JE, TANZANIA KUNA HUDUMA YA “COMPANION FOR HIRE”? 🇹🇿
Nimekutana na huduma moja inayopatikana Japan ambayo imenifanya nijiulize kama kitu kama hiki kipo Tanzania.
Japan kuna huduma zinazojulikana...
Katika jamii zetu, moja ya mambo yanayoumiza sana kihisia na kuleta migogoro mikubwa kwenye familia ni pale mzazi anapogundua (au anapodai kugundua) kuwa mtoto aliyemlea na kumgharamia kwa miaka...
Nimekaa chini nimewazaaaaaa nimeona ifike mahali sasa nitulie nitakuja kukutana na mavampire ninyonywe damu nife,
Nilikutana na huyu mtu kitambo ila tulikua tuna flirt haikua ile serious,
Jana...
Happy Sunday JF Members.
Wanawake tunawaheshimu na kuwapenda sana, ila kuna jambo moja mnapaswa kulielewa kwa nia njema kabisa.
Muda wa kazi, simu na SMS za mara kwa mara za kusalimiana tuu...
Ilaa
Nimekaa nikakumbuka zamani kidogo,. Kipindi ambacho hata ule kitu gani ( haijalishi ni wanga au protini ) Kilo zangu hazijawahi kuvuka 50,. Yaani zinacheza kwenye 48kg zikizidi sana 52kg🤗🤗...
Mwanaume ukisha make it, usikubali kusettle na mwanamke ambaye hana kipato chake, hana direction, na hana abundant mindset. Sio kwamba kila mwanamke lazima awe tajiri au awe na pesa nyingi kuliko...
1.Wapare hawa ni watu hawataki upende familia yako au uwe karibu nayo wanataka wewe uwe naye na familia yake tu .
Wapo tayari wateke akili yako ili usiwe na akili ya kusaidia familia yako. Ni yao...
Mambo wanajamvi?
Imekuwa ikisikika kwamba zinaa inanafasi kubwa ya kupelekea balaa kwa wahusika.Yaani ati unaposhirikiana na mtu kimahusiano inapelekea maroho yaliyo upande wa pili kukuingia...
Wana MMU,
Kwa huku, sasa napenda mniite Babu P. maana nimo humu huu ni mwaka wa 20 ila jukwaa langu rasmi ni Jukwaa la Siasa, ila kadri unavyokuwa babu babu, busasara zinaongezeka, sipendi kuona...
Upwiru kwisha saiv yan buku 5 tuh unapanda darini bila kizuizi.nimetokea tabata saiv nimeshetana na ten tuh.saiv upwiru sina asante sana teknolojia masela sai tunafaid
Taasisi ya ndoa na mahusiano kwa ujumla ni taasis yenye changamoto nyingi san . wewe Ikiwa uko kwenye ndoa na mambo yanaenda vizuri , basi hiyo ni baraka kubwa sana na umshukuru sana baba...
Ni muhimu sana kwa watu waliopo ktk ndoa kuwa na Family friend au waliopo kwenye mahusiano serious kuwa na marafiki wa karibu .
Mwanamke uliyepo ktk mahusiano jitahidi umtambulishe rafiki wako...
Utafiti wangu ambao umehusisha kutembeza mkuyenge kwa wadada 56 wembamba warefu weusi na maji yakunde umebaini kuwa wadada wembamba ndiyo watamu zaidi kushinda wote. Weusi utamu na joto liko juu...
Imeniuma sana.
Huyu bi dada kila siku kunipiga vizinga, kuomba omba unajitia ana njaa Kali Sana, hata Kodi namlipia Mimi, kila siku hata nauli ya kwenda Chuo ananiomba, najibana kadiri niwezavyo...
Kwa sasa inaonekana Harusi zinazofungwa makanisani siku Moja kabla ya Ndoa, Kunakuwa na matukio ya ngono za kuagana zinazofanywa na Bibi Harusi na Ma-Ex wao. Hii Ina maana Harusi zinazofungwa leo...