Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

***VEROSSA*** Inside a Verossa you'd think it’s some sleek automobile There she lost her virginity, her dignity and her guile, Inside a Verossa, she hopped in a lift home There she was...
55 Reactions
2K Replies
105K Views
Ndoa kweli zimeisha, zimeisha ndoa zilikuwa zile za mababu na baba zetu ndoa Sasa hakuna. Imagine mke wa mtu anasema ananipenda Sana na anasema hawezi kuniacha anasema anataka muda wa kutosha na...
29 Reactions
136 Replies
2K Views
Nimeipenda sana kauli yake. Wakati anatangaza kujiuzulu Uwaziri Mkuu, amesema anaenda kufanya kazi muhimu zaidi: "Kuwa mume bora kwa mke wangu mzuri... na kuwa baba bora zaidi kwa watoto wangu...
6 Reactions
33 Replies
543 Views
Nianze na mimi huwa namuita My Racing white darling❤️ yeye huniita Daddy.........................................Je, wewe unamuita kwa jina gani la utani ili kukoleza upendo?
5 Reactions
51 Replies
648 Views
1. Nikiwa sekondari wakati tunaanza form 2 nilijikuta accidental Nanyoosha mkono kugombea uongozi wa darasa, Nilipata Kura Moja (1) yani kura moja yakujipigia mwenyewe darasa lina zaidi ya...
2 Reactions
13 Replies
313 Views
Shikamoon wakubwa wadogo zangu hamjambo. Suala la Sisi wanawake kumzalia mtu si la bahati mbaya, yaani ukiona tu nimebeba ujauzito ujue kabisa muhusika nimempenda, kubwa zaidi huwa ni Sura na...
10 Reactions
62 Replies
783 Views
Mtu anatakiwa aolewe akiwa na umri gani?
9 Reactions
34 Replies
475 Views
Et dem mbaya wewe unaelewa nin? Mi naelewa hakuna m baya kwa wote
2 Reactions
8 Replies
125 Views
PESA NI NZITO KULIKO UPENDO Hakuna Mwanamke Anayevutiwa na Mwanaume Anayetembea kwa Miguu, "Upendo wa Dhati ni Hadithi ya Kufikirika. Wakuu, humu JamiiForums kuna watu wanajifariji kwa utopolo...
10 Reactions
48 Replies
703 Views
Habari wakubwa wangu, Leo nimekaa hapa na moyo umenichoma kama kisu. Siwezi hata kulala. Nipo njia panda, maisha yamenifanya nistuke na kuogopa kila kitu. Rafiki yangu wa karibu sana, Juma...
2 Reactions
41 Replies
1K Views
Ebwana eeehh kama kawaida wana jf.Vayulence🔥🔥🔥🔥kwa WAZEE WA NDOA LIALIA,PEACE IS NEVER AN OPTION!!! Katika pitapita zangu kwenye kusomasoma nimekutana na huyu kiumbe wa kuitwa comrade Arthur...
0 Reactions
6 Replies
152 Views
Wakuu ningependa kujua kuhusian na hili, ili muweze kunisaidia wakuu
7 Reactions
76 Replies
1K Views
Wakuu Bado naendelea na maombolezi ya kuachwa na Mwanamke wa ndoto yangu Khadija kimodoo, maymivu ni makali sana nayopitia kuhusu huyu mwanamke siamini ,mpaka saivi hata kazini Leo Mchina amenipa...
0 Reactions
3 Replies
117 Views
Kipindi nimemaliza kidato cha 6 nilikuwa nasimamia lodge ya ndugu yangu kipindi nasubiri kwenda chuo, sasa leo natoa siri kwa wanaume, ukienda lodge na demu wako kuanzia leo, hakikisha unaondoka...
64 Reactions
183 Replies
13K Views
Guys IPO hivi naitaji kushare stori yangu na nyie kwasababu ya mengi kujifunza ndani yake that's true story sio joke nashindwa kuelewa niendelee kumchukia mama au niwachukie wote binamu na mama...
5 Reactions
27 Replies
729 Views
Kuna siku nilienda alipopanga demu wangu.Kwa kifupi alinikaribisha vizuri sana hadi tukajikuta sote tukiwa katika nyakati za furaha sana utani mwingi,story Kwa sana na mipango mingi na tulikula...
4 Reactions
10 Replies
245 Views
Miaka 10 iliyopita nilikuwa na uwezo wa kubeba ndoo mbili kubwa za maji kama nimebeba kamzigo. Leo hii ukinipa ndoo moja hatua tano tu nasimama kupumzika kama mzee wa miaka 60.. nilikuwa nakimbia...
11 Reactions
30 Replies
718 Views
Wazee inakuejee mabibi inakueje, Mimi ni muendesha katapila aka Greda aka skaveta, nimekuja mnisaidie Mimi Kuna demu nikikutana naye Dar anaitwa Khadija aka kimodoo, ulikuwa mwaka juzi ametoka...
19 Reactions
87 Replies
1K Views
Muda si mrefu kuna jamaa yangu nilikuwa naye hapa kwenye gori langu, ghafla bin vuu kuna kijidada kikali sana hapa jirani kikawa kinapita pita, jamaa kakiimbisha chap kwa haraka, mara paap...
6 Reactions
32 Replies
572 Views
Habarini Wadau, Napenda kutoa pongezi kwa Wanawake wengi wa kisukuma kwa kuwa na tabia njema kulinganisha na makabila mengi hapa nchini,kwa mfano:- 1) HESHIMA: Hawa mabinti wa kisukuma na hata...
16 Reactions
207 Replies
50K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…