Natafuta matibabu
JF-Expert Member
- Aug 1, 2020
- 262
- 301
Salamu kwa wana JF wote, husika na kichwa cha Habari.
Nina uhitaji wa SOFTWARE ambayo inabadili sauti kuwa maneno. Hii software inatakiwa iwe ni ya ku Install kwenye Computer au Kishikwambi. Iwe na vifaa kama Microphone ambayo mzungumzaji atakuwa anaivaa mithili ya zile ndogo za Makocha wa Mpira, kifaa cha kupeleka signal kwenye Computer kama kile cha Mouse zisizokuwa na wire.
Mzungumzaji akiongea signal za Sauti zipelekwe kwenye Computer kwa mtindo nilioueleza halafu zikabadilishwe kuwa maneno kwenye Microsoft word ambayo utakuwa umeifungua kwa muda ule au system yeyote ambayo hii software itakuwa inaitumia.
Jinsi Technology inavyozidi kuchanja mbuga siamini kama kitu hiki hakipo ingawa sijasikia bado.
Wanajamvi naombeni muongozo kuhusu hili.
Asanteni!
Nina uhitaji wa SOFTWARE ambayo inabadili sauti kuwa maneno. Hii software inatakiwa iwe ni ya ku Install kwenye Computer au Kishikwambi. Iwe na vifaa kama Microphone ambayo mzungumzaji atakuwa anaivaa mithili ya zile ndogo za Makocha wa Mpira, kifaa cha kupeleka signal kwenye Computer kama kile cha Mouse zisizokuwa na wire.
Mzungumzaji akiongea signal za Sauti zipelekwe kwenye Computer kwa mtindo nilioueleza halafu zikabadilishwe kuwa maneno kwenye Microsoft word ambayo utakuwa umeifungua kwa muda ule au system yeyote ambayo hii software itakuwa inaitumia.
Jinsi Technology inavyozidi kuchanja mbuga siamini kama kitu hiki hakipo ingawa sijasikia bado.
Wanajamvi naombeni muongozo kuhusu hili.
Asanteni!