Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Kero yangu ni kwamba nilienda kufanya interview ya kazi Jijini Mwanza iliyofanyika Friday Aprili 10, 2026 na nilikuwa nawania nafasi ya Ukatibu Afya Ngazi ya Shahada, palikuwa na interview mbili...
7 Reactions
31 Replies
793 Views
Anonymous (d932)
Mimi ni mdau wa ukurasa wenu. Nina kero moja, Watumishi wa Ajira Mpya (Walimu) za Januari 2026 wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam hatujapewa pesa zetu za kujikimu. Kila tunapofuatilia...
0 Reactions
11 Replies
313 Views
Wakandarasi wanaofanya kazi SGR tuna kero moja kwanza mshahara wa Serikali ilipopandisha mwanzo kabla hawajapandisha ilikuwa kwa siku ni shilingi 17,200 kwa madereva na ma operator, ila kwa...
1 Reactions
4 Replies
204 Views
Wakuu, hii mamlaka ya serikali inayoendeshwa kwa kodi za wavuja jasho ina unyeti sana kiasi cha watumishi wake kuenjoy pepo duniani? Cjajua Taasisi zingine kama TRA mishahara yao ikoje ila...
8 Reactions
234 Replies
59K Views
Wahenga wanasema kumpiga teke chura ni kumuongezea hatua sasa Serikali imenikaanga mtaani mwaka wa saba huu bila ajira nikatafuta chimbo likawa linanipa dor za kulipa bills zote za muhimu na...
6 Reactions
22 Replies
517 Views
Anonymous
Kampuni za MM CONNECT na PENT OPTIMISM ambazo zina ubia wa kuendesha maduka ya Vodacom zinachkua vyeti vya kitaaluma vya wafanyakazi wake na kukaa navyo kama udhamini kinyume na utaratibu na...
1 Reactions
1 Replies
126 Views
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Dkt. Festo Dugange, ametoa agizo kuwa waajiriwa wote wapya wa Serikali lazima wafanye kazi kituo kimoja kwa muda usiopungua miaka mitatu (3) kabla...
2 Reactions
6 Replies
458 Views
Anonymous (d932)
Walimu Temeke hela za likizo hatujalipwa toka 2019, Ni huzuni tupu. Pesa nasikia wanazo ila wanaziweka fixed acc ziwazalishie, ni maumivu makubwaa. Tunaomba mtupazie Sauti. Mimi ni mwalimu...
0 Reactions
1 Replies
94 Views
Anonymous (d932)
Mimi ni mdau, nipo Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, naomba kuwasilisha kero kuhusu malipo ya posho za kujikimu katika Idara ya Elimu. Walimu wameripot kazini lakini hela za kujikimu inakuwa...
0 Reactions
3 Replies
147 Views
Anonymous (d932)
Sisi ni ajira mpya Wilaya ya Mafia, Mkoa wa Pwani, kada ya afya ni miezi mitatu sasa hatujalipwa pesa zetu za kujikimu na tumefuatilia kwa viongozi wa wilaya lakini majibu hayaridhishi kabisa...
0 Reactions
1 Replies
120 Views
Poleni sana. Mmemaliza interview Tupeane maswali yalikuwaje. Kwa anayekumbuka, weka swali unalolikumbuka.
0 Reactions
1 Replies
120 Views
Anonymous (c723)
Ndugu Watanzania, nimepokea malalamiko ya Waalimu kwamba Mkurugenzi wa Mbinga DC anawanyanyasa sana Walimu wa Mbinga DC. Kwa mfano, Mkurugenzi huyo huwaita walimu wote kufika ofisini kwake bila...
5 Reactions
22 Replies
527 Views
Anonymous
Serikali inahimiza watu kusoma kozi za Sayansi huku kukiwa na nafasi ndogo Sana ya wao kutekeleza walichokisomea. Watu wa Sayansi Asilia pale UDOM wamesahaulika. Mfano, Bsc. Physics wanasumbuka...
0 Reactions
10 Replies
359 Views
Usaili wa ajira (interviews) husababisha hofu na msongo wa mawazo kwa vijana wengi kabla au baada ya kutoka chumba cha usaili. Tatizo hilo hutokana na hofu inayojenga wakati wa kujibu maswali...
46 Reactions
48 Replies
87K Views
Unashauriwa kuvaa rangi ya Blue, Kijivu au zambarau. Kamwe usivae nyekundu kwenye usahili kwa sababu inaashiria kuwa hujali kuhusu maswali kwa sababu yote utayajibu hivyo ni kama umewadharau.
1 Reactions
3 Replies
166 Views
Habari wanajukwaa Kuna mtu aliomba kazi kupitia ajira portal muda wa kuita interview hajawa shortlisted na sababu ni hajaambatanisha registration certificate ambapo yeye ali attach Afanyeje ili...
1 Reactions
9 Replies
367 Views
MITANDAO YA KIJAMII JINSI INAVYOLIPA!!! FURSA YA KIPEKEE YA KUKUZA KIPATO CHAKO! Je, unatafuta njia ya kuongeza kipato chako kupitia mitandao ya kijamii ukiwa nyumbani au popote ulipo? Karibu...
0 Reactions
0 Replies
127 Views
Habarini nilikua naombeni kazi yoyote ya kariakoo kama ya kuuza duka, kupeleka mizigo ,kutumwa hapa na pale ili nipate chochote kama utawezq kuniunganisha pia nitashukuru sana
9 Reactions
18 Replies
344 Views
‎Habari Member wa Jf ‎Mimi ni Kijana kutokea Mbeya (29) nina Shahada ya Uchakataji na Uchenjuaji Madini ‎(Metallurgy and Mineral Procesing Engineering) ‎ ‎Ambapo naweza kufanya kazi kwenye: ‎-...
2 Reactions
13 Replies
268 Views
Back
Top Bottom