Teofilo Kisanji University is looking for best candidates to fill 3 vacant post which are:
1. Vice Chancellor of the University
2. Deputy Vice Chancellor Academic affairs of the University
3...
Natafuta kazi ndugu zangu wanajf nipo dar elimu yangu kidato cha nne naomba msaada wa kuweza kunisaidia kama supermarket.duka.nappia nina uzoefu wa kazi za research 0682051729
Kwa ajili ya kusimamia duka kubwa la dawa; pia anatakiwa fundi dawa (pharm tech) na disdensing staff wengine. Wenye sifa tafadhali wanipm na wawe tayari kufanya kazi Dar au Bagamoyo
Tunazaliana usiku na mchana ila nashangaa eti walimu hawana kazi, Nchi inachekesha sana
Mzungu ana watoto wawili ila walimu hawatoshi pamoja na jitihada za serikali, ila sisi
Tangazo la kazi...
Niko Mwanza, ni mwandishi chipukizi wa vitabu vya ushairi, hadithi na articles mbalimbali, pia birthday cards,thank you cards,family cards,inspirational cards n.k.
Nahitaji web designer mmoja...
MANAGING DIRECTOR (MD)
GENERAL MANAGER. (GM)
DIRECTOR GENERAL (DG)
Mwenye kufahamu tofauti ya nafasi moja na nyingine anijuze na majukumu ya kila nafasi hizo Asanteni
Kaka yangu anatafuta kazi ya udereva
Ni dereva wa magari makubwa yuko Dar, iwe kwenye kampuni au watu binafsi
Ana uzoefu wa kutosha na kafanya kazi na makampuni kama SOGEA SATOM, TOTAL N.K
Heshima kwenu wote.
Kijana wa kiume,umri miaka 25,elimu kidato cha nne na ujuzi wa ufundi umeme wa nyumbani.
Anatafuta kazi yeyote halali iwe kwenye duka,soko,bustani,mgahawani nk
Ni kijana...
JOB OPPORTUNITIES
Bonyeza kila moja hapo chini kusoma zaidi na kuapply:
1. Human Resources Officer NOB- (1 Post)
2. Innovation Scalling Venture Project Manager- (1 Post)
WFP offers a competitive...
JOB OPPORTUNITIES
Bonyeza kila moja hapo chini Kusoma zaidi na kuapply:
1. Social Media Intern - (1 Post)
2. Graphics And Animation Intern- (1 Post)
3. YouTube Manager- (1 Post)
4. Videographer...
Mwaka 2012 nilihitimu diploma yangu ya ugavi na manunuzi (procurement ) kutoka Tanzania Institute of aAccountancy kama haitoshi nikajitolea kwa miaka 2.5 ili kupata uzoefu wenye kunijenga kwenye...
Wapendwa habari, mimi ni mwanamke ninaejitambua na nipo mbele yenu kuwaomba wale wote wenye uwezo wa kunisaidia nipate ajira ya kudumu serikalini.
Natamani kufanya kazi kama Mwana Maendeleo ya...
Juzi tuu JKT walitangaza nafasi za kujiunga na JKT kwa mwaka 2016/2017 kwa kujitolea na kutaja sifa za mtu ambae anaweza kujiunga na jeshi ilo kwa fununu nilizonazo bara kuna baadhi ya wilaya...
Habari zenu wakuu,
Kuna sehemu nili apply nafasi ya kazi, nimetumiwa email na wamesema niwatumie hiyo psychometric CPC score,
Ni nini hiyo kitu wakuu?
Ni kipimo cha hospital au?
Shukran
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.