Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nimekuwa nikikutana na changamoto ya kupata internet. Account iko paid, connection zote zipo sawa. Nikipiga simu naambiwa ni tatizo la kiufundi. Naomba kujua kama na nyie mnakutana na...
4 Reactions
11 Replies
363 Views
Naomba kujua namna naweza kutrack taasisi yoyote ya mikopo iliyo linked na namba ya nida!
1 Reactions
0 Replies
121 Views
Habari wakuu Kiukweli nahitaji kuongeza uelewa kuhusu mambo mifumo ya sim na mambo ya computer like androids, OS, Linux, bypassing and other like that. Hivo nilipendelea sasa kisaidiwa kupata...
1 Reactions
8 Replies
320 Views
FUMO WA ESS KWA SIMU
1 Reactions
3 Replies
178 Views
Mwaka 2025, Android ilisafirisha simu 1,000,000,000 huku iPhone ikisafirisha 240,000,000, hivyo kwa idadi ya vifaa Android iko ligi tofauti kabisa. Hata hivyo, bei ya wastani ya iPhone ni dola...
3 Reactions
14 Replies
408 Views
Mara baada ya Mwananchi kupitia JamiiForums.com kulalamikia huduma ya Kazi za N-CARD katika kuweka fedha, inayowalazimu kupanga foleni wakati wa kuitumia katika Kivuko Kigamboni, ufaafanuzi...
2 Reactions
2 Replies
220 Views
Wapendwa habari za wakati huu, Samahani naomba kujua Kati ya google pixel 6 plain na IPhone 11 Nani mkali zaidi katika camera, betries, storage, quality na mengineyo mengi mengii ya ndani msaada...
3 Reactions
136 Replies
11K Views
Habari wakuu, nauza simu yangu binafsi ikiwa katika hali nzuri kabisa. Sababu ya kuuza ni kupata changamoto ya kifedha inayohitaji utatuzi wa haraka. Sifa za Simu: Model: Redmi Note 14 Pro 5G RAM...
1 Reactions
4 Replies
249 Views
Wakuu kwema. Na imani mnaendelea poaa. Wahenga walisema kama nitakuwa sijakosea "omba nyavu ukavue samaki mwenyewe kuliko kuomba samaki kila siku" Naomba msaada wenu kwenye hili kwa yule...
5 Reactions
18 Replies
405 Views
Habari. Msaada tafadhali... Ofisini hapa tumejichanga tumenunua Router ya ZTE model K12 unlimited bundle. Sasa issue inakuja kwenye kuunga kwenye Laptop yangu Dell Latitude 3340. Wenzangu wote...
3 Reactions
2 Replies
180 Views
Wakuu habari za majukumu? Natumai mnaendelea vizuri na majukumu ya maisha ya kila siku. Kutokana na changamoto ya janga la Korona hivyo inatupasa kujikita zaidi katika "digital marketing" and...
9 Reactions
120 Replies
10K Views
Wakuu naomba experience yenu na hii brand, maana nisije nikajichanganya!
3 Reactions
57 Replies
5K Views
Naomba msaada wa kupata software amboyo itaniwezesha ku control user katika matumizi ya mtandao internet ili niweze kutambua mtu mwenye matumizi makubwa niweze kulimit.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Router zenye uwezo mkubwa bei yake ipo juu sana. Sasa nikaanza kufanya research ya kama PC ikiwa na Windows OS ya kawaida kama inaweza kufanya kazi kama Router. Nilihangaika mpaka kuja kupata...
7 Reactions
25 Replies
689 Views
Tupeane hiyo Mbinu tafadhali ili nami pia niwe nawachungulia Watu na WhatsApp Status bila ya Wao kujua.
5 Reactions
10 Replies
783 Views
Wakuu habari zenu Mwenye nayo Naomba tusaidiane VPN ya halotel kwa ajili ya free Internet
5 Reactions
27 Replies
639 Views
Habari wakuu? Je naweza kufahamu namba ya simu kwa kutumia hizi namba ? Ahsante
5 Reactions
7 Replies
339 Views
  • Featured
Wakuu, leo September 9 Apple wamezindua simu zao mpya iPhone 17 series pamoja na bidhaa nyingine kama airpods na Apple watch matoleo mapya. Kwa kuanza na iPhone, jumla ya simu nne zimezinduliwa...
20 Reactions
172 Replies
8K Views
Wadau heshima kwenu,mgeni kidogo hapa,msaada tutani nina sj 5 na kwenye kizibo oil inayotakiwa nimeona ni OW 20,na nimekuta kuna kampuni mbili aina ya alphard titanic ila nimeshangazwa sana na...
2 Reactions
6 Replies
338 Views
UNAWEZA nambia Kuna ulazima WA Mimi KUWA na router ILI KUWA na unlimited? Je siwezi KUWA monitored nikiwa na unlimited Kwa card ya simu? Kama router ni Kwa ajili ya ofisini na majumbani vipi Kwa...
21 Reactions
87 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…