Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wadau wa teknolojia ya gaming, leo Sony wametoa wasilisho la kitaalamu kuhusu sifa za Ps5 Pro ambayo itazinduliwa rasmi Novemba 7, kwa wale wa pre order dirisha litafungufuliwa 26 septemba, na Bei...
2 Reactions
1 Replies
605 Views
Hello members, Nilikuwa ninaomba kuelekezwa namna ninavyoweza kubadilisha .bin file into pdf hasa namna ninavyoweza kusoma files/documents za humu JF ambazo zinakuwa katika mfumo huo wa .bin Ahsante.
5 Reactions
8 Replies
842 Views
Wanajukwaa ikumbukwe Google walishtakiwa Kwa kufanya monopoly kwenye search engine ikiwa ni pamoja na kumiliki platform nyingi kama vile, Android, Chrome, YouTube, Gmaps, Gmail, Gmeet, n.k now...
10 Reactions
29 Replies
2K Views
Apple event kwa mwaka 2024 inafanyika leo ambapo iPhone 16 series inatarajiwa kuzinduliwa. Rangi za upinde ni sehemu ya tukio hilo la leo. Yapi maoni yako
1 Reactions
3 Replies
552 Views
Hello bosses kwanza kabisa naomba mods msiedit heading ya huu uzi. Kumekuwa na wimbi la watu kutoheshimu professions za wengine na hili linabackfire mdg mdg. Watu wengi siku hz wanadhan kila mtu...
13 Reactions
73 Replies
8K Views
Husika na kichwa cha habari,, naombeni mnipe mawili matatu juu ya simu tajwa kabla sijazama dukani,, naipenda kwa sababu ya umbo lake sio kubwa,, Asanteni sana
1 Reactions
1 Replies
395 Views
Habari wadau wa tech. Usb yangu ya chaja orijino ya samsung imeharibika. Nikichaji cm inachukua muda mrefu sana kujaa. Jana nimejaribu kutumia usb nyingine cm imejaa hataka sana. Naombeni kujuzwa...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
kuna njia nyingi ambazo zinaweza tumika kuipata simu yako iliyoibiwa, lakini hapa ntaorodhesha chache na nitaelezea moja ya uhakika ambayo ndio hutumiwa na polisi kuweza kupata simu iliyoibiwa...
18 Reactions
11 Replies
30K Views
Jamani naombeni msaada namna ya kuunganisha sauti ya kwenye tv niwe naisikia kupitia sound bar
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema hebu tutoe maoni kwanini vijana wa sayansi especially ICT wanahangaika sana wakati Kwa elimu yao wangekuwa na uwezo wa kubuni apps ambazo zingewakwamua kiuchumi...
2 Reactions
11 Replies
818 Views
Wakuu msaada wenu hapa. Nataka nivute TV ya bei ndogo naomba ushauri wenu. Ipi nitapata kwa bajeti hiyo na itakuwa na ubora kiasi wa kuridhisha?
4 Reactions
31 Replies
3K Views
Habari wadau? Natumia simu ya samsung A12, nilirestore simu na baada ya kuweka line zinasom emergency shida itakua ni nini?
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakubwa nilikuwa naomba kujuzwa kwa mtu aliesomea Bachelor of science In Information System GPA inasoma 3.0 na anaujuzi wa data analytics. Anauwezekano wa kupata Ajira in goverment or private...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Sauti ya mtangazaji wa game PS zinawekwaje? Maana kile mchezaji anachokifanya ndio mtangazaji anatangaza. Kwa mfano hapa nilipo kuna madogo wanacheza game ni kati ya ManCity na Barcelona. Yaani...
5 Reactions
6 Replies
373 Views
Habari za wakati wapendwa wa jf tv yangu tangu asubuhi inaniandikia "VOLTAGE IS LOW TV WILL TURN OFF sijajua tatizo ni nini ni zaidi ya massage 12 sasa
0 Reactions
4 Replies
383 Views
Habarini za wakati huu wakuu Niliona sehemu mtandaoni wanauna kadubwasha kanaitwa "HDTV Antenna" kana uwezo wa kupata idadi kubwa cha tv channels kwa kukaweka katika muelekeo fulani kama...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Edit: Nimshukuru thesym kwa kuweza kushare nasi link muhimu yenye vitabu kibao, nimeweza kupata vitabu nilivyohitaji nawe waweza kujaribu. link ya vitabu
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Je wanatumia program/ application gani ku create hizi pc wakuu??
5 Reactions
14 Replies
841 Views
Je, wakala wa mitandao ya simu inawezakana kulipia bill ya Maji DAWASCO ama Kulipia DStv kwa kutumia M-pesa, Tigo pesa, Airtel Money, au Halopesa. Na je pia unaweza kununua umeme kwa kupitia...
1 Reactions
1 Replies
614 Views
Simu Laini zote mbili zina soma vizuri lakini shida no service tatitzo ni nini wadau
1 Reactions
2 Replies
428 Views
Back
Top Bottom