Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Ndege hai aina ya Kipanga "Peregrine Falcon" anasifika kwa kasi yake, hufika zaidi ya kilomita 320 kwa saa (200mph) wakati wa kupiga mbizi angani (Aerodynamic Dive). Kinadharia kwa kasi hii, hewa...
1 Reactions
0 Replies
403 Views
Asus Rog STRIX Z390-F Customized Gaming Desktop Core i7 9th Generation SSD 512GB+HDD 3TB RGB RAM 16GB DDR4 CPU 3.20 GHz 8 Threads RTX 2060 Super 8GB Power Supply Modular 600W Wi-fi Adapter 5 RGB...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Habarini wadau, Nauliza jins ya ku freez app ambazo sizitumii mara kwa mara ili kupunguza matumiz ya bando,nilikuwa natumia infinix smart 6 option ilikuwepo Lakini kwenye samsung A04 siioni kama...
0 Reactions
2 Replies
488 Views
Habarini wadau, Nauliza jins ya ku freez app amazon sizitumii mara kwa mara ili kupunguza matumiz ya bando,nilikuwa natumia infinix smart 6 option ilikuwepo Lakini kwenye samsung siioni kama...
1 Reactions
1 Replies
302 Views
Ada Lovelace alikuwa binti wa mshairi maarufu Lord Byron na Annabella Milbanke Byron. Ndoa yao ilidumu kwa muda wa mwaka mmoja tu, na Ada hakuwahi kukutana na baba yake. Ili kupambana na tabia...
2 Reactions
0 Replies
360 Views
Kwa sasa kutokana na maendeleo ya technology basi biashara nyingi zinafanyika kiurahisi zaidi tofauti na mwanzo. Wafanya biashara wengi wanatumia mifumo mbalimbali kuendesha biashara zao kwamfano...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Ipo hivi, akili mnemba au kwa kimombo Artificial intelligence AI's zimekuwa nyingi sana sikuizi. Ila hii ChatGPT imekuwa msaada mkubwa kwa watafutaji ajira. Fanya hivi fungua account ya ChatGPT...
3 Reactions
1 Replies
705 Views
King'amuzi cha Continental hakioneshi picha za channel za TBC zote, Safari Channel na Channel 10. Tatizo ni nini?
0 Reactions
9 Replies
847 Views
Kwa walimu wa shule za msingi nazani zitawarahisishia kazi zenu kipindi hichi Cha kuandaa maatokeo. INACHOWEZA KUFANYA 1 Kutambua daraja za kila somo (A-E) 2 kutafuta wastani kwa kila mwanafunzi...
5 Reactions
25 Replies
4K Views
Heri wakuu. Mwenye uzowefu na hiyo box, Najaribu kuweka simcard,inaisoma lakini haiwezi kuconnect internet. Tafadhali anaeijua,naomba anijuze shida yaweza kuwa nini
0 Reactions
4 Replies
417 Views
Habari zenu wakuu Nimekuja kwenu nikiamini hapa Kuna wataalamu Wana sayansi bomba wenye ujuzi na maarifa mengi Nilikua naomba ushauri kwenu nipo chuo na nimetumia muda mwingi kufanya tafiti na...
1 Reactions
3 Replies
519 Views
Habari naomba kujua namna ya kufanya akaunti yangu ya YouTube ilipwe
0 Reactions
5 Replies
671 Views
Bilionea wa kiteknolojia Elon Musk amesema kwa mara ya kwanza kampuni yake ya Neuralink imefanikiwa kupandikiza kifaa maalum cha elektroniki kwenye Ubongo wa binadamu kisichotumia nyaya...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari wana jamii naomba mwenye kujua app nayoweza kudownload nyimbo na hata nikibadili simu nizikute mgano picha kwenye google photo nikibadili simu nazikuta.nataka kwa nyimbo sasa. Maana natumia...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Katika harakati zangu za kutembea sehem tofauti hapa tanzania nilipita moshi mwezi uliopita, nikalala kwenye lodge moja nzuri sana, palikua na tv pale ndani, ile tv sikuielewa mchanganyiko wa...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
baada ya kupokea PM nyingi kutoka kwa wadau mbalimbali kuwa badala ya kuweka hapa link ambazo wengi hawawezi kuziplay, wameshauri niweke kwenye app moja ambayo itakuwa rahisi kwa wote kuplay...
39 Reactions
540 Replies
105K Views
Wakuu kama title inavyojieleza nina kitochi hapa huwa kinanisevu sana ku hotspot PC na simu yangu muda mwingine, sasa kinaboot kinaishia kwenye logo. Nahitaji msaada namna ya kukiflash, hii ni...
1 Reactions
6 Replies
603 Views
Wakuu nilinunua iphone kwa mtu akaondoa ID Yake Mimi kila nikijaribu ku icreate imegoma naomba mtu anisaidie mwenye nayo nitashukuru sana
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Tumepiga kelele weeee ila wapi!!!! wanatubania njia za kupokea pesa kirahisi kutoka nje huku wao wanazunguka tu na viti huko maofisini wakisubiri mishahara yao wakati vijana wasio na ajira...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu, Je, Inawezekana kuonyesha mpira kwenye TV kwa kutumia smartphone? If yes naomba kujuzwa vitu muhimu kama cables needed and apps. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…