Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Habari wakuu, Naomba msaada wa connection ya kazi yoyote halali, hasa kwenye viwanda, maghala, site za miradi au sehemu yoyote yenye uhitaji wa wafanyakazi. Nina Degree ya Finance lakini imekuwa...
2 Reactions
7 Replies
400 Views
Habari wanaJF, Naomba kuuliza kama kuna mtu yeyote hapa aliyewahi kufanya written interview ya nafasi ya Laboratory Technician II kwenye ajira za serikalini, hasa kupitia Public Service...
0 Reactions
0 Replies
112 Views
Anonymous
Kero yetu ni kutolipwa fedha ya kujikimu, sisi ni Walimu Ajira Mpya mwaka 2025 katika Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea, tukifuatilia tunapewa majibu ya kukatisha tamaa, na vitisho pia...
0 Reactions
1 Replies
114 Views
Anonymous
Kuna kampuni inaitwa Epvate & Fortune International Consulting Ltd wajiriwa wake katika mgodi wa Barrick Bullyaghulu kupitia Kampuni ya Contractor BLY hawachangii michango ya Wafanyakazi ya NSSF...
1 Reactions
3 Replies
109 Views
Anonymous
Kuna ndugu yangu anafanya kazi Kampuni ya HAINAN INTERNATIONAL LTD kwenye mradi wa ujenzi wa Bohari ya Dawa (MSD) mkoani Geita, Wilaya ya Chato pembezoni mwa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato...
0 Reactions
0 Replies
111 Views
Anonymous
Mi ni mtumishi katika Wilaya ya Misungwi Mwanza, Idara ya Afya. Novemba 2024 tuliajiriwa watumishi 22 hapo, mpaka sasa tuna mwaka na miezi sita hawajatuthibitisha kazini wote 22. Tukiwauliza...
0 Reactions
1 Replies
106 Views
Mwaka 2025 Ajira Mpya kwenye Kada ya Uhandisi Kilimo (Agro Engineers) tuliajiriwa Wahandisi 12 kwenye Halmashauri moja, cha kushangaza hata tulipofika kila mtu wetu alishangaa haiwezekani...
3 Reactions
3 Replies
288 Views
Habari za Jumapili.? Kama heading inavyojieleza hapo, Ninao uzoefu wa kusimamia na kuendesha Airbnb na Hotel (3*) na kwa uzoefu huo ninaweza kusimamia na kuendesha Lodge na Camp Lodges pia...
3 Reactions
4 Replies
165 Views
Kwa Msaada wa ajira portal na mifumo mingine.* Kama umesahau password, umesahau email,nk natoa msaada binafsi tuwasiliane kwa 0792715343
0 Reactions
0 Replies
99 Views
naitaji watu 10 ambaye yupo tayari kufanya kazi KIBAHA na DSM kwa nafasi ya mtafsiri wa kichina na 10 mpishi wa kichina anaeweza kupika vyakula vya kichina (certified) -uzoefu wa miaka 2 au zaid...
0 Reactions
6 Replies
181 Views
Learn with us, You can't get those skills from master degree or PHD. No one wait for you. Geospatial Tanzania tunaamini Ujuzi ni chanzo cha kujiamini. Kama una ndoto ya kufanyakazi katika...
3 Reactions
1 Replies
114 Views
Natafuta wanyakazi kiwanda kipo Kibaha Misugusugu, mshahara Tsh. 200,000 kwa mwezi, bonus zipo, overtime zipo kama unarafiki au ndugu naomba umpe tangazo hili. Mawasiliano: 0657392242
11 Reactions
164 Replies
2K Views
Anonymous
Kuna kampuni inaitwa Epvate & Fortune International Consulting Ltd wajiriwa wake katika mgodi wa Barrick Bullyaghulu kupitia Kampuni ya Contractor BLY hawachangii michango ya Wafanyakazi ya NSSF...
1 Reactions
0 Replies
73 Views
Anonymous
Mimi ni Mtumishi katika halmashauri ya Kibondo. Khero yangu kubwa ni Makato yanayokatwa na Chama cha wafanyakazi TALGWU, ambayo kwa kila mwezi ninakatwa 17,660/= Ila ni miaka zaidi ya 2 imepita...
1 Reactions
4 Replies
164 Views
Job Advertisement A Secondary School located in Dar es Salaam is URGENTLY looking for qualified teachers in the following areas: 1. Chemistry and Biology 2. ICS/Physics/Mathematics 3...
0 Reactions
0 Replies
111 Views
Kuna gepu la kutoelewana kati ya watanzania waliopata elimu ya juu na mahitaji yanaayohitajika kutatua changamoto za makampuni/Soko huria. Nimefatilia mahojihano mbali mbali ya watu wakilahumu...
3 Reactions
9 Replies
266 Views
Kwa wale tunaofanya kazi chini ya TAMISEMI kwakweli hii wizara inachosha yaani mtu unahama miaka miwili ila mshahara bado upo huko ulikotoka,unaanza kumbembeleza mkuu wa huko ulikotoka apitishe...
4 Reactions
11 Replies
264 Views
Ninaomba kujulishwa iwapo kuna mtu ana taarifa ya mchakato wa kuomba mafao ya kuacha kazi unachukua muda gani huko NSSF hadi kulipwa mafao hayo
2 Reactions
73 Replies
46K Views
Habari za muda naomba utusaidie kupasa sauti kwa kweli Halmashauri yetu ya Chato hawajatutendea haki sisi walimu wa sekondari tulioajiriwa Mwaka 2025. Walitupa fedha za kujikimu shilingi laki...
1 Reactions
9 Replies
364 Views
Habari wakuu, kuna mdogo wangu mmoja ametoka kuitwa kwenye oral interview ya nafasi fulani kupitia ajira portal, ananimbia amesikia "ukiitwa ajira portal kwenye oral interview" lile swali la tell...
5 Reactions
42 Replies
866 Views
Back
Top Bottom