Leo baada ya kujaribu kununua kifurushi hiki ili kuendeleza uharamia wa hiari, nimekutana na meseji inayosema kwamba kifurushi hiki kinakupa 1GB kuanzia saa nne usiku mpaka saa kumi na mbili...
ninapojaribu kudownload chochote kwenye internet nashidwa,hata kuangalia movie siwezi inaniambia adobe player nakiwa kudownload nanikijaribu kudownload inaaniambia idm need to downloaded msaada...
Wakuu heshima kwenu, nimenunua simu tajwa hapo juu, tatizo langu nimeshindwa kuiunga na internet. Nimeiunga na mtandao wa Vodacom. Pia nipo na account ya Hotmail. Naomba msaada wakuu wa jukwaa...
Natumia simu aina ya Tecno P3 android version ya 2.5.2
Nina maswali kadhaa kuhusu kuroot simu hasa hii
Je, nifaida gani nitazipata nikifanya hivyo?
Na Je, ni hasara gani naweza...
Desk top yangu inanisumbua kwenye interne t system, nikiweka modem inasumbua kwa ku-search mda mrefu, sasa kuna jamaa mmoja anayesomea IT akaniambia kuwa tatizo la internet kwenye computer yangu...
Habari Ndugu zangu wana JF,
Nimepata Simu ambayo ilikuwa inatumiwa Korea,numeweka line ya Tigo nikiangalia salio napata this prompt msg;
Roaming RoamingAutoDial
Call Korea
Call other...
Nina Dell Niliachiwa Ni Old School Dell Latitude D630 Ina 2GB Ram, 2Gb Processor 250HHD.
Inasumbua Kila Mara Ninapotaka Kucheza Gemu like GTA Vice City Au Kufungua Program Za 3D Edit Huwa...
on is considering replacing thousands of troops with robots, a military commander said recently, marking the first time a DOD official has publicly acknowledged that humans would be replaced with...
Wakuu,
google nimewavulia kofia katika swala zima laku sync data. mwaka juzi kwa kipindi kifupi nilitumia android device ya bro wangu mmoja hivi ambaye kamwa sasa ni marehemu. kufanya...
Rejea post HII
Kifaa hiki kimeboreshwa zaidi,sasa kinatumia stabilizer moja badala ya mbili,na saketi zimekuwa mbili badala ya moja.
kinafanya kazi vizuri sana;kwa maelezo zaidi soma HAPA
wakuu nina sd ya 16GB, na nimeset appa ziwe installed kwa sd. nimekuja kugundua kwamba apps zenye high data usage zinakula intern mem. kwan free space yangu ni 14.2 GB,sasa nahitaji msaada wa...
Habari zenu wakuu poleni kwa kazi ya kusaidia members wenye matatizo tofauti-tofauti. Na mimi nimepata tatizo leo.
Baada ya kufanya ubundi na Wajanja Night Offer usiku wa leo, modem ilihang-up...
(Not sure where to post this, here or in JF store... Mods move it where appropriate)
Habari wana-JF,
I came across this kwenye my Google+ Android development community. Ni collection ya vitabu...
Jmani naombeni msaada TBC Imegoma kutoa sauti, Natumia DSTV. Kipindi chanyuma ilikua inatoa imegoma juzi leo cku ya 3. Ila station zingine sauti kama kawaida Cjajua TBC cjajua kuna tatizo gani...
Its my pleasure to announce the launching of New Discussion Forums in Information Technology: Hosanna Higher Technologies Forums . Its a high time Tanzania have its dedicated forums in the arena...
With its 9-inch, black-and-white monitor and graphical user interface, the Macintosh 128K represented a turning point for technology, and a first step for what has become one of the most popular...