Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Interview za Ajira portal ni lugha gani inatumika
2 Reactions
3 Replies
213 Views
Katika Halmashauri ya Kibondo, upandaji wa Madaraja hatuna elimu na wengine hadi miaka 5 inapita bila kupanda daraja, je! Kwanini tusiambiwe ukweli ili mtu ukaishi bila kulaumu kiongozi? Suala la...
3 Reactions
10 Replies
375 Views
Anonymous (c723)
Mamlaka ya usimamizi wa wanyamapori Tanzania (TAWA) Imezuia kukamilisha taratibu za ajira za Askari wake 12 waliomaliza kozi ya mafunzo ya jeshi la uhifadhi kwa muda wa miezi 6 (KOZI INTAKE...
3 Reactions
7 Replies
462 Views
Anonymous (d43e)
Wizara ya Afya ijitafakari sana katika hili,, watumishi wa afya wanalia na Muundo wa mishahara miaka nenda miaka rudi,, tunaishia kusikia tu waziri akizungumzia kwenye majukwaa ya kisiasa suala la...
4 Reactions
5 Replies
242 Views
Max Pro Limited ni Kampuni inayojihusisha na utengenezaji na uzalishaji wa bidhaa mbalimbali za Usafi kama vile Tiles Cleaner,Hand Wash Soap,Window Cleaner,Shower gel,Air Fresh,Car Shampoo,Hair...
1 Reactions
5 Replies
327 Views
Anonymous
Habar wakuu, Sisi wafanyakazi tunaofanya kampuni binafsi hakika tunanyanyasika sana hasa linapofikia swala la kulipwa stahiki zetu na mishahara, kuna kuwa hakuna sababu ya mfanyakazi kulipwa...
3 Reactions
9 Replies
338 Views
Anonymous
Wahusika katika secretariat ya Ajira Tanzania kitengo cha Huduma kwa Wateja Kuna. changamoto ya kimawasiliano hawatoi Huduma kabisa vijana tuna pata changamoto kwenye mfumo wa ajira lakini ukipiga...
1 Reactions
2 Replies
131 Views
Habari Wana jf. Mimi ni mwajiriwa kutokana na maslahi madogo natafuta kazi field ya chemistry. Nina uzoefu kwenye steel industry mwaka mmoja na nusu.
0 Reactions
7 Replies
214 Views
Anonymous (e6c9)
Mimi ni mhitimu wa ngazi ya Ordinary Diploma katika Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Kampasi ya Mwanza, nimesoma kwa miaka 3 (yaani 1st year Certificate, 2ry & 3yr Diploma nimehitimu 2024 November...
2 Reactions
2 Replies
170 Views
Niko Mwanza, kisesa, Igudija ......natafuta kazi yoyote ile ya halali, niwe nafanya nikiwa free maana nina kazi ingine ila mshahara haunitoshi, majukumu yananizidi na mwishowe nimekuwa na madeni...
3 Reactions
12 Replies
435 Views
Wakuu naomba msaada kidogo. Kuna kazi nimeomba (hasa za research na translation), wameomba nitume writing samples. Sasa hapa ndipo napata maswali: 👉 Hizi writing samples ni nini hasa? 👉 Natakiwa...
1 Reactions
4 Replies
169 Views
Kwa mfano jina langu katika NIDA ni Mussa Ramadhani Mussa ila kwenye vyeti vyangu vya taaluma ni Mussa Ramadhani. Nimesikia kuwa naweza kupata affidavit na nikafanikiwa. Je, kuna ukweli katika...
3 Reactions
36 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, Napenda kujitokeza kwenye jukwaa hili kwakuwa naamini humu kuna watu wafani mbalimbali na wenye connection mbalimbali. Umri wangu ni Miaka 32 Ni mkazi wa Dar es Salaam Nina...
9 Reactions
27 Replies
5K Views
Anonymous
Baraza la NACTVET halijatoa vyeti vya wahitimu wa kada ya nursing chuo cha Newala School of Nursing waliohitimu September 2025. Cha kusikitisha ni kwamba vyuo vingine vilishapatiwa isipokuwa chuo...
0 Reactions
0 Replies
128 Views
Anonymous
Kumekuwa na tabia ya wafanyakazi kutotendewa haki katika hiki chuo, mara nyingi wafanyakazi wa hapa hudhulumiwa mishahara yao na wakati mwengine kutolipwa kabisa baadhi ya miezi. Mwaka jana baada...
2 Reactions
3 Replies
265 Views
Katika dunia ya sasa, mitandao ya kijamii imekuwa chanzo kikuu cha taarifa za afya na lishe. Watu wengi wanategemea video fupi, machapisho, na ushauri wa watu maarufu ili kuamua wanachopaswa kula...
1 Reactions
1 Replies
133 Views
Majaribu ndio hayo wakuu, Dogo ana miaka 23, mwaka 2020 matokeo ya form 4 yalitoka akiwa na division 1, wengi walidhani ataenda advance ila haikuwa kwenye mipango yake, alienda chuo. alipoingia...
17 Reactions
91 Replies
5K Views
Je, wewe ni mtu mwenye ujasiri wa kuzungumza na wateja, huporomoshwi na kukataliwa, na unatamani kipato kikubwa kutokana na juhudi zako? Kama jibu ni ndiyo, basi nafasi hii inaweza kuwa ya kwako...
2 Reactions
6 Replies
278 Views
Anonymous (8b5c)
Usaili unaofanyika kwa ajili ya kuomba ajira hauna kiwango na sio halali. Sababu kuu ni: Maswali yanayotolewa hayana uhalisia wa kile nilichosoma. Mfano: Umesoma Veterinary unalatewa maswali ya...
0 Reactions
0 Replies
129 Views
Anonymous
Ningependa kuwasilisha hoja yangu kwa Mamlaka ya Utumishi inayohusika na usimamizi wa mitihani ya mtandaoni kwenye usaili wa kuandika. Kumekuwa na mkanganyiko wa matokeo ambapo mtihani wenye...
1 Reactions
1 Replies
147 Views
Back
Top Bottom