Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Habari za Jumapili.? Kama heading inavyojieleza hapo, Ninao uzoefu wa kusimamia na kuendesha Airbnb na Hotel (3*) na kwa uzoefu huo ninaweza kusimamia na kuendesha Lodge na Camp Lodges pia...
3 Reactions
4 Replies
165 Views
Kwa Msaada wa ajira portal na mifumo mingine.* Kama umesahau password, umesahau email,nk natoa msaada binafsi tuwasiliane kwa 0792715343
0 Reactions
0 Replies
100 Views
naitaji watu 10 ambaye yupo tayari kufanya kazi KIBAHA na DSM kwa nafasi ya mtafsiri wa kichina na 10 mpishi wa kichina anaeweza kupika vyakula vya kichina (certified) -uzoefu wa miaka 2 au zaid...
0 Reactions
6 Replies
183 Views
Learn with us, You can't get those skills from master degree or PHD. No one wait for you. Geospatial Tanzania tunaamini Ujuzi ni chanzo cha kujiamini. Kama una ndoto ya kufanyakazi katika...
3 Reactions
1 Replies
115 Views
Natafuta wanyakazi kiwanda kipo Kibaha Misugusugu, mshahara Tsh. 200,000 kwa mwezi, bonus zipo, overtime zipo kama unarafiki au ndugu naomba umpe tangazo hili. Mawasiliano: 0657392242
11 Reactions
163 Replies
2K Views
Anonymous
Kuna kampuni inaitwa Epvate & Fortune International Consulting Ltd wajiriwa wake katika mgodi wa Barrick Bullyaghulu kupitia Kampuni ya Contractor BLY hawachangii michango ya Wafanyakazi ya NSSF...
1 Reactions
0 Replies
73 Views
Anonymous
Mimi ni Mtumishi katika halmashauri ya Kibondo. Khero yangu kubwa ni Makato yanayokatwa na Chama cha wafanyakazi TALGWU, ambayo kwa kila mwezi ninakatwa 17,660/= Ila ni miaka zaidi ya 2 imepita...
1 Reactions
4 Replies
164 Views
Job Advertisement A Secondary School located in Dar es Salaam is URGENTLY looking for qualified teachers in the following areas: 1. Chemistry and Biology 2. ICS/Physics/Mathematics 3...
0 Reactions
0 Replies
112 Views
Kuna gepu la kutoelewana kati ya watanzania waliopata elimu ya juu na mahitaji yanaayohitajika kutatua changamoto za makampuni/Soko huria. Nimefatilia mahojihano mbali mbali ya watu wakilahumu...
3 Reactions
9 Replies
266 Views
Kwa wale tunaofanya kazi chini ya TAMISEMI kwakweli hii wizara inachosha yaani mtu unahama miaka miwili ila mshahara bado upo huko ulikotoka,unaanza kumbembeleza mkuu wa huko ulikotoka apitishe...
4 Reactions
11 Replies
264 Views
Ninaomba kujulishwa iwapo kuna mtu ana taarifa ya mchakato wa kuomba mafao ya kuacha kazi unachukua muda gani huko NSSF hadi kulipwa mafao hayo
2 Reactions
73 Replies
46K Views
Habari za muda naomba utusaidie kupasa sauti kwa kweli Halmashauri yetu ya Chato hawajatutendea haki sisi walimu wa sekondari tulioajiriwa Mwaka 2025. Walitupa fedha za kujikimu shilingi laki...
1 Reactions
9 Replies
364 Views
Habari wakuu, kuna mdogo wangu mmoja ametoka kuitwa kwenye oral interview ya nafasi fulani kupitia ajira portal, ananimbia amesikia "ukiitwa ajira portal kwenye oral interview" lile swali la tell...
5 Reactions
42 Replies
870 Views
Wazee kwa unyenyekevu mkubwa naomba connection ya kazi Nina familia hapa nawaza mpaka bas naomba atakama sio kazi ambayo nimesomea naomba kazi yoyote halali ambayo itanitoa kwenye mapito haya...
8 Reactions
67 Replies
3K Views
Sisi tuliokuwa wafanyakazi wa muda mrefu katika Hospitali ya JKCI-Dar Group (zamani ikijulikana kama Dar Group) tumejikuta katika hali ya sintofahamu kufuatia uamuzi wa mwajiri wetu kusitisha...
3 Reactions
0 Replies
310 Views
Mhali Gani wakuu husika na kichwa cha habari pale juu Mimi ni kijana wa kiume natafuta mtu au watu naoweza kuingia nao mkataba wa kumtunzia Nyumba akiwa kasafiri yupo mkoani au nje za nchi usihofu...
2 Reactions
2 Replies
128 Views
Anonymous
Kumekuwepo na changamoto kubwa katika Sekta ya Maabara nchini, jambo hili tulipaza sauti mwaka 2024 lakini bado slinahitaji hatua za haraka kutoka kwa mamlaka husika: Kumekuwepo na changamoto...
2 Reactions
4 Replies
229 Views
Anonymous (fdc6)
Kwenye utaratibu wa usahili wa mchujo wa ajira kutoka sekretarieti ya ajira kuna shida mahali. Watu tumeenda kufanya usahili wa mwalimu daraja la III C Historia. Halafu unakutana na maswali 50...
12 Reactions
34 Replies
1K Views
Anonymous (b5ce)
Mimi ni mwajiriwa Mpya Manispaa ya TEMEKE, Dar es Salaam, March 6, 2026 tuliwekewa fedha kwenye account zetu waajiriwa wapya Idara ya Msingi, jumla ya Walimu 77 tuliwekewa fedha kwa wastani kila...
9 Reactions
80 Replies
2K Views
Hapa kwetu Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya (Mbeya DC), Mkurugenzi Mtendaji wetu, Erica Yegella ana changamoto kadhaa kuhusu matumizi ya ofisi yake: 1. Hakufanya kikao na Baraza la Wafanyakazi...
4 Reactions
8 Replies
309 Views
Back
Top Bottom