Msaada: Virus wa ajabu na jeuri kwenye compyuta na Memory Card

SAYANSIKIMU

JF-Expert Member
Feb 27, 2014
1,132
260
Heshima zenu wakuu komputa yangu na simu yangu imevamiwa na kirusi cha ajabu nikichomeka memory card mafaili yote yanageuzwa na kuwa ma folder mengi zaidi ya mia yenye jina la uuuuuuu.uuuuu.

Ubaya wa haya ma folder mengi hayafutiki. Kirusi hiki ni jeuri maana hata kama niki format memory card naka weka vitu vipya nikarudisha kwenye simu bado mafaili yote yanageuzwa kuwa uuuuuuuuuu.uuuuuuuu ,

Nikichomeka upya na kuingiza kwenye PC nakuta uuuuuu.uuuu. Nime format memory card nimescan computer mara nyingi lakini kirusi huyu hafi tu.

Wakuu naombeni msaada. Nahitaji kujua hili tatizo linasababishwa na nini, Pia nita mtoaje huyu kirusi . Pia nifanyaje niilinde Pc ,Simu yangu ,Flash na memory card dhidi ya huyu kirusi.

Natanguliza shukrani wakuu.
 
Mkuu, hao mbona cha mtoto uliza kitu inaitwa .CERBER3 , imekula 300gb na upuuz za vitu vyangu,

Nadhan format simu na memory card kwa pamoja, ikikataa nakushaur hiyo kadi temana nayo tu
 
Heshima zenu wakuu komputa yangu na simu yangu imevamiwa na kirusi cha ajabu nikichomeka memory card mafaili yote yanageuzwa na kuw a ma folder mengi zaidi ya mia yenye jina la uuuuuuu.uuuuu ubaya wa haya ma folder mengi hayafutiki .Kirusi hiki ni jeuri maana hata kama niki format memory card naka weka vitu vipya nikarudisha kwenye simu bado mafaili yote yanageuzwa kuwa uuuuuuuuuu.uuuuuuuu , nikichomeka upya na kuingiza kwenye pc nakuta uuuuuu.uuuu. NIme format memory card nime scan computer mara nyingi lakini kirusi huyu hafi tu.Wakuu naombeni msaada. Nahitaji kujua hili tatizo linasababishwa na nini, Pia nita mtoaje huyu kirusi . Pia nifanyaje niilinde Pc ,Simu yangu ,Flash na memory card dhidi ya huyu kirusi.

Natanguliza shukrani wakuu.
Mkuu una ant virus? umescan? kama ant virus imeshindwa jaribu kudownload software inaitwa malware bytes uone matokeo
 
Kwanini sio virusi, ni nini?
nimeandika hapo juu ni ransomware

lengo LA ransomware ni kupata hela, ana encrypt mafile mpaka umlipe hela ndio anakupa key ya kufungulia. unaweza ukamlipa na pia asifungue.

mfano wake ni kama MTU amteke Mtoto wako halafu akuekee masharti hamuachilii hadi umlipe hela
 
Mkuu, hao mbona cha mtoto uliza kitu inaitwa .CERBER3 , imekula 300gb na upuuz za vitu vyangu,

Nadhan format simu na memory card kwa pamoja, ikikataa nakushaur hiyo kadi temana nayo tu

Uliwapataje hao virus mkuu? wengine tuweze kujikinga nao
 
Tafuta hii application inaitwa (HijackThis ) alafu run baada ya hapo itakuja path mbalimbali mark all alafu futa virus unakuta ameingia katika hizo path itafix ya kufuta inafuta
Ngoja. nijaribu kutumia hii application. nitakupa feed back
 
nimeandika hapo juu ni ransomware

lengo LA ransomware ni kupata hela, ana encrypt mafile mpaka umlipe hela ndio anakupa key ya kufungulia. unaweza ukamlipa na pia asifungue.

mfano wake ni kama MTU amteke Mtoto wako halafu akuekee masharti hamuachilii hadi umlipe hela
Mimi nikiweka memory card mafaili yote yanageuzwa kuwa uuuuuu.uuu na haitokei option ya. kulipa pesa.Kama unafahamu namna ya kuwalipa. Au. kujilinda dhidi ya hawa virus naomba unisaidie
 
Kwenye moto hakuna kirusi anayeweza kusavaivu awe huyo au hata yule wa arv, choma moto tu
 
Tumia antivirus iitwayo kaspersky ila uactivate iyo antivirus kwa key na iwe database yake update then unascan vyote yaani computer na external disks zilizoathirika na hao virus. Key za kaspersky huwa zipo mtandaoni ila ni za wizi unaweza search katika google na ukazipata.
 
Nishatumia Kaspersky lakini naona Malware bytes ndio kiboko yao.
Tumia antivirus iitwayo kaspersky ila uactivate iyo antivirus kwa key na iwe database yake update then unascan vyote yaani computer na external disks zilizoathirika na hao virus. Key za kaspersky huwa zipo mtandaoni ila ni za wizi unaweza search katika google na ukazipata.
 
Back
Top Bottom