Mafundi photocopy machine piti hapa

Mechanic 97

JF-Expert Member
Feb 6, 2021
501
822
Wakuu kotokana na kuishi Kwangu mtaani hapa nikiwa na solve matatizo madogomadogo ya husuyo simu na umeme sasa jana nimepita sehemu ni mepewa hili nimejitahidi kulikimbia Kwa kua vifaa muhimu Mimi Sina Leo tena kanimumbusha. Nimeona nisikimbie kizemba niombe hata huku. Tatizo ni hili PHOTOCOPY MACHINE INATOA MISTARI INAPOTOA COPY HIVYO MSAADA WENU PLEASE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom