Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wadau wa tech hamjawai kuniangusha. Anayejua wireless earphones kwa android zenye mziki mzuri kama za wire. Location: dar Bajet 100k. Brand nzuri. Muundo mzuri. Charge ndefu. Picha ya mfano wa...
4 Reactions
37 Replies
2K Views
Hatimaye ile vita ya utata iliyopo kati ya Android na iphone imefikia tamati baada ya Google kutambulisha mfumo rahisi wa kuweza kurushiana vitu Toka Kwenye android kwenda kwenye iphone. Kupitia...
6 Reactions
18 Replies
1K Views
Google Iko kwenye mpango mzuri wa kuweza kuruhusu watumiaji wa akaunti za Gmail (Google Account) kubadilisha username za email zao Kwa urahisi. Mfumo huo utaanza kufanya kazi kuanzia mwaka 2026...
3 Reactions
4 Replies
335 Views
Najua Hisense ni brand kubwa ulimwenguni ilo halina ubishi lakini maisha yanakwenda kasi na Teknolojia inazidi kubadilika mambo mengi yananadilika leo nakuambia mambo muhimu unapaswa kuyafahamu...
6 Reactions
69 Replies
4K Views
Kuna hii inaitwa Whatsapp bot ukiiset kwenye Whatsapp yako unaweza kupata features zifuatazo na hizi ni baadhi TU ila zipo 500+ Zaidi siwezi zielezea zote . Naelezea baadhi tu 1. Kuweza kuona...
2 Reactions
11 Replies
679 Views
Wakuu, moja kati ya passions nilizonazo ni pamoja na kuwa "data analyst ". Nipo kwenye process ya kumalizia SQL queries course relating to data analytics. Katika research ambayo nimefanya huko...
3 Reactions
8 Replies
372 Views
Kama kuna mtu ana mouse ya bluetooth au anajua wanaponiuza,anisaidie tafadhali. Nina shida nayo. Hata ikiwa ya kurecharge ni sawa tu.
2 Reactions
3 Replies
220 Views
Nahitaji mouse ya kuchaji. Picha na bei tafadhali
0 Reactions
2 Replies
258 Views
Naona kama wameifungia, kwako vipi?
3 Reactions
15 Replies
735 Views
Mimi ni mwanamke nipo below 35yrs ,nilikuwa natafuta skills mpya ya kujifunza ndiyo nikajipata kwenye hiyo data analytics, mimi chuo nimesoma procurement&supplies management je nitaweza kutoboa...
10 Reactions
145 Replies
36K Views
Wadau naombeni kuuliza ubora wa Samsung Galaxy A36 ninataka nimununulie Bi Mkubwa simu kwake kwa ajili ya kupiga na kupokea simu she is around 60’s Kingine Price yake inaweza kuwa shilingi...
2 Reactions
29 Replies
820 Views
Inaonekana hii simu ilitumika huko marekani kwenye kampuni ya AT&T. Nikiiwasha bila line inawaka vizuri. Nikiweka line inanitaka ku unlock network code. Kwankuwa nipo mkoani, na huku mafundi...
3 Reactions
6 Replies
334 Views
Hello wajomba. Kama kuna mtu anafahamu wapi naweza pata hii fan, tafadhali anijulishe. Nina shida nayo.
1 Reactions
0 Replies
124 Views
Habari, nimejiunga na mtandao wa UPWORK hivi karibu. Swali langu kwa wazoefu, Je nitumie bank gani ya uhakika kati ya NMB na CRDB kwa ajili ya kutoa pesa payoneer?
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari ya mwaka mpya Naomba kujua AI gani nzuri kutengeneza video na picha zikawa km OG
2 Reactions
6 Replies
377 Views
Wakuu naomba anayejua ni wapi nitapata JBL bluetooth speakers original kwa hapa mwanza anipe ramani.
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Karibu katika huu uzi ambao programmer wa tz tutasikiliza shida za watz wenzetu then tutaorganize group kutengeneza open-source and free solution karibuni
1 Reactions
4 Replies
187 Views
Tunaweza sema Blackberry imerudi tena Kwa mwaka 2026 🫣 lakini Kwa namna nyingine unajua kwanini?? Kampuni kubwa ya kutengeneza simu zenye muundo wa batani Kwa ajili ya smartphone kama ilivyo...
4 Reactions
6 Replies
695 Views
Mambo vipi wadau Leo tena nimekuja na design nyingine ya simple ecommerce app kwa kutumia flutter,App hii ni ya mfano tu, haina backend halisi , hivyo data zote ni dummy. Lengo langu ni kuonyesha...
3 Reactions
10 Replies
666 Views
Katika ulimwengu wa sasa wa kidijitali, kauli kama “Unaweza kutengeneza mamilioni ukiwa nyumbani” zimekuwa maarufu sana kwenye mitandao ya kijamii. Lakini ukweli ni upi? Je, kila mtu anaweza kweli...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…