alexmahone
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 482
- 405
Umeshawahi kumcheat mwenza wako..? unadhani alikosea wapi mpk ukafikia uamuzi huo..!?
wote humu jf tushawahi,maana ku cheat ni kuwa na mahusiano zaidi ya mwenzo iwe kwa mawazo,maneno au matendo.Umeshawahi kumcheat mwenza wako..? unadhani alikosea wapi mpk ukafikia uamuzi huo..!?
Umeshawahi kumcheat mwenza wako..? unadhani alikosea wapi mpk ukafikia uamuzi huo..!?
wote humu jf tushawahi,maana ku cheat ni kuwa na mahusiano zaidi ya mwenzo iwe kwa mawazo,maneno au matendo.
hakuna kingine zaidi ya tamaa tu.
Umasikini nao unachangia