Homa ya Kariakoo Derby imekuwa kubwa, ukipita katika viunga mbalimbali vya Dar es Salaam, habari kuu ni mechi hii!
Hii ni mechi ambayo ni kubwa katika nchi, Yanga wanaelekea katika mechi hii...
Na kinachonishangaza ni kwamba inanyesha tu maeneo baadhi na nimeambiwa baadae itanyesha Regency Hotel kisha Jangwani Bwawani na ikifika tu Saa 10 jioni itanyesha kwa muda pale kwa Mkapa Stadium...
Wachezaji wa Simba wote tumewafunga matofali miguuni. Kipa ndo mbaya zaidi amevalishwa miwani ya mbao. Mtaalamu katuambia hamna shida refa tu naye awe muelewa.
Hili pambano tumejipanga nalo sana...
First Eleven ya simba Vs Yanga hapo kesho November 2020.
1. Aishi Manula
2. Salum kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Pascal wawa.
5. Joash Onyango.
6. Jonas Mkude
7. Luis Misqueson
8 Muzamiru...
Wasalaam
Aambiwe kwamba
1. SIMBA SC is another level hapa VPL
2. Viwango vya wachezaji wa Yanga ni vya chini ukilinganisha vya wale wa Simba
3. Kwenye derby ya Kariakoo asijichanganye akachezesha...
Nafikiri kwa hizi mechi 2 tumethibitisha kwamba uongozi ndani ya kikosi cha Simba umebadilika
First captain: Bocco
Second captain: Chama
Third captain: Kapombe
Ingawa haijathibitishwa na Uongozi...
Naam Hatimae November 7 iliyosubiriwa kwa muda mrefu Hatimae imewadia ni mechi kubwa inayobeba hisia za wapenda michezo wote nchini pamoja barani Africa kwa ujumla.
📍Ni mchezo wa nne unakutanisha...
Naaaam!
Kuelekea patashika ya Ligi Kuu Tanzania Vodacom Premier League VPL, Jumamosi November 7 2020 kutavurumishwa mchezo wa watani wa Jadi katika soka la Tanzania kati ya Yanga SC dhidi ya...
Miaka ya 1980-90 mwishoni Mpira nzuri na wakuvutia ulikuwa ukichezwa nchini Italia. Ligi ya Italia Serie A likuwa ndio Bora kabisa duniani. Wachezaji wote wazuri na Bora toka mataifa mengine ya...
Haya tena wana Simba tumepigwa na kibonde Ruvu shooting,safari hii nyumbani kwenye kiwanja kizuri kabisa.
Nasema there is something wrong somewhere siyo bure, timu inayohudumiwa vizuri haiwezi...
Habari!
Jana nimepata nafasi kumsikiliza kiongozi wao Mzee Zacharia Hanspope unaona kabisa hawa watani wetu wamekuwa kama mfa maji.
Mfa maji hakosi kutapatapa sasa ndio wamefikia hatua hiyo.
Na...
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga...
Habari!
Baada ya kukusanya point 7 kati ya 9 kanda ya ziwa. Mabingwa wa kihistoria Young Africans wamewasili Dar es Salaam kutokea Mwanza.
Tayari kwa maandalizi kelekea mpambano wa derby ya...
Kuna wakati nilishaa andika hapa ...
Huyu bwana Mdogo Frankie De Jong anaenda kuwa machezaji wa kawaidaa sana pale Barcelona tena kuna wakati atakua hachezi kabisa!.na pengine wakauza bila...
Mcheza Soka na mshindi wa Kombe la Dunia 1986 wa Argentina, Diego Maradona yupo chini ya uangalizi wa Madaktari kufuatia Oparesheni aliyofanyiwa ili kutibu tatizo la kuganda kwa Damu kwenye Ubongo...
Priiiiiiiiiii, Vurumai za ligi kuu Tanzania Bara VPL, kuendelea leo Jumatano 04, Novemba 2020. Leo zitapigwa mechi tatu(3) katika viwanja mbalimbali.Hii ni baada ya hapo jana anaejiita bingwa wa...
Ligi kuu Soka Tanzania Bara imeendelea kutimua vumbi hii leo katika Dimba la Uhuru Jijini Dar es Salaam ikiwakutanisha Simba dhidi ya Kagera Sugar
Simba imeondoka na ushindi mnono wa Bao 2-0...
Washika Mitutu wa London, Arsenal the Gunners wameibuka na Ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Mashetani wekundu, Manchester United
Goli lililofungwa na P. Aubameyang kwa mkwaju wa Penati kunako dakika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.