Ukweli ndio huo wanawake wakati wa kusex huwa tunapenda kuwakumbatia wanaume na mikono yetu huwa inaenjoy zaidi tukiyapapasa makalio yenu wakaka.
Sasa kuna wanaume kwenu makalio ni mtihani jamani...
Mahakama ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu Novina Yoel Kuboja (23), ambaye ni mkulima na mkazi wa Buchosa wilayani humo, kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela baada ya kutiwa...
Mwanamke mmoja wa Uganda aitwaye Fortunate Kyarikunda, amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela baada ya kushindwa kumlipa Mwanaume aliyekataa kuolewa nae, fidia ya zaidi ya shilingi milioni 14 za...
Hamjambo
Binafsi nina ombi nalileta kwenu,natafuta mwanamke mwembamba haijalishi umri,rangi,tabia au kabila.Kwa upande wangu nipo sawa umri wangu nipo stage ya tatu.
Kama yupo humu ndani au kuna...
Hii inanikuta, yani ukishafika kwako ni kama unapigwa na kitu hivi akili inazinduka,
Unaona hapa mbona naenda kuongeza bajeti zisizo na msingi tena, mood inakata mazima
Inakuwa ukikutana nae...
Wakuu,
Msemo wa akufukuzaye hakuambii toka, wahenga hawakupindisha kabisha inatakiwa ujiongeze
Ukali kwa jambo dogo
Anajibu lakini haanzi mazungumzo
Anasema yuko busiy mara nyingi kuliko kusema...
1. Ufugaji wa kucha ndefu. 2.
Upakaji wa rangi kucha, nazungumzia mguuni na mikononi
3. Upakaji wa wanja,shedo,hina na makanjanja mengine
4. Usukaji wa nywele kwa rasta za kununua. Na log...
Inaweza ikakushangaza lakini huu ndio ukweli wenyewe.
Katika jamii zetu za kiafrika wanawake walio wengi wanakuwa hawapo tayari kushiriki tendo pasipo ahadi ya kupewa pesa au zawadi fulani...
Bikra ni alama ya uaminifu na baraka kwa kizazi chako
Habarini Wakuu,
Naweza kuwa tofauti na wengi, naweza nisiungwe mkono na wengi hasa wale waliooa na walioolewa, lakini ninachojaribu kueleza...
Experience yako ni ipi?
Maana uswazi haiwaishiwi misemo
Shemeji kula...
Hainaga ushemeji..
Shemeji kinyama cha hamu..
Shemeji ni Dada akiwepo...
Cha dada ni changu pia...
Shemeji wa kiume je!?🤨
Naam, hawa viumbe acha tu, Waliosema ishini nao kwa akili hawakukurupuka, haikumaanisha kuwa hawana akili bali upeo wao ni mkubwa sana na usipokuwaa na akili za kudeal nao, rafiki yangu umeisha...
Aurelien Tchouameni kiungo wa Hala Madrid amemfumania mpenzi wake Suzette Carter akiwasiliana na mwanaume mwengine kukiwa kuna kila dalili ya kuwa wana mahusiano ya kipenzi licha kumpatia zaidi ya...