Nambie baby nakupenda!

Eeka Mangi

JF-Expert Member
Jul 27, 2008
3,173
481
Tuko mahali tunajaribu kupunguza tustress twa mchana Wa Leo. Dogo moja kapata mbili tatu ndo akamkumbuka wake mwandani. Kanyanyua kilongalonga akampigia akanza kukwambia SEMA BABY I Love you! Inaelekea mama kakataa wacha jamaa awake oooh kuna Bwana uko naye hapo! Mara hauko nyumbani! Sasa angukubali kusema baby I love you ndo angekuwa yuko mahali salama ama vipi? Yoso bana taabu tupi!
 
hyo ni zuga tu! kuna wengne anaeza kuwa na bwana lakn akakuzuga na maneno matamu.. haijalish!
 
hzo ni za kiprimary, et haya washa redio,zima. gonga sufuria au angusha kijiko ili nijue upo hm! hahahaa binadamu hachungwî et...
 
Senetor, hebu nambie we unaweza mfanyia hvo patner wako ati km upo hm nipe flan niongee nae ama fanya kt flan ili niprove upo safe? huo ni ujinga na u.p.u.m.b.a.v.u smtime. it means humwamin partner wako sa km humwamin kwnn upo nae? kiukwel me huwa naichukia sana hyo!
 
Last edited by a moderator:
He he he mapenzi ya primary magumu sana....................
Kwani akisema ndo nini ujinga mwingine bana eti kisa mapenzi.................
Bora yetu sisi kulikuwa hakuna simu anapita na baiskeli analiza kengele
unatoka kwenda kumwona ilikuwa raha kuliko siku hizi stress na visimu vya Techno
 
He he he mapenzi ya primary magumu sana....................
Kwani akisema ndo nini ujinga mwingine bana eti kisa mapenzi.................
Bora yetu sisi kulikuwa hakuna simu anapita na baiskeli analiza kengele
unatoka kwenda kumwona ilikuwa raha kuliko siku hizi stress na visimu vya Techno

hahaa,umeona eeh! BTW POLE KWA MSIBA...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom