Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari zenu wataalamu. Naomba uzoefu jinsi ya kutuma video ndefu facebook za hata 1 hour, 30 minutes au zaidi. Maana nimetumia fb lite app ikapeleka 30s nikatumia fb web ikapeleka 1 minute. Ila...
0 Reactions
4 Replies
588 Views
N:B: Sihitaji idea za PS, kamari, forex, bitcoin. habari zenu wana tech, naombeni mnipe ideas Nipo mazingira ya mjini binafsi ni muajiriwa lakini ni mdau mkubwa sana wa side hustles Nahitaji...
6 Reactions
36 Replies
2K Views
U hali gani mwana JF? Nahitaji kufahamu simu aina ya Google Pixel nzuri, haijalishi ni mpya ama ya zamani, kikubwa iwe inapatikana kirahisi, simu yenye bei rafiki isiyozidi 300k, hata kama ni ya...
4 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu nimekua nikitamani kufanya cartoon na 2d animation tangu niko shule. Hivyo imepita miaka mingi bila kutimiza ndoto kutokana na kutokuwa na resource mbalimbali. Sasa mwaka fulani hivi...
5 Reactions
38 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu, Nahitaji kuwekeza nguvu zangu kwenye utengenezaji wa katuni hai mfano wa Tom and Jerry. Elimu ya utengenezaji naweza kuipata wapi au ninaweza kuchimba mwenyewe? Naomba msaada...
2 Reactions
16 Replies
6K Views
Je ? Una google play console account. 1. Nanunua google play console angalau kuanzia mwaka 1 na kuendelea(chini ya mwaka tutazungumza). 2. Nanunua google play console yenye live app kuanzia 1 na...
2 Reactions
6 Replies
794 Views
Habari.nawezaje kudownload JF for windows 8.1
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu habari. Nataka kupakua app ya jf kwenye computer yangu, naomba kwenye link aweze kunipa au msaada jinsi ya kuipata, najaribu kuipakua hapa inanishinda.
1 Reactions
4 Replies
6K Views
Habar hii simu haiwaki imezima gafla nimepeleka kwa kila aina ya fundi wamebadilisha kioo imeshindikana kuwaka ikiweka chaji inapeleka ukiwasha inatoa mlio wa kuwaka ila kioo hakiwaki. Msaada.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mtu anaye nitumia anakuwa kama analipa kwa credit card yake alafu mimi napokea pesa nimecheki azampay link naona ni tigopesa tu Vp siwez tumia visacard ya voda kupokea?
1 Reactions
4 Replies
388 Views
Wakuu habarini ni hivi baada ya kufanya manunuzi mara kadhaa katika mtandao wa kikuu na AliExpress Sasa nataka kujongea panapo ebay. Hivyo naomba mnimpe picha halisi ya ebay mfano aina ya wauzaji...
3 Reactions
8 Replies
449 Views
Zifuatazo ni dondoo zangu chache za jinsi ya kuanza kwa upande wa kiufundi wa computer hacking. Unatafuta ni namna gani ya kuanza kujifunza kitaalam infosec au cyber? Unatamaa ya kujua namna gani...
12 Reactions
16 Replies
5K Views
Wakuu nimepoteza simu ninayotumia sasa nina kimeo cha Oppo A57 imebidi kinistiri kwa muda lakini sioni app store ili niweze kuziupdate apps kama Whattsapp na mimi si mtundu kwenye angle hiyo...
0 Reactions
4 Replies
661 Views
Nimepata kukutana na hii video ikimuonesha Muigizaji Jean Claude Van Damme akiwa kwenye tangazo la magari ya kampuni ya Volvo akichana msamba katikati ya magari mawili, je ni kweli au editing tu?
1 Reactions
0 Replies
521 Views
Msaada tutani wakuu nimsaidie jamaa yangu Sehemu ya data ipo on lakini kwenye screen haionekani kuwa on, hata ukiingia mtandaoni hapafunguki
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Nina router ya Home Internet ya Tigo sasa kwa wale wenye ujuzi wa ku unlock niweze kutumia kwa laini zote nahitaji msaada please.
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wakuu samahani simu yangu inatatizo nilikuwa naomba msaada. Ninapompigia mtu au ninapopigiwa simu haitoi sauti mpaka niweke lound speaker tatizo ni nini na ni jinsi gani ya kulitatua...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu naomba kujua kama mada inavojieleza, sitaki kuingia mkenge natamani sana kununua router hii ya 5G inayotangazwa sana mitandaoni. Nimeshaongea na baadhi ya wafanya biashara hiyo sijaridhika...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wana JF, Kuna mtu anatumia router ya NOKIA kwenye huduma ya supakasi atuambie perfomance yake ukilinganisha na routers nyingine!?
0 Reactions
6 Replies
712 Views
Back
Top Bottom