Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 1,959
- 2,177
Heshima kwenu wadau.
Naomba kuuliza kuhusu Poweramp Player kama kuna mtu ambaye amewahi kulipia hii Player anipe maelekezo kidogo. Naweza kulipia kutokea kwenye account yangu ya benki Moja kwa moja ? Hawawezi ku-hack account yangu wakafanya uhuni wowote...?
Na je, nikishalipia inakuwa ni monthly, year au ni for a lifetime...? Nimeingia Play store nimekuta kuna apps kama 3 hivi zinahusu Poweramp, kwenye kuzi-install naanza ipi kati ya hizo na malipo nalipa muda gani baada ya ku-install au inakuaje...?
Natanguliza shukran kwenu. Ahsante.
Naomba kuuliza kuhusu Poweramp Player kama kuna mtu ambaye amewahi kulipia hii Player anipe maelekezo kidogo. Naweza kulipia kutokea kwenye account yangu ya benki Moja kwa moja ? Hawawezi ku-hack account yangu wakafanya uhuni wowote...?
Na je, nikishalipia inakuwa ni monthly, year au ni for a lifetime...? Nimeingia Play store nimekuta kuna apps kama 3 hivi zinahusu Poweramp, kwenye kuzi-install naanza ipi kati ya hizo na malipo nalipa muda gani baada ya ku-install au inakuaje...?
Natanguliza shukran kwenu. Ahsante.