Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nini kinasababisha window 10 kula data sana kuliko window nyingine kama 8..Mwanzo PC yangu ilikuwa inatumia window 8 ilikuwa nikiunganisha hotspot mb500 unaweza Fanya vitu vingi na zisiishe lakini...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Wakuu habari za wakati huu, simu yangu ni oppo a57 inaandika ''oppo nv recovery unsuccessfully " inashindwa kusoma mtandao, mafundi wahuku kwetu wameshindwa kunisaidia
0 Reactions
1 Replies
832 Views
Habarini za weekend hope mko poa na pole kwa wenye changamoto mbalimbali. My point kwa wenye uelewa je kuna namna naweza kuzuia namba moja itakaponipigia apate taarifa kuwa sipatikani kwa muda...
1 Reactions
14 Replies
597 Views
Nina kablog kangu nilitengeneza kwa blogger sasa nataka sasa nihamie wordpress ili kawe na muonekano mzuri Huko nasikia kuna mambo ya kununua server Sasa nilitaka kujua kuhusu ukubwa,aina na...
0 Reactions
1 Replies
385 Views
Matumizi ya Akili Bandia (AI) yanatarajiwa kuwa sehemu muhimu ya nguvu za kiuchumi na kijeshi duniani katika siku za usoni. Ushindani wa matumizi haya ya teknolojia umeifanya Marekani ianze...
0 Reactions
2 Replies
461 Views
Kampuni ya Maarufu ya utengenezaji wa vifaa vya kieletroniki nchini china Vivo kwa mara ya nyingine tena anakua mdhamini wa mashindano ya UEFA kwa mwaka 2024. Vivo ambaye ndo mshindi binafsi wa...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu kwema nataka mtu anayejua Typescript vizuri kabisaa Vigezo awe anajua Typescript Anionyeshe projects alizofanya kwa typescript Awe anajua node js
1 Reactions
4 Replies
536 Views
Habarini, Adsense haisupport swahili content hivyo nilikua nauliza hivi ni adnetwork gani nyingine inayolipa vizuri kwa traffic ya bongo, ukiachana na adsense, maana nimetest mengi mengi tu ila...
0 Reactions
1 Replies
309 Views
...... Not Available...
3 Reactions
4 Replies
417 Views
Habari, Natoa Training ya Python for data analysis. Modules to be discussed 1.Pandas 2.Numpy 3 Matplotlib 4.Seaborn Tutatumia dataset kutoka sources mbalimbali Training Period: 30 days...
1 Reactions
10 Replies
910 Views
Niko mbioni kununua pikipiki au baiskeli hizi za kuchaji. Hii ninayotaka kununua inatembea km 60 then ndo itatakiwa ichajiwe. Sasa nilichokiwaza ni hiki, vipi kama hiki kifaa nikikiunganisha na...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Naomba Kuuliza play store wana tabia ya kufuta baadhi ya App? Kuna App nyingine inayofanya kazi kama play store? Kama ipo inaitwaje (zinaitwaje)
0 Reactions
6 Replies
679 Views
Nakuja mbele zenu kwa unyonge kabisa naomba nipewe msaada wa App ambayo naweza kuweka picha moja tu full then niadd Audio kwenye hiyo pic (pic +Audio=video) Future zake iwe angalau inaplay video...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Hatua 6 za Kubobea lugha flani ya compyuta Siko mbali sana kwenye maana hii nimejitahidi kusema nilichokusudia Computer is any electrical device that take input, process it and give out an...
3 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani wamendwa hivi punde nimepokea sms ya kwamba m pesa master card haitopatikana Tena. Bali Kuna mpya ambayo ni M-pesa Visa Card.
2 Reactions
45 Replies
8K Views
Natumai mko salama na wazima wa afya. Ombi langu ni kwa yeyote yule mwenye kujua uimara wa hizi kampuni mbili za friji BOSS na Mr UK ipi ipo vizuri katika utendaji? Nahitaji kununua friji na...
3 Reactions
25 Replies
7K Views
Jamani naombeni mwenye ujuzi na hizi simu za google pixel anisaidie, in short nina google pixel 5g a hii ilikua poa tu lakini ikaanza kuna wakati naichaji inaniandikia hili neno liquid debris then...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani naombeni msaada machine yangu ya efd imeniandikia call in service. Nikitaka kutoa risiti hivyo inachukua muda kutoa
0 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Question Question
Wana JF, nimelipia Facebook Ads kwa kutumia Tigo Mastercard. Pesa zimetoka tigo pesa kwenda Mastercard sasa kwenye ads naonekana bado nadaiwa, nmewasilia na Tigo Huduma kwa Wateja wananiambia hilo...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
●In collaboration with the IOC, and OBS, Samsung Galaxy technology will provide fans around the world with a new, up-close view of the world’s greatest athletes during the Games SEOUL, Korea –...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom