Wasalamu wakuu.
Nitaeleza kwa picha zaidi wakuu.
Nenda setting kwenye simu yako.
Then ingia kwenye call setting
Alaf nenda apo kwenye call fowarding
Then utaingiza hizo namba(0754 125125)kwenye hiyo row alafu utabonyeza Enable. Hiyo namba inayoonekana apo ni kwaajili ya watumiaji wa vodacom.
Alafu kwa anayetumia Airtel ataweka 15524, kwenye hiyo row alafu unaweka enable.
Kuna mistype ilitokea mara ya kwanza kwa wanaotumia airtel ilikuwa inagoma sasa waweza fanya inshort like.
UPDATES WAKUU
CODES
*62*15524# Kwa airtel
*62*0754125125# kwa voda.
Unaweza fanya kwenye simu zote iwe iphone, bb, nokia, na makolokocho yote uyajuayo wewe.
Pia nashauri kwa ambaye hataeza kufata procedure za kwenye picha atumie hizo code apo juu.
Pia kwa wanaotumia mtandao wa tigo, juhudi za kupata diversion code au number bado zinaendelea.
Nasubiri feedback hasa kwa wale ambao walishindwa ku activate, pia ieleweke kwamba sipati taarifa zozote kuhusu simu zenu, nasema hivi maana kuna watu wanaweza dhani ni namba zangu hizo.
Pia naweka wazi kwamba hakuna gharama zozote zilizofichwa kwenye hudumu hii, ambayo kimsingi inatolewa na makampuni husika ya simu.
Pia ukiona inakuboa una option ya kujitoa.
Asanteni sana, Na poleni kwa usumbufu.
Nitaeleza kwa picha zaidi wakuu.
Nenda setting kwenye simu yako.
Then ingia kwenye call setting
Alaf nenda apo kwenye call fowarding
Then utaingiza hizo namba(0754 125125)kwenye hiyo row alafu utabonyeza Enable. Hiyo namba inayoonekana apo ni kwaajili ya watumiaji wa vodacom.
Alafu kwa anayetumia Airtel ataweka 15524, kwenye hiyo row alafu unaweka enable.
Kuna mistype ilitokea mara ya kwanza kwa wanaotumia airtel ilikuwa inagoma sasa waweza fanya inshort like.
UPDATES WAKUU
CODES
*62*15524# Kwa airtel
*62*0754125125# kwa voda.
Unaweza fanya kwenye simu zote iwe iphone, bb, nokia, na makolokocho yote uyajuayo wewe.
Pia nashauri kwa ambaye hataeza kufata procedure za kwenye picha atumie hizo code apo juu.
Pia kwa wanaotumia mtandao wa tigo, juhudi za kupata diversion code au number bado zinaendelea.
Nasubiri feedback hasa kwa wale ambao walishindwa ku activate, pia ieleweke kwamba sipati taarifa zozote kuhusu simu zenu, nasema hivi maana kuna watu wanaweza dhani ni namba zangu hizo.
Pia naweka wazi kwamba hakuna gharama zozote zilizofichwa kwenye hudumu hii, ambayo kimsingi inatolewa na makampuni husika ya simu.
Pia ukiona inakuboa una option ya kujitoa.
Asanteni sana, Na poleni kwa usumbufu.