Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Hello wajomba. Kama kuna mtu anafahamu wapi naweza pata hii fan, tafadhali anijulishe. Nina shida nayo.
1 Reactions
0 Replies
101 Views
Habari, nimejiunga na mtandao wa UPWORK hivi karibu. Swali langu kwa wazoefu, Je nitumie bank gani ya uhakika kati ya NMB na CRDB kwa ajili ya kutoa pesa payoneer?
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari ya mwaka mpya Naomba kujua AI gani nzuri kutengeneza video na picha zikawa km OG
2 Reactions
6 Replies
330 Views
Wakuu naomba anayejua ni wapi nitapata JBL bluetooth speakers original kwa hapa mwanza anipe ramani.
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Karibu katika huu uzi ambao programmer wa tz tutasikiliza shida za watz wenzetu then tutaorganize group kutengeneza open-source and free solution karibuni
1 Reactions
4 Replies
161 Views
Tunaweza sema Blackberry imerudi tena Kwa mwaka 2026 🫣 lakini Kwa namna nyingine unajua kwanini?? Kampuni kubwa ya kutengeneza simu zenye muundo wa batani Kwa ajili ya smartphone kama ilivyo...
4 Reactions
6 Replies
627 Views
Kwa budget hiyo nitapata simu ya aina Gani nzuri yenye camera ang'avu quality, betri yake itakayokaa na chaji muda mrefu, na storage yake capacity nzuri
7 Reactions
33 Replies
2K Views
Mambo vipi wadau Leo tena nimekuja na design nyingine ya simple ecommerce app kwa kutumia flutter,App hii ni ya mfano tu, haina backend halisi , hivyo data zote ni dummy. Lengo langu ni kuonyesha...
3 Reactions
10 Replies
630 Views
Katika ulimwengu wa sasa wa kidijitali, kauli kama “Unaweza kutengeneza mamilioni ukiwa nyumbani” zimekuwa maarufu sana kwenye mitandao ya kijamii. Lakini ukweli ni upi? Je, kila mtu anaweza kweli...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
Kwanza tuelewe kitu kimoja kuhusu PrSM (Precision strike Missile) Israel aliua viongozi wa juu wa kijeshi wa iran na hii sio kitu cha ajabu mana ni mpango wa US, kwanini nasema ni mpango wa US...
4 Reactions
40 Replies
2K Views
Hatari Wana jukwaa Kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kwenu. Ninahitaji kuwa na app ya kukopesha pesa mtandaoni lakini sijui ninaipataje, ninafahamu hum Kuna wataalamu WA Kila kitu...
5 Reactions
7 Replies
249 Views
Unajua app ya message uliyonayo inaweza kufanya jambo zaidi ya unavyofikiria kabisa ? Kuna mambo mengi ya siri unaweza kuyafanya kwenye app yako ya Message ambayo hukutegemea kabisa. 5️⃣ Message...
6 Reactions
6 Replies
839 Views
Watu wengi hawalijui hili! Utashangaa kadiri unapozidi kufuta vitu kwenye simu yako (Picha/ Video? na ukiamini kuwa umefuta permant kwasababu ulifuta hadi kwenye recycle bin ila simu inapungua...
9 Reactions
12 Replies
583 Views
Laptop Gani Inafaa Kazi Yangu ? Kwa Nini Swali Hili ni Muhimu? Kila mnunuzi wa laptop anapofika sokoni au anapotafuta mtandaoni hukutana na swali moja kuu 👉 “Laptop hii itaendesha software zangu...
2 Reactions
7 Replies
691 Views
Naomba kupata fundi wa fridge aliyepo tanga
0 Reactions
0 Replies
76 Views
Teknolojia zina shika kasi sana.Kwenye Iphone 17 nimeona mfumo wa setelite ina maana mbeleni kutaweza kuwafanya watu wapate wanachokitaka sehemu yoyote. Huku kwetu tumeona hii tabia ya kuzima...
5 Reactions
19 Replies
576 Views
Habari zenu wakuu, ninatafuta professional wireless microphone za shure original kabisa kariakoo sijaona anaeuza wengi wanauza shure za kichina, kuna yeyote anaeziuza hapa tanzania? na kwa...
1 Reactions
9 Replies
280 Views
Time flies. Tarehe 9 January 2007, Apple walizindua iPhone ya kwanza. Katika uzinduzi Steve Jobs alisema, “An iPod, a phone, and an internet communicator... These are not three separate devices...
5 Reactions
17 Replies
300 Views
Jinsi ya ku ‘root’ simu yako ya Android. Utangulizi: Simu zetu za Android zimekua sehemu ya Maisha yetu ya kila siku. Tunazitumia katika Mawasiliano, Kuhifadhi kumbukumbu za muhimu, burudani...
17 Reactions
400 Replies
99K Views
Wakuu habari za wakati huu, mwaka mpya unaingia nimrjipanga nianze kufanya issues za Interior Designing mambo ya sketchup so nahitaji pc yenye specs kama hizo hapo chini. Intel Core i7/i9 or AMD...
9 Reactions
84 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…