GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,865
Na kinachonishangaza ni kwamba inanyesha tu maeneo baadhi na nimeambiwa baadae itanyesha Regency Hotel kisha Jangwani Bwawani na ikifika tu Saa 10 jioni itanyesha kwa muda pale kwa Mkapa Stadium ambayo pia itaandamana na 'Nyuki' wa hapa na pale ili mradi tu leo akina Hersi na Msola baada ya Saa 1 Kamili Usiku waanze 'Kuzichapa' kavukavu huku Kaze akiwakazia Mimacho.