1. Timu ibadili njia ya Kupitia hasa Kuingia Uwanjani kwani tumetegwa katika Mageti mawili.
2. Wachezaji wa Simba SC wakati wa Kusalimiana wasipeane Mikono na wa Yanga SC bali wagonge Ngumi tu...
Nadhani tactics ni kama nyenzo inategemea unataka kufanya nini na una nyenzo ya aina gani kwa kufanya nini kama ukikosa Kisu unaweza kutumia msumeno - lakini hauwezi kutumia Kisu ili kukata miti...
Ndugu yangu huyu nampa Pole yaani ukweli anatamani kutoka anashindwa afanyaje ndioo maisha yake.
Kati ya watu niliwaonea huruma majuzi ni ndugu yangu huyu hatareee sanaaa.
Tuendelee kumwombea...
Kuna mstari mwembamba unaotenganisha mchezaji anayejua kukaba na mchezaji anayejituma.
Yanga husajili wachezaji wanaojua kucheza katika nafasi zao pia wanaojua kukaba yaani ikimsajili mchezaji...
Kwanini usajili wa Simba HAUAMINIKI? Simba wanaweza kusajili wachezaji 7 lakini atakayeonesha kiwango Ni mmoja au hakuna hivi Hawa jamaa wanatumia mfumo gani kupata wachezaji?
Simba kjikite...
Huu Uzi no maalumu kwa mashabiki wa ile timu inayopiga soka la kitabuni na clabu kubwa Africa kwa sasa nayo niyanga sc tu na si wengineo
hapa funs tuwe tuna update habari/taaifa,ratiba na...
Licha ya Manchester United kuongoza kwa magoli 3-0 hadi dakika ya 70 dhidi ya Timu ya Coventry City inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza (Championship) lakini hadi dakika ya 90 zinakamilika matokeo...
1. Beki Israel Mwenda amekuwa mtu wa kufanya makosa sana lakini Benchika anaendelea kumvumilia
2.Inonga Baka amejivunja makusudi na sasa Simba imuachie akaangalie maisha mengine.
3. Che Malone...
Kibu Dennis anajichosha tu na mikimbio yake, maarifa kidogo Sana. Kwa haraka anaonekana kwamba ana bidii lakini ni mchezaji mbovu
Gwede haonekani Sana lakini ana maarifa makubwa. Gwede...
Huu ni mpira,
Hii ni soka,
Hii ni Derby.
Mbona hamjawahi kuwakamata wanaosema "timu yangu ikifungwa mnikate kichwa?
Maneno makali,
Maneno ya kukera,
Ndio Utamu wa derby.
PIA SOMA
- Polisi...
Habar mwanajukwaa
Ukikaa na baadhi ya mashabiki wa simba wanakwambia jana wamecheza mpira hasa ile dakika za mwanzon kabla ya kula chuma 2.
Ila pia wanasema wamecheza sana Mpira Second half na...
Kwanza niwapongeze kwa kipindi chote hicho cha uwongozi wenu enyi viongozi wa Simba.Mliitoa Simba Shimoni(kutokuwa maarufu na tishio) hadi kuifanya timu maarufu Afrika kwa hatua mbalimbali...
Inawezekana wachambuzi, mashabiki wa Simba na wadau wa soka wanaiona Simba ni mbovu ila upande wangu naona Simba inaonekana ni mbovu kwasababu inalinganishwa na Yanga. Yanga msimu ni timu bora na...
Huu utitiri wa mashindano hauna afya, mwakani Yanga na Simba (au azam) zitashiriki
1. Caf ligi ya mabingwa
2. African Super league
3. Ligi kuu bara
4. Ligi ya muungano
5. FA
6. Mapinduzi cup
7...
Wajuzi wa Soka hebu tupeni kilichotokea CAF. YANGA baada ya kufungwa na Mamelodi ktk Robo Fainal hawakuridhika na kuamua kupinga Uamuzi wa Refa wa kukataa Goli alilofunga Aziz Ki na kukata rufaa...
Mimi siupendi uongozi wa Mangungu hata kidogo, cmpendi pia Try Again wala Ceo Iman Kajula.
In a nutshell, wameshindwa kuleta furaha Simba na hawastahili kuendelea kutuongoza kabisa kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.