Honey
Sema
Huwa napata furaha sana kila ninapopata muda angalau kidogo wa kukuandikia yaani kukujulia hali yako , kuulizia maendeleo yako , kukusalimia na kujua mambo mengi zaidi kuhusu...
Ilikua jumamosi asubui natoa gari getini, mara naskia mke wa jirai yangu ananiuliza Shemeji utapita pale Petrol satation?
Kwa sababu nilikua narudi njuma nilikua sijamuona ila yeye alikua kasimama...
Spending too much time with your husband,wife or your lover...is it good or bad?
Namaanisha muda wote mko pamoja hampeani hata break! Ukigeuka hivi yupo,ukigeuka vile unamuona labda mnafanya kazi...
Watu husema unaweza kumfanya mwanamke kuwa malkia wa uingereza lakini kama hakupendi atakunyea tu bila kujali,hii yaweza kuwa kweli.Lakini niyoyashuhudia juzi yameniaminisha pia ukiwa na fedha...
WANA-JF,
FUATILIA HIYO LINK HAPO CHINI NA UJIONEE MWENYEWE KILICHOTOKEA KENYA KWA JAMAA ALIYEKUWA AKIVINJARI NA MKE WA MTU.
MKE WA MTU SUMU. FUATA LINK NA JIONEE MWENNYEWE YALIYOWAKUTA LIVE...
Habari wanajamiiforums" nina mpenz wangu ninampenda sana, lakin ikifika wakati ninapotaka kula tunda huwa ni mkari na hubadilika hadi sura,muda mwingine huniruhusu lakin ninapojaribu kuinsert tu...
Naitwa JAMES, umri wangu ni 27,ni kijana wa kisasa, kwa imani ni MKRISTO na kwa sasa ninaishi DSM.
natafuta msichana mwenye umri kati ya 18 hadi 23 na sifa kubwa awe Mkristo na mwenye kujiheshimu...
Wakuu huwa nimekuwa na mahusiano na dada mmoja na nilimjali kwakila kitu na pia familia yake ikawa inatambua mahusiano yetu ila cha ajabu nilipokuwa nikitoka kwenda mikoani kutafuta riziki basi...
Inavyo onekana watu wengi hawajui maana ya nguvu za kiume. huenda hata wewe hujui. ndiyo maana wengine wanavuka mstari na kusema hata wanawake wanazo nguvu hizo.
wengi huchanganya wanashindwa...
na maanisha kwa mfano una friend wako ulimpenda sana kiasi ya kuwa nafsi ikaanza kumpenda na ukawa una mfanyia mengi ili kumfurahisa ila hamujahi kutana face to face
rafiki wa barua .ila...
Jamani ni muda umepita ndangu nilipopenda mwanzoni now yapata taklibani 3yrs sijawahi hisi kupenda tena,but now nahisi kumpenda mkaka kiasi nikimuona nasikia raha,sitamani haondoke,natamani...
kipindi tunaanza mapenzi alinionyesha sana love lakini sasa yupo chuo inafikia kiasi ananijibu hovyo,kunitukana,nikimwambia kitu haniskizi yanapomuharibikia anataka tusolve... mapenzi yetu yamekua...
Tuko mahali tunajaribu kupunguza tustress twa mchana Wa Leo. Dogo moja kapata mbili tatu ndo akamkumbuka wake mwandani. Kanyanyua kilongalonga akampigia akanza kukwambia SEMA BABY I Love you...
Nimekuwa nikisifiwa na akina dada eti nina lips nzuri, na wengine huwa wanataka just to make up with me, huwa ninashangaa hivi ni kweli au wanakuwa wamenizimia? Kwa upande wetu sisi wanaume ni...
A VIRGIN aged 70 declared she is ready to have sex.
Cabaret singer Pam Shaw said she has always been too busy working to find a man. And even though she sings under the saucy name The Sexational...
Nimejitambulisha kwa wana MMU mod wakaifuta thread yangu, nimerudi tena wapendwa wa MMU, nipokeeni tujenge mapendo daima, kupitia mapendo nchi yetu itakuwa na amani teleeeeeeeeeeeeee