Wakuu habarin za muda huu
Moja kwa moja niende kwenye mada nimehitim mwaka juz shahada ya finance baada ya kumaliza nilifanikiwa kufanya sail za sekretareieti ya ajira zaidi ya 6 na zingine...
Achana na hizi kazi za kwenye vijikampuni uchwara vya wachina au wahindi.
Nauliza kuna mtu amewahi kupata kazi ya maana either serikalini au kwenye makampuni ya kimagharibi na NGO kwa nguvu za...
Mradi wa Mabasi ya Mwendo Kasi jijini Dar es Salaam, ulianza kwa mafanikio makubwa na mapato mengi. Hata hivyo, hali ilibadilika baada ya viongozi wa juu kuzidisha "michezo yao" kisha wanatumia...
Habari za wakati huu 👋
Mimi ni mtaalamu wa masuala ya kihasibu (Accounting) ninayetoa huduma mbalimbali kwa wafanyabiashara, makampuni na hata individuals.
🔹 Huduma ninazotoa:
✔️ Kutengeneza...
Sisi Walimu wa Ajira Mpya Mbeya Mjini hatujalipwa pesa yetu tangu Mwaka 2025, waliokuja wapya wa mwaka huu pia hawajalipwa wakati Halmashauri za pembeni wamelipwa muda tu.
Soma Pia:
Halmashauri ya Itilima iliyopo Mkoani Simiyu vivyo hivyo pia Watumishi wake walioajiriwa Mwaka 2024 katika Sekta ya Afya hawajathibitishwa kazini.
Hii inaleta ulakini ni nini hasa changamoto...
Malalamiko kuhusu hali ya ajira katika kiwanda cha Jambo kilichopo Shinyanga yamekuwa yakijitokeza mara kwa mara, hasa kutoka kwa wafanyakazi wazawa.
Inadaiwa kuwa kuna hali ya upendeleo katika...
Somo: Ombi la Mapitio ya Mfumo wa Ajira kwa Wahitimu wa National College of Tourism
Mheshimiwa,
Kwa heshima na taadhima, napenda kuwasilisha waraka huu kwa lengo la kuangazia changamoto ya ajira...
Watu wa nje wanaotaka kupata vibali vya kazi siku hizi wanapata changamoto kubwa.
Zaidi ya mwezi mmoja sasa mfumo wa vibali vya kazi (OWAIS) haufanyi kazi. Hii ina maana kwamba maelfu ya watu wa...
Habari,
Mimi ni mtumishi wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM) kuna kero ambayo kimsingi imekuwa tatizo kubwa sana hasa kwa watumishi na uongozi wao!
Kumekuwa na malimbikizo ya madai kwa zaidi ya...
🚨 TANGAZO LA KAZI – SALES PERSON (2 POSTS) 🚨
Time Less International inatangaza nafasi za kazi za Sales Person kwa wahitaji wenye sifa zifuatazo:
✅ Awe na Degree au Diploma
✅ Awe smart na mwenye...
Aisee kuna ukweli wowote unaousisha kuajiriwa na matumizi ya ushirikina.
Je kuna Mtu ameshapata ajira au kupata Cheo au kulinda ajira yake Kwa matumizi ya ndagu.
Tuturirike Hapa wanajamii
Watumishi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania TANAPA Kwa vyeo vya chini tuna hari ngumu saana tunaomba Jamii forums mtusaidie kupaza sauti kwenye platform zenu zote ili kero hii iweze...
Mimi ni Mtumishi katika Kituo cha Afya Kigamboni (Ferry karibu na Kituo cha Polisi Mzizima), uongozi kutumia vibaya madaraka yao kwa kujilipa stahiki zisizo sahihi mfano; wanajilipa hela za...
PROGRAMME OFFICER – ENVIRONMENTAL EXPERT
Organization: African Transformation on Environmental and Health Action (ATEHA).
Location: Arusha, Tanzania.
Application Deadline: 5th April 2026...
Mimi ni mfanyakazi katika Kiwanda cha Mafuta Dodoma Veyula, kinaitwa Mainland Group ni cha Wachina, changamoto hapa ni hao jamaa wanawanyanyasa wafanyakazi na kuwatolea lugha ya kukera.
Pia...
Jamii ambayo ina migogoro na waajiri wao Mkoani Katavi inashindwa kupata haki zao kwa wakati kwani Ofisi za Idara ya KAZI (CMA) haina msuluhishi wa migogoro hiyo katika mkoa husika.
Kinachotokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.