Mechanic 97
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 501
- 822
Wakuu kotokana na kuishi Kwangu mtaani hapa nikiwa na solve matatizo madogomadogo ya husuyo simu na umeme sasa jana nimepita sehemu ni mepewa hili nimejitahidi kulikimbia Kwa kua vifaa muhimu Mimi Sina Leo tena kanimumbusha. Nimeona nisikimbie kizemba niombe hata huku. Tatizo ni hili PHOTOCOPY MACHINE INATOA MISTARI INAPOTOA COPY HIVYO MSAADA WENU PLEASE