Labla tuu umeshindwa kujiongeza khs Hiyo kazi, ukiona kazi ya namna hiyo ujue wanahitajika vibarua na kibarua hachagui Kazi, yeye anafika eneo la tukio na kuanza na alichokikutaTangazo limekaa kijanja sana...
Maelezo hayajitoshelezi...
Kiwanda cha nini ?
Muda wa kazi ?
Mnatoa mikataba ?
Vigezo ? Cv ? Elimu ? Umri ? Jinsia ?
Ama ni wale ambao mnatoa matangazo then, wakija watu mnawabebesha mabeseni wakauze, alafu kulipwa ni commission?
Bongo nyoso
ndio mana nakwambia kichwani hakuna kitu mshahara tu unajieleza kila kituLabla tuu umeshindwa kujiongeza khs Hiyo kazi, ukiona kazi ya namna hiyo ujue wanahitajika vibarua na kibarua hachagui Kazi, yeye anafika eneo la tukio na kuanza na alichokikuta
Mbona unakuwa mkali bosi?Ukituajiri hautatupiga mikwaju kweli?sisi sio hao mzee -ulizia Prance international co ltd acha kuongea kama kichwani hamna kitu unaevidence ??kwa unachokiongea
Yap mm nmekuelewa sana hvy hakuna haja ya maswali mengi khs kujua kazi, n kibarua mwnyw aje Apambane na atakachokikuta Huko hukondio mana nakwambia kichwani hakuna kitu mshahara tu unajieleza kila kitu
Tangazo limekaa kindezi, ilibidi aseme ni kazi ngumu wanahitajika watu(vijana) wasio na matatizo ya afyaLabla tuu umeshindwa kujiongeza khs Hiyo kazi, ukiona kazi ya namna hiyo ujue wanahitajika vibarua na kibarua hachagui Kazi, yeye anafika eneo la tukio na kuanza na alichokikuta
Mkuu, tangazo lipo vzr na linaeleweka sana tuu, n nyie mmeshindwa kujiongeza.Tangazo limekaa kindezi, ilibidi aseme ni kazi ngumu wanahitajika watu(vijana) wasio na matatizo ya afya
Vema dada kiss-me.unapigwa tu watu wenye akili kama zako
Kwa hiyo tunamchelewesha huyo dada mleta tangazo kupewa kamisheni yake?Mkuu, tangazo lipo vzr na linaeleweka sana tuu, n nyie mmeshindwa kujiongeza.
Ww unaona huo mshahara, unadhani itakuwa n kazi ya ofisini, unaingia na tshirt nyeupe unatoka ikiwa nyeupe vile vile?
Umeambiwa uwe na nida tuu, sasa kama wangetaka elimu yako c wangesema uje na vyeti, hakuna mambo ya elimu mana inahitajika nguvu na sio akili za darasani.
Wakuu, mbona tangazo limekaa kueleweka fresh tuu
Kuna mtu ana nguvu kama zote lakini labda ana allergy hawezi kufanya kazi kiwanda cha vumbi jingi kama cha cement, vigae n.kMkuu, tangazo lipo vzr na linaeleweka sana tuu, n nyie mmeshindwa kujiongeza.
Ww unaona huo mshahara, unadhani itakuwa n kazi ya ofisini, unaingia na tshirt nyeupe unatoka ikiwa nyeupe vile vile?
Umeambiwa uwe na nida tuu, sasa kama wangetaka elimu yako c wangesema uje na vyeti, hakuna mambo ya elimu mana inahitajika nguvu na sio akili za darasani.
Wakuu, mbona tangazo limekaa kueleweka fresh tuu