This is truly a keeper. Faster and better than Google Earth..
ANY ADDRESS - ALL OVER THE WORLD
Much faster than Google Earth.
It's unbelievable technology.
Is there a place to hide on...
Umeme ni jambo linalosumbua sana katika bara la Afrika na pia katika nchi za kimaskini kwa ujumla. Hii sio hali katika jengo la The Pearl River Tower, jengo bora kimazingira Duniani ambalo...
Amani kwenu!
Rafiki yangu kanipigia, anasema mdogo wake haonekani alipokwenda, akipigiwa simu anapokea mtu mwingine na anajibu vibaya. Kaniambia nijaribu kuona kama naweza kujua location ya hiyo...
Wakuu,
Heshima kwenu !
Nawaomba mnisaidie jambo. Mimi nilikuwa natumia Black Berry na imepotea kwasasa lakini nnapata mashaka sana kwamba labda kupitia PIN NUMBER ambayo haiwezi kubadilika...
Wadau kuna desktop ya zamani sana, NCS, imefanyiwa installation ya windows xp ikawa ime fail.
Sasa kila nikijaribu ku install upya windows xp inagoma ku boot toka cdrom wala kuonesha boot order...
wakuu najua wajanja wengi basi nisaidieni niweze kupata hiyo ki2
nimeangalia hizi video lkn nimetoka kapa
How To get Zbigz premium Account 2013 - YouTube
Get Zbigz premium accounts and cookies...
Habari wakuu??
Nipo kijijini na busy sana, jana nimepata muda nikasema walau niangalie nini kinaendelea kwenye mitandao yote ikiwepo ya kijamii thanks JF imekuwa easy na mingene. tatizo langu ni...
laptop yangu toshiba satelite l305 haina cdrom hvyo nikatoa hdd na kuweka ktk laptop nyingne toshiba satelite c850b,baada ya ku finish nikarudisha kwa ile l305 lakini laptop inawaka mpaka pale...
Wakuu, nahitaji msaada wa haraka. Natumia windows 8 lakini sasa hivi nikiwasha pc ikifika desktop mode inaniambia "windows detected a hard disk problem" my pc is dell insipiron mini lakini disk...
I've been using window 7 on my pc for a couple of months. Some weeks ago, a notification saying 'SBUpdate Module has stopped working' started coming up every couple of hours. I don't remember when...
Wakuu,
Heshima kwenu !
Nawaomba mnisaidie jambo. Mimi nilikuwa natumia Black Berry na imepotea kwasasa lakini nnapata mashaka sana kwamba labda kupitia PIN NUMBER ambayo haiwezi kubadilika labda...
.. "msconfig" or "Microsoft System Configuration Utility" is designed to help you to troubleshoot problems with your computer.
This allows you to edit your start-up applications. "msconfig"...
Wanajamvi naulizia upatikanaji wa lamp ya projector aina panasonic model PT-LC56E yangu inakaribia kuisha muda kwani imebakisha masaa kama 100 hivi nahitaji kujua wapi ntaipata hapa tz na kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.