Salam. Natumaini muu wazima.
Leo nimepata call na
Number hii +16025575502737 imenipigia leo, nikipokea kimya hamna anaeongea, kuna mwenye kujua hizi number niza wapi? Kuna mtu ameshawahi kupigiwa...
Wakuu nina decoder mbili za dstv, nataka kuziunga zote na niwe na uwezo wa kubadilisha channels kwenye kila decoder kwenye tv mbili tofauti kwa kutumia dish moja.
Naomba msaada wenu wakuu kama...
we deal in designing the cover photo of your business in a good quality at the affordable price with us we are taking you are business at the global level or visit our web page Welcome to Studio...
Respect 1st, niliunlock modem ya eyatel na ikawa succeed unlocked, ila nikieka line ingine ikawa inasearch then inatoa text eti modem z not detected by remote computer...nikaamua kuiunstall na...
Habari wakuu, samahani naomba msaada kwa mtu anayejua namna ya ku-activate evaluation copy ya windows8 kwani ina-expire baada ya siku 90, hivyo nahofu material yangu yote yatapotea, naomba msaada...
Inategemewa cimu za mkononi zaidi ya 2.5M zitatupwa nje ya matumizi ifikapo saa sita leo uciku.. Hiyo imetokea baada ya serikali ya Kenya kupitia mamlaka ya mawaciliano kuamua kupiga marufuku cimu...
habari zenu wakuu,
mimi ni mteja wa internet katika mitandao mbalimbali tanzania, kasi ya internet imekuwa si nzuri kwa muda mrefu kweli.
juzi nilijiunga na kifurushi cha vodacom cha...
Jamani mimi nilichukua line ya Airtel mwezi mmoja na nusu uliopita wakaniambia wameniunga na promo hiyo. Baada ya hapo sikutumia tena line hiyo, sasa leo nimeweka hela nikaanza kutumia lakini...
Ndugu waungwana, mimi naomba mnitoe ushamba katika hili,SIMU nyingi zina Dot au hata kama sio Dot basi ni Alama fulani mithili ya dot tofauti na Button zingine kwenye Button namba 5. mfano;Nokia...
Msaada wenu plz inanigomea kwenye google au internet kiujumla nikiklick inasema "the webpage might temporaly down or moved permanently to another web page" msaada wenu plz na pia kuna sehemu ya...
Hi everybody!
Nahitaji kutengeneza logo kwa ajili ya kazi yangu.
yoyote anjejua kutengeneza nice-looking logo ni PM au nipigie nikupe maelekezo
Will pay something on it
0767659145
habari zenu wadau? Natumia avg free antivirus iko poa kabisa sasa nimepata avg internet security iko poa ila ina shida moja kwamba nikiwa internet baada ya muda flani ina block internet access...
Wataalamu,
nawasalimuni tafadhali naomba mnieleze hivi kitu ukifuta kinatokea wapi? au kuna program ambayo inatunza vitu vilivyofutwa mpaka kwenye recyle bin ?
Tafadhali hilo swali nimejiuliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.