Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wadau naomba ushauri kati ya simu hizi mbili zinazouzwa kwenye maduka ya tigo IPI ni nzuri Energizer u652 na ZTE a35 ninataka kuchukua mojawapo
2 Reactions
2 Replies
830 Views
Haya ni baadhi ya matukio yanaoendelea katika Tantech association ambapo mimi na wenzangu kushirikiana na shule yetu tuliweza kuomba msaada wa kupata mafunzo mbalimbali Kwenye chuo cha Agakhan...
4 Reactions
4 Replies
570 Views
Mwezi hii ya mbeleni nipo kwenye mpango wa kufungua movies store hapa Dar es Salaam. Napitia changamoto moja ni CPU gani na yenye sifa gani inayoweza kunifaa. kwakazi hiyo maana siitaji kununua...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Sina uhakika kama haya mambo wanafanya wakiwa wanajua uzito wa madhara wanayoweza au wamekua wakusababisha kwetu sisi wateja wao. Kwakweli leo hii nimehisi kukosa kabisa uvumilivu. Sijui hata...
5 Reactions
43 Replies
1K Views
Hallo naomba kupata mtaalam wa masuala ya Kufunga Gps kwenye magari 0766806904
0 Reactions
3 Replies
499 Views
Laptop yangu inakula bando balaa natumia window 10 yaani nikiweka afu tatu ndani ya nusu saa imekwisha wakati naingia JF tuu! Nimefunga window update lakini bado tatizo liko pale pale msaada please
3 Reactions
4 Replies
587 Views
Habari wakuu. Nahitaji mtu mwenye Google Developer Console niweze kununua. Nahitaji kwa Ajili ya kuendeshea blog. Napatikana 0692 76 33 06
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Wakuu Sote tunajua jinsi ya kununua umeme wa luku. Swali hili liliwahi kujadiliwa sehemu sina hakika ni wapi, lakini je zile vocha unazo nunua na kwenda kuingiza kwenye LUKU inakuwaje? Je, LUKU...
1 Reactions
113 Replies
39K Views
Wakuu habari za muda huu, Kwa wale wajuzi wa simu naombeni mnipatie muongozo wa aina gani ya simu ninunue kwa bajeti ya 300,000/- mpya/used. Vipaumbele vyangu ni; 1. Battery nzuri at least...
5 Reactions
132 Replies
15K Views
Habarani wataalam, nimekuwa Nikipata tatizo la email yangu kupokea notifications za Facebook,Jamii Forums, Twitter, Quora na hii imesababisha email yangu kuwa bize Kila dakika. Pia nashindwa...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Nina laptop dell 5289 Nikishaiwasha tu feni inaanza kuzunguruka mda wote Ilianza inwzunguruka baada ya kama dakika 10 au 15 inaacha Sasa hivi ndio imezidi mda wote inalia tu kwa sauti Naombeni...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Wakuu habar za muda huu? Leo kila nikijaribu kufungua telegram inafunguka lakini inaandika connecting halafu haifunguki. Je, kuna mtu nae kwake inazingua kama hivi? Ningependa kujua
4 Reactions
17 Replies
7K Views
Natafuta mtu anayemiliki app iliyopo playstore ili aniuzie google console yake kwa milioni 2 (2,000,000).💲💲 Ikiwa utaniunganisha na mmiliki wa console na akaweza kuniuzia nitakupatia laki 1...
2 Reactions
1 Replies
441 Views
The boy is truly a 'bad boy', pls read on: NZ police swoop on teenage hacker By Nick Bryant BBC News Police in New Zealand have arrested a teenager they say was the ringleader of...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Kama kichwa kinavyojieleza, nimekua mtumiaji wa voda unlimited kifurushi cha 115K miaka miwili sasa, lakini huu mwaka kimekua na usumbufu wa hali ya juu as if ni msaada..... Nataka nihame chimbo...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
People who are infected with this virus plz follow the following instructions to remove the virus from your system. 1- To fix your DNS changed by the virus and removal of Malicious files plz...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hi, I am one of the few people who still uses Front Page (2003) to develop web sites. I usually take a simple approach, whenever necessary, but rely on the graphic look-and-feel. The sites I...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Patrick Gray November 13, 2007 Advertisement In August, Swedish hacker Dan Egerstad gained access to sensitive embassy, NGO and corporate email accounts. Were they captured from the clutches...
3 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu kwema? Nina email yangu imegoma kurudi nilikuwa naomba msaada wa kuirudisha na mimi nitatoa zawadi kwa yoyote yule atakaeweza. Email ni " godfreydumba8@gmail.com" password ni Viviane2021...
2 Reactions
12 Replies
789 Views
Habari ndugu naomba msaada simu yangu ina tatizo unaweza kuitumia siku nzima ila kuna muda inajizima na kujiwasha na inaendelea kufanya hivyohivyo mpaka unapobonyeza kitufe cha kuzima ndio...
1 Reactions
6 Replies
530 Views
Back
Top Bottom