Mimi ni kijana wa kitanzania na umri wangu ni miaka 33, na dini yangu ni Mkristo, Pia ningependa kuelezea mkasa huu ulionikuta ili kila mwenye kujifunza ajifunze kwani Jamii forums kuna wazee na...
Je, ni kweli kwamba kila mwanaume anatamani mwanamke mwenye uzuri wa kuvutia tu, au kuna sifa nyingine zinazomfanya mwanaume amtamani mwanamke kwa ajili ya maisha ya muda mrefu?
Je, mwanaume...
Mahusiano ya siku hizi yamekuwa kama vita vya mashambulizi ya kushtukiza. Hofu kubwa kwa watu wengi haipo tena kwenye kuchepuka, bali ipo kwenye kujulikana kwamba unachepuka.
Mtu anaweza kuwa na...
Mwanamke mmoja amegusa nyoyo za watu baada ya kuonyesha uvumilivu na mapenzi ya dhati kwa kumsubiri mpenzi wake kwa muda wa miaka miwili hadi walipokutana tena nchini Macedonia.
Wawili hao...
Chozi ama machozi ni ishara ya kuumia na maumivu yaliyoshindwa kuhimili hisia za kawaida za kibinadamu... Wanawake ni mabingwa kwenye hili. Wanaume huchukuliwa Kama shupavu wasiotoa machozi yao...
Mke wa Cristiano Ronaldo, Georgina Rodríguez amesema ndoa yake na Mumewe ilifungwa katika sebule ya nyumba yao Cascais, Ureno huku ikihudhuriwa na Watu saba tu.
Kauli ya Georgina inakuja ikiwa ni...
Juzi nimekaa na rafiki yangu fulani, tunaongea tu mambo ya maisha.
Katika maongezi shwaa tukamuongelea mkewe. Nikaona nipitishe swali "kwani mkeo unampendea nini?"
Akajibu in like 3 seconds, kwa...
Kuna muda ata nashindwa Kuelewa wallah…..
Mimi ni Mjasiliamali niko na wazazi wote 2 na nakaa kwetu by the way
Mama angu ni mtu ambae amekua akinikwamisha jamaaan 😮💨 mzee alipanga kunipa pesa...
Utamaduni wa kiafrika lazima mwanaume amtolee mwanamke mahari awe na mtoto au asiwe na mtoto.
Ukiamua kuoa kwenye boma la watu wenye miiko yao ni lazima utoe mahari mf. Sisi wa Masai .
Ukiwa...
Habarini wana jamvi?
Vijana wa 2000 watundu sana, yani kila kukicha wanabuni style mpya za kunyanduana. Mara doggy style, mara frog, ila kifo cha mende ndo kila kitu.
Yani burudani kabisa.
Yani...
Wanawake wa kwenye ndoa huenda wanaongoza kwa kuchepuka
Yaani kama wewe ni una mchepuko wa kiume jitahidi sana kutumia condoms.
Wanaume wanawake zenu wanachepuka. Kuweni makini na kwenye hayo...
Huo ndio ukweli, wadada wenye Big Nyash wengi wao wana mapenzi ya kweli na hawana tamaa ndogo ndogo kikubwa tu awe amekula ameshiba simu ina bando basi karidhika.
Hawa flat mnaowasifia ni kweli...
1. Kupata usingizi wa kutosha
2. Kukaa na stress muda mrefu
3. Kukaa mbali na mwenza kwa kuda mrefu.
4. Kubadili mazingira ya kufanya tendo
5. Kuangalia movie za mapenzi
6. Kula chakula...