Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari ndugu, Naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa kuunganisha DStv now ya kwenye simu kwenda kwenye TV ili kuangalia mpira?
1 Reactions
7 Replies
1K Views
EWE MWALIMU USIIOGOPE MIFUMO BALI JIFUNZE KUITUMIA Mwishoni Kuna link ya channel follow hiyo channel Kwa Mafunzo zaidi. MAFUNZO MAFUPI YA MFUMO WA EMPLOYEE SELF SERVICE NA MODULI YA UPIMAJI KWA...
8 Reactions
68 Replies
142K Views
Kama kuumbuka nilishaumbuka tena si mara moja mara mbili watu tofauti huyu wa pili alisema yeye anatumia simu ya samsung. Wa kwanza hakuweza hata kuniambia anatumia simu gani. Kuna jamaa angu...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Ayoba inanikera it comes while I don't want it ayoba ni gadget gani pls?
1 Reactions
6 Replies
506 Views
Habari nina pesa mahali na njia pekee ya kutoa ni paxum au webmoney WMZ je nitapokeaje kama naweza kupata hizi account then direct to my m-pesq with no verification or someone can help me to...
2 Reactions
7 Replies
780 Views
kujifunza programming ukiwa na 25 years kuja juu na una life la kimaskini, hauna connection yoyote hapo bado unajifunza mpaka uive kaka/dada utakuwa na miaka mingapi? Alafu programming inahitaji...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa wapenzi wa TV, ushauri namba moja naweza kukupa, usinunue TV used. Never. Pambana na jikusanye ununue mpya. Sasa unavyonunua TV dukani au unaangalia online unaangaliaga vigezo gani? Najua...
40 Reactions
37 Replies
5K Views
From my own experience nilijichanga ili geto nisikae kinyonge niwe nasikilizia muziki pamoja na Fm stations kilichotokea ni vice versa na hasara ya Tz shilling 110,000/= just imagine ndani ya...
3 Reactions
16 Replies
925 Views
Habari wakuu, Naomba msaada jinsi gani naweza tengeneza website / blog ambayo itaweza kuonekana kwenye search engine ya Google Ambaye anafahamu nipitie site ipi ili kutengeneza hiyo website /...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
https://x.com/SamsungMobileUS/status/1800233900389617979?t=VDdvhRoSeZ0LKEnI_RgKcw&s=19 Kampuni ya Kikorea "Samsung" imeleta features nyingi zinazowezeshwa na Artificial intelligence kwenye Samsung...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Wadau habari,nakutana sana na huu msemo hata sielewi maana yake.Msaada tafadhali
0 Reactions
2 Replies
567 Views
Tusanue apps zipi unatumia kwenye simu, Android OS au iOS Ambazo zinakurahishia kwenye nyanja tofauti. Tuambie na namna ya kuzipata. Mfano: Hii unaweza kuipata kwa kuidownload kutumia browser...
6 Reactions
36 Replies
3K Views
Hello bosses, hv karibuni nimeanza kutumia AirTM kupokea malipo mbalimbali kutoka nje ya Tanzania sababu niliona wanasupport withdraw methods nyingi za Kitanzania ikiwemo banks na mitandao ya...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu wa AI Ni App gani naweza kutumia kugenerate maandishi kutoka kwa sauti kufanya yawe maandishi?
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu kotokana na kuishi Kwangu mtaani hapa nikiwa na solve matatizo madogomadogo ya husuyo simu na umeme sasa jana nimepita sehemu ni mepewa hili nimejitahidi kulikimbia Kwa kua vifaa muhimu Mimi...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Internal Divide Space Sound Material Soundproof Folding Removable Divider Wall for Classroom AcousticPartitionWall was founded in 2011, located in Guangdong Province, China, specializing in the...
0 Reactions
0 Replies
373 Views
Nimesajili laini ya Halotel mpya, hii ni baada ya kupoteza laini niliyokuwa nikitumia ambayo haikuwa na matatizo yoyote, ni vile tu nilisajiliwa na mtu ambaye niko mbali naye kwa sasa (Ex) Laini...
5 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna mtu alisema ukitaka kutatua tatizo kubali kwanza kwamba lipoo Na hili ni tatizo tayar lipo Nije na ushahidi kwamba mfano huko nchi kama marekani watu hawa somi hii taaluma ili kuajiliwa na...
0 Reactions
2 Replies
326 Views
Naomba mnisaidie nawezaje kuja kuwa programmer na fuate misingi ipi ili nije kufiklia lengo langu
7 Reactions
38 Replies
2K Views
Back
Top Bottom