku Install kwenye Computer au Kishikwambi. Iwe...
Habarini wana Jamii
Naitaji kufanyiwa Installation ya window 7 Kupitia Flash au External Maana mlango wa laptop yangu ume haribika siwezi tumia CD room kwa Installation
Kama una weza nifanyia...
๐๐ฎ๐บ๐ฝ๐๐ป๐ถ ๐๐ฎ ๐ ๐ฒ๐๐ฎ ramsi wameachia tovuti ramsi ya mtandao wao wa ๐ง๐ต๐ฟ๐ฒ๐ฎ๐ฑ๐ ambapo watu watakua na uwezo wa kushare message, picha, videos , spaces , status.
Unaweza kutafuta kupitia Google na...
Wasalamu wakuu.
Nitaeleza kwa picha zaidi wakuu.
Nenda setting kwenye simu yako.
Then ingia kwenye call setting
Alaf nenda apo kwenye call fowarding
Then utaingiza hizo namba(0754...
Huyu jamaa baada ya kusumbuana na twiter na Telegram muda mrefu naona sasa kaamua awaue kabisa,
Anacopy features nyingi za telegram na kuziweka WhatsApp, anakuja na uwezo wa kutuna HD picture...
Azam TV wameondoa channel zao za azam 2 na azam HD online kwa Leo
Hii nadhani n kwaajili ya mechi ya yanga na simba
Ila imetunyima raha sisi tuliokosa TV
Na tulio makazn