Siwezi kuishi bila yeye nimeshindwa

Siwezi kuishi bila yeye nimeshindwa

Joined
Jun 16, 2026
Posts
23
Reaction score
48
Wakuu Bado naendelea na maombolezi ya kuachwa na Mwanamke wa ndoto yangu Khadija kimodoo, maymivu ni makali sana nayopitia kuhusu huyu mwanamke siamini ,mpaka saivi hata kazini Leo Mchina amenipa likizo siku mbili nipumzike, nimeshindwa kufanya kazi natetemeka,homa Kali sababu ya mapenzi 😭😭😭almanusura Leo nisababishe ajari mbaya na skavetaa yangu niwagonge waheshimiwa,walikuja kukagua mradi,Leo ingekuwa balaa nzito Tanzania,

Sasa mwanangu mmoja hapa site,nimemueleze tatizo langu kanipa bangi iliyochanganywa na sumu ya panya pamoja na konyagi ilichanganywa na dizel na asprin,kasema nikimaliza kuvuta hii bangi nishushie na hy konyagi,nitamsahau naombeni je ni kwelii nikitumia hayo mazaga nitamsahau Khadija wangu yoyote mwenye uzoefu anisaidie
 
Wakuu Bado naendelea na maombolezi ya kuachwa na Mwanamke wa ndoto yangu Khadija kimodoo,maymivu ni makali sana nayopitia kuhusu huyu mwanamke siamini ,mpaka saivi hata kazini Leo Mchina amenipa likizo siku mbili nipumzike, nimeshindwa kufanya kazi natetemeka,homa Kali sababu ya mapenzi 😭😭😭almanusura Leo nisababishe ajari mbaya na skavetaa yangu niwagonge waheshimiwa,walikuja kukagua mradi,Leo ingekuwa balaa nzito Tanzania,sasa mwanangu mmoja hapa site,nimemueleze tatizo langu kanipa bangi iliyochanganywa na sumu ya panya pamoja na konyagi ilichanganywa na dizel na asprin,kasema nikimaliza kuvuta hii bangi nishushie na hy konyagi,nitamsahau naombeni je ni kwelii nikitumia hayo mazaga nitamsahau Khadija wangu yoyote mwenye uzoefu anisaidie
Mkuu, usitumie huo mchanganyiko hata kidogo. Bangi iliyochanganywa na sumu ya panya, dizeli na pombe si dawa ya kusahau mapenzi bali ni hatari kwa afya na maisha. Maumivu ya mapenzi hupungua kwa muda, lakini madhara ya vitu hivyo yanaweza kuwa ya kudumu. Pole sana, jipe muda wa kupona. 🙏🏾💔
 
Ama kweli mwanamke wa ndoto yako ni combo cha starehe kwa gentlemen mwingine
 
Back
Top Bottom