Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Je, nawezaje kuwa female programmer? Naanza kusoma vitu gani Kwanza? Kuna vitu vya kusoma kabla ya coding? Je natakiwa nijue languages zote za computer au nikijua python na java zinatosha...
9 Reactions
83 Replies
4K Views
Wakuu nisiwapotezee muda, kwanza kabisa nikiri kuwa sina utalaamu na mambo ya watoa huduma za mawasiliano hapa Tanzania hasa makampuni ya simu. Tatizo langu ni kuwa nilinunua smart tv na kuja...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Katika soko la vifaa vya kielektroniki, kununua iPhone mpya au iliyotumika ni chaguo linaloathiriwa na mahitaji na bajeti ya mtumiaji. Kuelewa tofauti kati ya iPhone mpya na iliyotumika ni muhimu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, sisi wazee wa online tumekuwa tukitumia njia nyingi na app nyingi katika kutazama Mechi za Barani ulaya, na mashindano mbalimbali kama Uefa Champions League, FA, Carabao n.k...
4 Reactions
17 Replies
7K Views
Nina HDD 1tb nimeongeza na 128gb SSD kwa ajili ya Windows na system ili kuwezesha PC kuwaka haraka na kweli mabadiliko nayaona PC inawaka haraka na inakuwa tayari kwa matumizi bila ya kuirefresh...
1 Reactions
5 Replies
588 Views
wakuu nina mashine aina ya RICOH MP 2501 SP , napataje free drivers ili nitumie kama printer? Kila driver ninayoiona mtandaoni inauzwa. Msaada tafadhali
0 Reactions
7 Replies
550 Views
Habari wadau Nipo kwenye harakati za kujiandaa kufanya utafiti juu ya matumizi ya Next Gen Firewall hapa Tz na case study yangu itafocus kwenye data center Hivyo ningependa pata first hand...
1 Reactions
3 Replies
520 Views
Habari wadau, Naomba msaada wa kufundishwa program ya FL studio, Sina PC. Nipo Dar. Kwa aliye tayari karibu PM Asanteni
1 Reactions
6 Replies
827 Views
Nimekuwa nikijifunza kutengeneza Music ArtWork Cover kwa miezi miwili sasa kwa kutumia android apps. Cha ajabu ninapo-upload on YouTube, zinakuwa na quality duni sana ingawaje wakati nasave...
0 Reactions
1 Replies
362 Views
Habari JF, Nimetumia Watsap GB kwa miaka Mitano 5 sasa lakini juzi wameni-block Aisee sitoweza kupata access za GB watsap milele na milele. Now niko Official whatsapp ila sijaizoea kabisa maana...
9 Reactions
45 Replies
4K Views
Habari zenu wadau Nimekuja hapa kama kichwa Cha habari kinavyosomeka hapo juu naomba msaada wakublock haya matangazo ya mikopo yasinifikie Mwezi iliyopita nilifiwa na tangazo la mikopo kuwa...
1 Reactions
6 Replies
569 Views
1. 2024 ASUS ROG Zephyrus G16 GU605MI-G16.U94070 Intel Core Ultra 9 185H 16GB RAM 1TB NVMe SSD NVIDIA GeForce RTX 4070 16" 240Hz OLED 6.1m 2. LENOVO LEGION PRO 5 16IRX8 1TB SSD 32GB RAM CORE...
2 Reactions
35 Replies
2K Views
Wanajamii naombeni mniambie tatizo la hii photocopy machine na namna ya kuirekebisha . Inatoa karatasi namna hii[emoji1370][emoji1370]
1 Reactions
7 Replies
930 Views
Wakuu habari za mishe nimefungua huu uzi ili kuhakikisha kuwa pamoja na uwepo wa vifaa vya apple(ambavyo vina gharama kubwa na watumiaji wake wanajiona sana)pia na vifaa vinavyotumia OS zingine...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Ndugu wanajamiiforum Nataka kubadili tv nichukue flat nzuri zaidi maana nilikua na Singsung nchi 25 Wakuu ni TV ni brand gani ya tv za flat ni nzuri,imara,picha nzuri, na zenye ubora? Maana...
2 Reactions
100 Replies
26K Views
Yaani natumia mtandao wa tigo lakini nina bando 190mb lakini halisapoti chochote yaani hata sms au video halikubali nishafanya seting cm yangu lakini wapi, shida ni nini wadau?
0 Reactions
26 Replies
942 Views
Simu yangu ni IPHONE Xs Max Storage 64 Lakini nashindwa kuinstall hii new update New update ni IOS 17.5.1 Uki install inaleta Error Shida ni nini?
1 Reactions
10 Replies
810 Views
Wakubwa shikamooni, wadogo marahaba Google acc yangu inasoma hivyo. Na nilitunza had vyeti vyangu vya kitaaluma nafanyaje wadau.
0 Reactions
4 Replies
394 Views
Product name: Pocket projector pro Price: 150,000 tsh Location: Dar Es Salaam Contact : 0719452361 Zimebaki piece 2 tu. Ni mpya kabisa
0 Reactions
2 Replies
485 Views
Hi. Kwa mtakaoniona mjinga mnisamehe bure. Nimegugo ila sijaelewa vizuri. Naomba kueleweshwa yafuatayo: 1)Name in print inaandikwaje? 2)Signature kwenye form ya soft copy inaandikwaje...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Back
Top Bottom