Superpower
JF-Expert Member
- Oct 11, 2018
- 826
- 912
Jamani wamendwa hivi punde nimepokea sms ya kwamba m pesa master card haitopatikana Tena. Bali Kuna mpya ambayo ni M-pesa Visa Card.
kivipi mkuu ebu elezea vizuriNa charges zimeongezeka kutoka 4% per transaction to 5.5% per transaction
Swali zuriTofauti ni ipi..?
Je,itaweza kuleta huduma ya kupokea pesa..?
Vipi itakubalika ktk site zote..?
Hii sijui ina maana gan nyuma ya pazia. Anyway.. M-pesa MasterCard used to be the best for me!Jamani wamendwa hivi punde nimepokea sms ya kwamba m pesa master card haitopatikana Tena. Bali Kuna mpya ambayo ni mpesa visa card
Tofauti ipo..mfano Skrill uki upload fund kwa MasterCard basi hizo dollar zako kila mtu atazikataaTofauti ni ipi..?
Je,itaweza kuleta huduma ya kupokea pesa..?
Vipi itakubalika ktk site zote..?
Hizo ni improvement tu katika huduma.. visa iko reliable sana..Hii sijui ina maana gan nyuma ya pazia. Anyway.. M-pesa MasterCard used to be the best for me!View attachment 1991719
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Hao airtel wanakata asilimia ngapi?Asilimia 5.5? Tutahamia Airtel
Sina uhakika ni ngapi ila chini ya asilimia 4, ubaya wa Airtel hela wanakata moja kwa moja kwenye Airtel money, kwa sisi tunaotembelea trial inaweza ikaku cost siku.Hao airtel wanakata asilimia ngapi?
- Awali tulishindwa kuhamisha fedha toka Skrill kwenda kwa broker, iwapo (voda)mastercard ilitumika, Ila kwa sasa itawezekana, sababu visa haina restriction skrill kwenda kwa broker au any online casino.Tofauti ni ipi..?
Ndio, utapokea fedha yako kama kawaida.Je,itaweza kuleta huduma ya kupokea pesa..?
Bila shaka,Vipi itakubalika ktk site zote..?
Kinachotakiwa kufanya, ni kufuta kadi kila baada ya matumizi.kwa sisi tunaotembelea trial inaweza ikaku cost siku.
Hawa naskia refund inasumbua sana...Asilimia 5.5? Tutahamia Airtel
Ahsante kwa ufafanuzi mkuu maana nilizira kuitumia hi kisa Mambo hayo kutowezekana.- Awali tulishindwa kuhamisha fedha toka Skrill kwenda kwa broker, iwapo (voda)mastercard ilitumika, Ila kwa sasa itawezekana, sababu visa haina restriction skrill kwenda kwa broker au any online casino.
Ndio, utapokea fedha yako kama kawaida.
Ni swala la kujaza taarifa sahihi katika web husika ili kulink kadi yako.
Bila shaka,
Nadhani hii ni moja ya sababu ya wao ku_switch from master to visa.
Kuna bank yoyote unayifahamu charges ni ndogo? Maana ukinunua kitu ghali hizo asilimia zinaumiza sana.Hawa naskia refund inasumbua sana...
Hawa naskia refund inasumbua sana...