Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Salaaam wakuu, Kuna promotion inayotolewa na voda ambapo ukijiunga unatozwa sh 76 na unajiunga kwa kubonyeza *801*01*07*****# Kuna rafiki yangu anaifaidi kila siku hii ofa lakini kwa upande wangu...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari wakuu leo tutacheki jinsi ya kubypass hii kitu, Kuna njia nyingi zipo zinazo semekana zinakubali but nyingi huwa ni ngumu/hazifanyi kazi na kwa XP kuna ile trick ya safe mode(ambapo only...
3 Reactions
0 Replies
1K Views
Sorry kwa yoyote anaeweza nipa details kidogo za hii uduma ya tigo, kuuza hizo cards kwa 30,000 na kuweza kupata ofa ya internet, sms n calls katika smartphone yako. Hivi vitu ni unlimited? Kwa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naomba maelekezo jinsi ya kuset facebook page iwe kwenye desktop view kwenye simu ya android E400. Kuna siku sijui ilijiset yenyewe....ilikuwa poa sana. Najaribu kutafuta sehemu yenye hiyo option...
0 Reactions
5 Replies
975 Views
Katika account yangu ya Benk nilikuwa na salio pesa za kutosha tu,sasa tarehe 5 mwezi huu yaani jana nilienda ku-draw some cash nikakuta sina Salio la kutosha kabisa na ukizingatia kadi yangu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Sawa ni simu ya ki-china aina ya TECNO T1 ANDROID,nimeinunua katika hali nzuri tu,ina support internet na GPS vizuri sana lakini jana nilii-switch off then nikaitupia charge.Sasa leo nimeiturn on...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
naomba nsaada wa passkey ya modem IMEI:861737007221364 S/N:e9p7sa1270500643
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Tahadhari hii nimeikuta FB, nikaona itakuwa vyema nami niwashirikishe na wenzangu katika jamvi hili kama mtakuwa hamjakutana nayo; "Jaman kuna wizi umeingia kwenye mtandao wa vodacom kupitia...
2 Reactions
31 Replies
6K Views
The Samsung Galaxy Camera drew a lot of attention when it was announced though launch date and pricing details were a bit slim. Samsung put out a press release today, saying the camera will be...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
naombeni msaada jamani ni vp nnaweza kudownload radio application ili nipate local channels, nimejaribu tunein imenigomea. Siku njema
0 Reactions
1 Replies
790 Views
wakuu habar,naomba msaada wa jns ya kuaccess radio kwenye hii simu imenshnda
0 Reactions
2 Replies
712 Views
Wakuu naomba msaada, nina kasim Ideos lakini kana maandishi with googleTM, android version 2.3.7, ni touch screen. Sasa nimeweka line ya voda na nikajaribu kuunga internet kwa kutuma neno internet...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu ni simu gani nzuri kwa masuala ya business? Je ni Blackberry bold 4 Au ni samsung galaxy S3 Au ni iphone 4s na 5 Na hapa nazungumzia mazingira ya Tanzania na biashara yenyewe ni...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ni karibia tarehe 23 mwezi huu jolla watazindua sailfish yao os itakayokuja kushindana na windows phone, android na ios. Its sad ukiskia story yao hawa jamaa walikua waajiriwa wa nokia...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
tecno t411 inazingua kusoma lyn no2 haiandk chochote lyn yoyote nikiweka ghafla2 nimeset dual sim ila wapi! mwenyekujua tatzo na solution plz help me
0 Reactions
1 Replies
1K Views
thank you to Mwali kwa kutumia avatar yako na kwa C6 kwa ushauri wako Airtel Sim Package Card made from scratch kwa kutumia photoshop
13 Reactions
49 Replies
10K Views
Anatafutwa mtu anayeweza ku-design MOBILE APPLICATION. Wasiliana kwa namba hii 0715-813505 au atume CV kwenye honorizi@gmail.com. Kama una uwezo huo nafasi ya kazi hii hapa..!!!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu nina nongwa ya ki tech, ambayo maelezo yake ni kama ifuatavyo: Nilikuwa natumia Win XP ikaleta matatizo ambayo naamini yalitokana na virus kwamba short cut zote zilitoweka kwenye desktop...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
jaman saidia steps to unsubscribe from tgo xtreme pack, kile kifurush cha sms 100, airtime, mb kadhaa?
0 Reactions
3 Replies
817 Views
simu yangu inaitwa android tu ndefu hivi kama mnazijua sasa sijui wana connect vp net nikijaribu inakataaa na apn nimeweka internet help bila modem au kamaa mnaweza hata na modem njia zote mbili
0 Reactions
0 Replies
615 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…