Msaada Kitochi cha Tigo, kimestack on logo

Baba Rhobi

JF-Expert Member
Nov 4, 2020
1,328
2,240
Wakuu kama title inavyojieleza nina kitochi hapa huwa kinanisevu sana ku hotspot PC na simu yangu muda mwingine, sasa kinaboot kinaishia kwenye logo.

Nahitaji msaada namna ya kukiflash, hii ni mara ya pili kinarudia hili, mara ya kwanza kilitokea nikakipeleka kwenye Tigo shop yao Dodoma, wakakiflash, msala ukarudi nilikuwa nimeki unlock kutumia line za mitandao yote so nikaingia gharama za ku unlock tena.

Ila kwa sasa naamini warranty yake imeisha make nimekinunua 2019 so siwezi peleka tena Tigo, msaada namna ya kukiflash au anisaidie ROM yake.
 
Wakuu kama title inavyojieleza nina kitochi hapa huwa kinanisevu sana ku hotspot PC na simu yangu muda mwingine, sasa kinaboot kinaishia kwenye logo.

Nahitaji msaada namna ya kukiflash, hii ni mara ya pili kinarudia hili, mara ya kwanza kilitokea nikakipeleka kwenye Tigo shop yao Dodoma, wakakiflash, msala ukarudi nilikuwa nimeki unlock kutumia line za mitandao yote so nikaingia gharama za ku unlock tena.

Ila kwa sasa naamini warranty yake imeisha make nimekinunua 2019 so siwezi peleka tena Tigo, msaada namna ya kukiflash au anisaidie ROM yake.
Bananahackers ndio wana deal na kai os, hapo kazi ni kujua exactly model ya hio simu,


Forum yao, kuhack simu, ku root, kuweka custom roms kuweka apps za Firefox os etc utapata humo.
 
Bananahackers ndio wana deal na kai os, hapo kazi ni kujua exactly model ya hio simu,


Forum yao, kuhack simu, ku root, kuweka custom roms kuweka apps za Firefox os etc utapata humo.
Da! Nashukuru sana mkuu, ngoja nitaleta model yake na ngoja nipitie huko nione kama kuna lolote.
 
Bananahackers ndio wana deal na kai os, hapo kazi ni kujua exactly model ya hio simu,


Forum yao, kuhack simu, ku root, kuweka custom roms kuweka apps za Firefox os etc utapata humo.
Mkuu nimecheki cheki lakini sijaona pa kuweka custom ROM labda unisaidie kwa link kama umekutana napo.
 
Back
Top Bottom