Mimi ni mmoja wa wafanyakazi katika taasisis moja wapo inaratibiwa na HJFMRI hawa wamechelewesha mshahara ,
Mshahara wetu WA mwezi wa nne mpaka Leo hatujapata na tukijaribu kuuliza halmashauri...
Habari wakuu,
Jina langu ni Jofrey, nina uzoefu katika masuala ya ukopeshaji na huduma kwa wateja.
Natafuta nafasi ya Credit Officer au Loan Officer hapa Tabora.
Niko tayari kuanza kazi mara...
JE ILIKUWA NI AHADI HEWA YA KUPITISHWA NA KUANZA UTEKELEZAJI WA MUUNDO WA UTUMISHI KWA SEKTA YA AFYA (KADA YA UUGUZI NA UKUNGA) KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 ILIYOTOLEWA NA OFISI YA RAIS –...
Sekretarieti ya Ajira wao huwa wapo strict sana kukusema inapitokea umeitwa katika usaili kisha ukachelewa hata kama ni dakika chache, wanakuona haupo serious kwenye kutafuta kwako, hivyo na wao...
Yaan kuna Taasisi umeipenda sana na mzuka wa kufanya kazi upo huko, unaomba uhamisho halafu unakutana na hii kitu. Nini mwarobaini wa hii kitu...?
Hapa nilikuwa naomba Vacancy Transfer kuhama...
Job Opportunity at Easy Travel and Tours Ltd
Easy Travel and Tours Ltd, a leading safari operator in Tanzania, is seeking an experienced Italian-speaking driver guide to join our team. This role...
We are seeking creative, driven and energetic Marketing Officers to become part of our growing marketing team for our Cleaning and Fumigation Company by acquiring new residential/commercial...
HALA Consultants is offering Internship Opportunities for ambitious graduates and final year students who want real exposure in:
·Audit & Assurance
· Tax Compliance & Advisory
· Business Advisory...
JOB OPPORTUNITIES AT TAIFOCUS CO. LTD
TAIFOCUS Co. LTD is rapidly expanding. As we transition our operations to a higher stage of industrial and agricultural machinery production.
We are...
Position: Credit Officer Intern
Are you passionate about finance and ready to kickstart your career? Tatamwise Microfinance is offering internship opportunities at our Pugu branch for energetic...
Nahitaji wahasibu 5 wanaokaa Dar Es Salaam
Nahitaji 4 na wewe na uzoefu wa miaka 3
Mshahara ni 3 ni 700k kabla ya makato
Mmoja awe na uzoefu wa miaka pamoja CPA.
Mshahara ni 1.5m kabla...
Habari wakuu,
Naomba msaada wa connection ya kazi yoyote halali, hasa kwenye viwanda, maghala, site za miradi au sehemu yoyote yenye uhitaji wa wafanyakazi. Nina Degree ya Finance lakini imekuwa...
Habari wanaJF,
Naomba kuuliza kama kuna mtu yeyote hapa aliyewahi kufanya written interview ya nafasi ya Laboratory Technician II kwenye ajira za serikalini, hasa kupitia Public Service...
Kero yetu ni kutolipwa fedha ya kujikimu, sisi ni Walimu Ajira Mpya mwaka 2025 katika Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea, tukifuatilia tunapewa majibu ya kukatisha tamaa, na vitisho pia...
Kuna kampuni inaitwa Epvate & Fortune International Consulting Ltd wajiriwa wake katika mgodi wa Barrick Bullyaghulu kupitia Kampuni ya Contractor BLY hawachangii michango ya Wafanyakazi ya NSSF...
Kuna ndugu yangu anafanya kazi Kampuni ya HAINAN INTERNATIONAL LTD kwenye mradi wa ujenzi wa Bohari ya Dawa (MSD) mkoani Geita, Wilaya ya Chato pembezoni mwa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato...
Mi ni mtumishi katika Wilaya ya Misungwi Mwanza, Idara ya Afya. Novemba 2024 tuliajiriwa watumishi 22 hapo, mpaka sasa tuna mwaka na miezi sita hawajatuthibitisha kazini wote 22.
Tukiwauliza...
Mwaka 2025 Ajira Mpya kwenye Kada ya Uhandisi Kilimo (Agro Engineers) tuliajiriwa Wahandisi 12 kwenye Halmashauri moja, cha kushangaza hata tulipofika kila mtu wetu alishangaa haiwezekani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.