Hii mvua inayonyesha sasa na hili wingu, vyote ni kutokana na utabiri wa TMA au vyote ni kwa 'hisani' ya Mnyama leo kwa Mkapa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,544
108,865
Na kinachonishangaza ni kwamba inanyesha tu maeneo baadhi na nimeambiwa baadae itanyesha Regency Hotel kisha Jangwani Bwawani na ikifika tu Saa 10 jioni itanyesha kwa muda pale kwa Mkapa Stadium ambayo pia itaandamana na 'Nyuki' wa hapa na pale ili mradi tu leo akina Hersi na Msola baada ya Saa 1 Kamili Usiku waanze 'Kuzichapa' kavukavu huku Kaze akiwakazia Mimacho.
 
Na kinachonishangaza ni kwamba inanyesha tu maeneo baadhi na nimeambiwa baadae itanyesha Regency Hotel kisha Jangwani Bwawani na ikifika tu Saa 10 jioni itanyesha kwa muda pale kwa Mkapa Stadium ambayo pia itaandamana na 'Nyuki' wa hapa na pale ili mradi tu leo akina Hersi na Msola baada ya Saa 1 Kamili Usiku waanze 'Kuzichapa' kavukavu huku Kaze akiwakazia Mimacho.
Simba mna maneno ya shombo sana. Ni hekima kubwa sana kusikiliza kuliko kuongea.
 
Mkuu si umeshasema kuna uwezekano w Simba kupoteza au draw.
Na kile kile 'nilichokitabiri' ndiyo kimetokea au hakijatokea? Penati, Mchezaji Kuumia na Sare ( Draw ) msione 'Aibu' kunipa Pongezi zangu nyingi tu.
 
Back
Top Bottom